MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI IBADA YA KUWEKWA WAKFU ASKOFU, DKT. ABEDNEGO KESHOMSHAHARA WA KANISA LA KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MAGHARIBI MKOANI KAGERA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-YBAQvI6YM1s/ViOpQIbTtjI/AAAAAAAIAuI/hCTeNTWVUys/s72-c/01.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Mohammed Gharib Bilal, akimkpongeza Askofu Dkt. Abednego Keshmshahara wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Magharibi, Mkoani Kagera (kushoto) wakati wa sherehe za kuwekwa Wakfu zilizofanyika kwenye Kanisa la KKKT mjini Bukoba, mkoani Kagera leo Okt 18, 2015. Katikati ni Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Alex Malasusa.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt....
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog18 Oct
Dkt. Bilal ashiriki ibada ya kuwekwa wakfu Askofu, Dkt. Abednego Keshomshahara wa kanisa la KKKT mkoani Kagera
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Mohammed Gharib Bilal, akimkpongeza Askofu Dkt. Abednego Keshmshahara wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Magharibi, Mkoani Kagera (kushoto) wakati wa sherehe za kuwekwa Wakfu zilizofanyika kwenye Kanisa la KKKT mjini Bukoba, mkoani Kagera leo Okt 18, 2015. Katikati ni Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Alex Malasusa. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zMJxnqMJKq0tuLqF0QV2fPPuqw7Dgb0cvSKezXAyI2*W0QV5AEq21knrACBLU2Ekqhbsfqwne0Ics-xSqfuUjKVTIcUb2UHL/1.jpg?width=650)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHUDHURIA SHEREHE YA KUWEKWA WAKHFU ASKOFU MTEULE WA KANISA LA AFRICAN INLAND DAYOSISI YA MWANZA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gxN1KhSX5e4/VEQxdGpByjI/AAAAAAAGr-g/KDmhZy2kKuI/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHUDHURIA SHEREHE YA KUWEKWA WAKHFU ASKOFU MTEULE WA KANISA LA AFRICAN INLAND DAYOSISI YA MWANZA, MCHUNGAJI JOHN BUNANGO, JIJINI MWANZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-gxN1KhSX5e4/VEQxdGpByjI/AAAAAAAGr-g/KDmhZy2kKuI/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VPRtl4uFw9A/VEQxdSrD9xI/AAAAAAAGr-o/Seq-pTIFuSc/s1600/2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog19 Oct
Dkt. Bilal ahudhuria sherehe ya kuwekwa wakhfu Askofu mteule wa kanisa la African Inland Dayosisi ya Mwanza, Mchungaji Bunango
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya viongozi wa dini ya Kikristu, wakati alipowasili kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza leo, Oktoba 19, 2014, kwa ajili ya kuhudhuria sherehe za kuwekwa Wakhfu Askofu Mteule wa Kanisa la African Inland Dayosisi ya Mwanza, Mchungaji John Bunango, iliyofanyika jijini humo leo mchana.(Picha na OMR).
Maaskofu wakimwekea mikono ya Baraka Askofu mwenzao, Askofu Mteule wa Kanisa la African...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bJujf5Tz8eM/VB_47P-hH_I/AAAAAAAGk9Q/CkDXkwwzG9I/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
MH. PINDA AHUDHURI IBADA YA KUWEKWA WAKFU ASKOFU MWAIPOPO WA DAYOSISI YA SUMBAWANGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-bJujf5Tz8eM/VB_47P-hH_I/AAAAAAAGk9Q/CkDXkwwzG9I/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2JZH0a-5Ufg/VB_48ri1qRI/AAAAAAAGk9Y/uZZckIRBUTU/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9CypBpiLeWY/Vf731uTV-ZI/AAAAAAAH6Xw/vOSCWuT5Hxg/s72-c/unnamed%2B%252863%2529.jpg)
MAKAMU WA RAIS MOHAMED GHARIB BILAL AHUDHURIA KUWEKWA WAKFU ASKOFU KENEN PANJA MJINI TUKUYU LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-9CypBpiLeWY/Vf731uTV-ZI/AAAAAAAH6Xw/vOSCWuT5Hxg/s640/unnamed%2B%252863%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XJNDZcd5OXc/Vf731lZhcYI/AAAAAAAH6Xs/_jW1nOcRsMQ/s640/unnamed%2B%252864%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog27 Feb
Makamu wa Rais Dkt. Bilal ashiriki kuaga mwili wa mama mzazi wa Dkt. Edward Hosea, Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisaini kwenye Kitabu cha maombolezo ya marehemu Esther Gigwa, Mama mzazi wa Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Dkt. Edward Hosea, wakati alipofika kushiriki kuaga mwili huo nyumbani kwa mkurugenzi huyo, Masaki jijini Dar es Salaam, leo Feb 27, 2015. (Picha na OMR).
Wanafamilia wafiwa wakiwa katika shughuli hiyo ya maziko.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimfariji,...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FqoULnYk0Ys/VQ1_1u10KEI/AAAAAAAHL-I/fnjjBfLhchE/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI MATEMBEZI YA HISANI YA KUCHANGIA UJENZI WA KANISA LA KIGANGO CHA MT. DOMINIC SAVIO TEMEKE MIKOROSHINI, DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-FqoULnYk0Ys/VQ1_1u10KEI/AAAAAAAHL-I/fnjjBfLhchE/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-l8HtxfpOSQA/VQ1_1epqo3I/AAAAAAAHL-Y/wpI9GEQ1S-Q/s1600/1B.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-WUxdss2co5Q/VQ1_2tZLpII/AAAAAAAHL-Q/YnKFWO2wgzs/s1600/2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-47slshMukoc/U2OWS39Bl1I/AAAAAAAFe6M/bv8_RPgeD3I/s72-c/1B.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA RASMI SHEREHE ZA MBIO ZA MWENGE WA UHURU MKOANI KAGERA
![](http://3.bp.blogspot.com/-47slshMukoc/U2OWS39Bl1I/AAAAAAAFe6M/bv8_RPgeD3I/s1600/1B.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-d6it8odIcDc/U2OWZKGIrCI/AAAAAAAFe6w/SrXr3-XH5AY/s1600/3B.jpg)