Virusi vya corona: Mkenya aelezea hofu ya kuwekwa karantini
Wakenya wanahofia zaidi kuwekwa karantini kuliko ya kuzuia corona na kuzifananisha na jela.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Virusi vya corona: Mikutano mikubwa ya Kampeni za uchaguzi yaibua hofu ya maambukizi ya virusi vya corona
Picha zinazoonyesha mikusanyiko ya maelfu ya watu waliokusanyika Jumatatu kwa uzinduzi wa mikutano ya kampeni za kisiasa nchini zimeibua wasi wasi mkubwa ya kuongezeka kwa maambukizi ya virusi vya corona kabla ya taifa hilo kufanya uchaguzi unaotarajiwa tarehe 20 Mei mwaka huu.
5 years ago
BBCSwahili01 May
Virusi vya corona: Wabunge wa Chadema wajiweka karantini kuepuka kusambaa kwa virusi.
Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania Chadema, kimewataka wafuasi wake bungeni kuacha kujhudhuria vikao vya bunge na kukaa mbali na majengo ya bunge ya Dodoma na Dar es salaam ili kuzuwia kusambaa kwa virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili04 May
Virusi vya Corona: Mazishi ya usiku na hofu ya corona Tanzania
Baadhi wana hofu kuwa mamlaka nchini Tanzania halichukulii janga kwa uzito wake.
5 years ago
BBCSwahili04 Apr
Virusi vya corona: Namna ambavyo vijana wanaweza kujizuia na hofu ya corona
Mlipuko wa maambukizi ya corona umewafanya watu kujihisi uoga na wasiwasi.
5 years ago
BBCSwahili22 Apr
Virusi vya corona:Serikali Kenya yaapa kuwakamata watu 50 waliotoroka karantini
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amesema kuwa watu wote hamsini waliotoroka kutoka kwenye kituo cha karantini cha watu wanaoshukiwa kuwa na virusi vya corona mjini Nairobi watakamatwa tena na kurejeshwa tena kwenye vituo hivyo.
5 years ago
BBCSwahili16 May
Virusi vya corona: Waafrika waelezea madhila yanayowakuta wakati wa karantini China
Waafrika waelezea madhila yanayowakuta China wakati wa kulazimishwa kukaa karantini.
5 years ago
BBCSwahili15 Apr
Virusi vya Corona: Wakenya watishia kutoroka karantini, wagonjwa 9 zaidi wathibitishwa
Makumi ya watu waliokuwa katika karantini ya lazima nchini Kenya wamefanya mgomo na kutishia kutoroka katika kituo hicho katika mji mkuu wa Nairobi.
5 years ago
BBCSwahili12 Mar
Coronavirus: Jinsi utalii unavyoathiriwa na hofu ya virusi vya corona Zanzibar
Kisiwa cha Zanzibar hakina kisa chochote cha virusi vya ugonjwa wa corona licha ya kwamba uchumi wake umeathirika pakubwa kutokana na watalii kuwa na hofu kuhusu janga hilo.
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku
Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania