Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WASAFIRI WATAKAOPITA MPAKA WA TUNDUMA KUWEKWA KARANTINI SIKU 14


Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Songwe imeanza utekelezaji wa agizo la Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli la kuwataka wasafiri waliotoka katika nchi zenye maambukizi ya Virusi vya Corona kukaa karantini kwa muda wa siku 14 kwa gharama zao.

Mapema leo wajumbe wa Kamati hiyo wametembelea eneo la mpaka wa Tanzania na Zambia uliopo eneo la Tunduma Mkoani Songwe ili kutathmini utayari wa kuanza zoezi la kuwaweka eneo tengefu yaani karantini wasafiri wote...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

HATUTAWAWEKA KARANTINI WASAFIRI WA NDANI YA NCHI: RC MTAKA


Mtalaam wa Afya akipuliza dawa katika gari linalofanya safari zake kutoka Bariadi Mkoani Simiyukwenda jijini Dar es Salaam leo Aprili 17, 2020 wakati wa kuhamasisha zoezi endelevu la upuliziaji dawa katika magari ya abiria ambalo limekuwa likifanyika katika kituo cha Mabasi cha Somanda Mjini Bariadi na Vituo vingine  ikiwa ni moja ya jitihada za kupambana na maambukizi ya Virusi vya Corona.Mtalaam wa Afya akipuliza dawa katika gari linalofanya safari zake kutoka...

 

5 years ago

Michuzi

Wasafiri kutoka nje ya nchi kupelekwa karantini Hosteli za Magufuli


 Na WAMJW-Dar es Salaam

Serikali imetangaza rasmi kwamba wasafiri wote kutoka nchi za nje zilizoathirika na ugonjwa wa Corona watalazimika kukaa karantini kwa muda wa siku 14 katika hosteli za Chuo Kikuu Cha Dar es  Salaam maarufu hosteli za Magufuli.

Akizungumza katika hosteli za Magufuli, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema wasafiri hao watafikia katika hosteli za Magufuli ambazo zipo katika eneo la Ubungo Jijini Dar es Salaam.

“Lengo ni...

 

5 years ago

CCM Blog

MKUU WA MKOA SIMIYU: HATUTAWAWEKA KARANTINI WASAFIRI WA NDANI YA NCHI

 Mtalaam wa Afya akipuliza dawa katika gari linalofanya safari zake kutoka Bariadi Mkoani Simiyukwenda jijini Dar es Salaam leo Aprili 17, 2020 wakati wa kuhamasisha zoezi endelevu la upuliziaji dawa katika magari ya abiria ambalo limekuwa likifanyika katika kituo cha Mabasi cha Somanda Mjini Bariadi na Vituo vingine  ikiwa ni moja ya jitihada za kupambana na maambukizi ya Virusi vya Corona.
 Mtalaam wa Afya akipuliza dawa katika gari linalofanya safari zake kutoka Bariadi Mkoani Simiyu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maeneo yenye Mnyauko Kagera kuwekwa karantini

MKOA wa Kagera umetangaza kuyaweka chini ya karantini maeneo ya mkoa huo yaliyoathirika na yatakayoathirika na ugonjwa wa migomba (Mnyauko Backeria). Mkaguzi wa Mimea na Mazao Mkoa wa Kagera, Kagombora...

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi Burundi: Wachunguzi wa kimataifa kuwekwa karantini

Huku ikiwa imesalia siku 10 kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu nchini Burundi, serikali imesema kwamba wachunguzi wote wa uchaguzi utakaofanyika tarehe 20 Mei 2020 watalazimika kufuata maagizo ya kukabiliana na virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Mkenya aelezea hofu ya kuwekwa karantini

Wakenya wanahofia zaidi kuwekwa karantini kuliko ya kuzuia corona na kuzifananisha na jela.

 

5 years ago

Michuzi

BIASHARA KUENDELEA TUNDUMA LICHA YA ZAMBIA KUFUNGA MPAKA


Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus Mwangela akizungumza na Wananchi katika eneo la Tunduma mapema leo ambapo amewataka kuendelea na shughuli za kiuchumi licha ya Zambia Kufunga Mpaka wa Tanzania na Zambia eneo la Nakonde.

Wafanyabiashara wa Tunduma wakiendelea na shughuli mbalimbali za Kiuchumi kama serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilivyo waelekeza licha ya Zambia kufunga Mpaka wa Tanzania na Zambia eneo la Nakonde.

******************************

Wafanyabiashara wametakiwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa: Nitaondoa foleni Tunduma siku 21

Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na vyama vinne, Edward Lowassa ameahidi kutumia siku 21 kumaliza msongamano wa malori eneo la Nakonde ambako ni mpaka wa Tanzania na Zambia, endapo atachaguliwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani