Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Virusi vya corona: Mkenya aelezea hofu ya kuwekwa karantini

Wakenya wanahofia zaidi kuwekwa karantini kuliko ya kuzuia corona na kuzifananisha na jela.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Mikutano mikubwa ya Kampeni za uchaguzi yaibua hofu ya maambukizi ya virusi vya corona

Picha zinazoonyesha mikusanyiko ya maelfu ya watu waliokusanyika Jumatatu kwa uzinduzi wa mikutano ya kampeni za kisiasa nchini zimeibua wasi wasi mkubwa ya kuongezeka kwa maambukizi ya virusi vya corona kabla ya taifa hilo kufanya uchaguzi unaotarajiwa tarehe 20 Mei mwaka huu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wabunge wa Chadema wajiweka karantini kuepuka kusambaa kwa virusi.

Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania Chadema, kimewataka wafuasi wake bungeni kuacha kujhudhuria vikao vya bunge na kukaa mbali na majengo ya bunge ya Dodoma na Dar es salaam ili kuzuwia kusambaa kwa virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Mazishi ya usiku na hofu ya corona Tanzania

Baadhi wana hofu kuwa mamlaka nchini Tanzania halichukulii janga kwa uzito wake.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Namna ambavyo vijana wanaweza kujizuia na hofu ya corona

Mlipuko wa maambukizi ya corona umewafanya watu kujihisi uoga na wasiwasi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona:Serikali Kenya yaapa kuwakamata watu 50 waliotoroka karantini

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amesema kuwa watu wote hamsini waliotoroka kutoka kwenye kituo cha karantini cha watu wanaoshukiwa kuwa na virusi vya corona mjini Nairobi watakamatwa tena na kurejeshwa tena kwenye vituo hivyo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Waafrika waelezea madhila yanayowakuta wakati wa karantini China

Waafrika waelezea madhila yanayowakuta China wakati wa kulazimishwa kukaa karantini.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Wakenya watishia kutoroka karantini, wagonjwa 9 zaidi wathibitishwa

Makumi ya watu waliokuwa katika karantini ya lazima nchini Kenya wamefanya mgomo na kutishia kutoroka katika kituo hicho katika mji mkuu wa Nairobi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Jinsi utalii unavyoathiriwa na hofu ya virusi vya corona Zanzibar

Kisiwa cha Zanzibar hakina kisa chochote cha virusi vya ugonjwa wa corona licha ya kwamba uchumi wake umeathirika pakubwa kutokana na watalii kuwa na hofu kuhusu janga hilo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku

Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani