Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Virusi vya corona: Waafrika waelezea madhila yanayowakuta wakati wa karantini China

Waafrika waelezea madhila yanayowakuta China wakati wa kulazimishwa kukaa karantini.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Bobi Wine ajitolewa kuwarejesha makwao waafrika 'wanaobaguliwa' China

Mwanamuziki na mbunge wa Uganda Kyangulanyi Ssentamu maarufu kama Bobi Wine, amesema kuwa ameungana na mfanyibiashara wa Marekani kuwarejesha nyumbani waafrika wanaodaiwa kubaguliwa China.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wanasayansi waelezea chanzo cha virusi hivyo

Mlipuko wa virusi vya corona ambao umewawacha zaidi ya watu milioni moja wakiwa wameambukizwa na wengine 60,000 wakiwa wamefariki umebadilisha ulimwengu ulivyokuwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wabunge wa Chadema wajiweka karantini kuepuka kusambaa kwa virusi.

Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania Chadema, kimewataka wafuasi wake bungeni kuacha kujhudhuria vikao vya bunge na kukaa mbali na majengo ya bunge ya Dodoma na Dar es salaam ili kuzuwia kusambaa kwa virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Nadharia za uongo kuhusu virusi vya corona kati ya Marekani na China

Tangu mlipuko wa virusi vya corona kutokea nadharia zisizo za kweli kuhusu chimbuko na ukubwa wa janga la corona ni miongoni mwa yaliyoenea kwenye mitandao.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Covid -19 ilivyobadilisha utamaduni wa waafrika

Mwanahabari Joseph Warungu anaangazia vile virusi vya corona vimebadilisha maisha ya Wakenya kuanzia kujifungua hadi kifo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je kwanini Waafrika wanaombwa kushiriki majaribio ya chanjo?

Kumekuwa na taarifa kadhaa za kuogofya kuhusu majaribio ya chanjo ya corona inayofanyiwa watu barani Afrika.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Mkenya aelezea hofu ya kuwekwa karantini

Wakenya wanahofia zaidi kuwekwa karantini kuliko ya kuzuia corona na kuzifananisha na jela.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: India yakataa vifaa vya kupima virusi hivyo kutoka China

India imesitisha uagizaji wa karibu vifaa nusu milioni vya kupimia virusi vya corona kutoka China baada ya kubainika kuwa vifaa hivyo ''vina dosari''.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Wakenya watishia kutoroka karantini, wagonjwa 9 zaidi wathibitishwa

Makumi ya watu waliokuwa katika karantini ya lazima nchini Kenya wamefanya mgomo na kutishia kutoroka katika kituo hicho katika mji mkuu wa Nairobi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani