Virusi vya Corona: Wanasayansi nchini Australia waanza kufanya majaribio ya chanjo mbili
Majibu ya awali kutolewa mwezi Juni.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili24 Apr
Virusi vya corona: Wanasayansi wa Uingereza wanataka chanjo yao kufanyiwa majaribio Kenya
Watafiti kutoka nchini Uingereza wanafikiria kufanyia majaribio chanjo ya virusi vya corona nchini Kenya ambapo kulingana na wao mlipuko wa ugonjwa huo unaongezeka.
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Virusi vya corona: Afrika sio uwanja wa majaribio ya chanjo ya corona - WHO
Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amelaani kauli alizoziita za "kibaguzi" kutoka kwa madaktari wawili wa Ufaransa ambao walitaka chanjo ya virusi vya corona kufanyiwa majaribio barani Afrika.
5 years ago
BBCSwahili18 May
Virusi vya corona: Je kwanini Waafrika wanaombwa kushiriki majaribio ya chanjo?
Kumekuwa na taarifa kadhaa za kuogofya kuhusu majaribio ya chanjo ya corona inayofanyiwa watu barani Afrika.
5 years ago
BBCSwahili05 May
Virusi vya corona: Kenya kufanyia majaribio chanjo ya Covid-19 kwa binadamu
Wanasayansi wa Kenya wameungana na wenzao wa kimataifa katika juhudi za kutafuta tiba ya ugonjwa wa Covid-19, kwa kufanyia majaribio dawa tatu.
5 years ago
CCM Blog24 Apr
WANASAYANSI WA UINGEREZA KUIFANYIA MAJARIBIO CHANJO YA CORONA KWA WAKENYA
![vaccine](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/144E9/production/_111277138_gettyimages-1154450279.jpg)
5 years ago
BBCSwahili25 Jun
Watu waanza kujitolea kushiriki majaribio ya chanjo mpya corona
Watu waliojitolea kutumiwa kwa ajili ya majaribio ya chanjo mpya wameanza kupewa kinga ya chanjo mpya ya virusi vya corona nchini Uingereza.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AyrScgJFQLA/Xp_zgL9eyTI/AAAAAAALnxM/1FOR9JL2V201pc5HJZovCVzKQrT9tz1AgCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
UINGEREZA KUFANYA MAJARIBIO YA CHANJO YA CORONA WIKI HII
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
CHANJO dhidi ya virusi vya Corona (Covid-19) iliyochakatwa katika Chuo kikuu cha Oxford nchini Uingereza itafanyiwa majaribio kwa mara ya kwanza siku ya Alhamisi wiki hii, katibu wa Afya nchini humo Matt Hancock ameeleza.
Kwa mujibu wa DailyMail imeelezwa kuwa Hancock amesema kuwa chanjo itakua ni njia sahihi ya Kupambana na virusi hivyo.
Chanjo hiyo itafanyiwa majaribio kwa watu wapatao 510 wenye umri kati ya miaka 18 hadi 55 huku ikielezwa kuwa watafiti hao...
5 years ago
BBCSwahili17 Mar
Coronavirus: Wanasayansi nchini Australia wanaonesha namna mfumo wa kinga unavyopambana na virusi
Kubaini wakati seli za kinga zinaingia zinaweza kusaidia "kutabiri mwenendo wa virusi", alisema Prof Bruce Thompson, Mkuu wa kitivo cha sayansi ya afya katika Chuo Kikuu cha Teknolojia cha Swinburne.
5 years ago
BBCSwahili09 Apr
Virusi vya corona: Wanasayansi waelezea chanzo cha virusi hivyo
Mlipuko wa virusi vya corona ambao umewawacha zaidi ya watu milioni moja wakiwa wameambukizwa na wengine 60,000 wakiwa wamefariki umebadilisha ulimwengu ulivyokuwa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania