Virusi vya corona: Je kwanini Waafrika wanaombwa kushiriki majaribio ya chanjo?
Kumekuwa na taarifa kadhaa za kuogofya kuhusu majaribio ya chanjo ya corona inayofanyiwa watu barani Afrika.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Virusi vya corona: Afrika sio uwanja wa majaribio ya chanjo ya corona - WHO
Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amelaani kauli alizoziita za "kibaguzi" kutoka kwa madaktari wawili wa Ufaransa ambao walitaka chanjo ya virusi vya corona kufanyiwa majaribio barani Afrika.
5 years ago
BBCSwahili27 Apr
Virusi vya corona: Kwanini dunia inaitegemea India kutengeneza chanjo ya virusi hivi?
Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Mike Pompeo wiki mobile zilizopita alisema kuwa India na Marekani zinafanya Kazi pamoja kutengeneza chanjo ya kukabiliana na virus cya corona
5 years ago
BBCSwahili05 May
Virusi vya corona: Kenya kufanyia majaribio chanjo ya Covid-19 kwa binadamu
Wanasayansi wa Kenya wameungana na wenzao wa kimataifa katika juhudi za kutafuta tiba ya ugonjwa wa Covid-19, kwa kufanyia majaribio dawa tatu.
5 years ago
BBCSwahili24 Apr
Virusi vya corona: Wanasayansi wa Uingereza wanataka chanjo yao kufanyiwa majaribio Kenya
Watafiti kutoka nchini Uingereza wanafikiria kufanyia majaribio chanjo ya virusi vya corona nchini Kenya ambapo kulingana na wao mlipuko wa ugonjwa huo unaongezeka.
5 years ago
BBCSwahili02 Apr
Virusi vya Corona: Wanasayansi nchini Australia waanza kufanya majaribio ya chanjo mbili
Majibu ya awali kutolewa mwezi Juni.
5 years ago
BBCSwahili25 Jun
Watu waanza kujitolea kushiriki majaribio ya chanjo mpya corona
Watu waliojitolea kutumiwa kwa ajili ya majaribio ya chanjo mpya wameanza kupewa kinga ya chanjo mpya ya virusi vya corona nchini Uingereza.
5 years ago
BBCSwahili19 Jun
Mabadiliko ya virusi vya corona: Kwanini virusi vya corona vina tabia ya magonjwa yanayosambazwa kupitia ngono
Utafiti wa virusi vya Covid-19 ulikadiria kwamba kiwango kikuu cha maambukizi ya virusi hivyo hutokea siku moja au mbili kabla ya mtu aliyeambukizwa kuanza kuonyesha dalili.
5 years ago
BBCSwahili14 Apr
Virusi vya corona: Covid -19 ilivyobadilisha utamaduni wa waafrika
Mwanahabari Joseph Warungu anaangazia vile virusi vya corona vimebadilisha maisha ya Wakenya kuanzia kujifungua hadi kifo.
5 years ago
BBCSwahili02 May
Virusi vya corona: Je ni kwanini inakua vigumu kulinganisha viwango vya corona kimataifa?
Je unapaswa kuwa unalinganisha takwimu za Covid-19 kati ya nchi mbali mbali?
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania