Lowassa: Nitaondoa foleni Tunduma siku 21
Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na vyama vinne, Edward Lowassa ameahidi kutumia siku 21 kumaliza msongamano wa malori eneo la Nakonde ambako ni mpaka wa Tanzania na Zambia, endapo atachaguliwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
TheCitizen20 Oct
Lowassa’s plans for Tunduma
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-_tpiizw6HqU/ViJtaUBna0I/AAAAAAABXig/Zzz7Z8eQ2OE/s72-c/12031446_408385176020753_9102802074939371140_o.jpg)
MKUTANO WA LOWASSA WAAHIRISHWA TUNDUMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-_tpiizw6HqU/ViJtaUBna0I/AAAAAAABXig/Zzz7Z8eQ2OE/s640/12031446_408385176020753_9102802074939371140_o.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-29H3GM3YDhM/ViUg3W6HPZI/AAAAAAAAbi8/z7Nwo9w_XnI/s72-c/16.jpg)
LOWASSA AUNGURUMA TUNDUMA NA KYELA, KAMPENI ZA UKAWA KUSITISHWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-29H3GM3YDhM/ViUg3W6HPZI/AAAAAAAAbi8/z7Nwo9w_XnI/s640/16.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6Vh1ZpEDSCI/ViUhjm4monI/AAAAAAAAbjs/XQuy5I8EXd4/s640/OTH_7105.jpg)
9 years ago
TheCitizen18 Oct
Power failure cuts short Lowassa’s Tunduma rally
5 years ago
MichuziWASAFIRI WATAKAOPITA MPAKA WA TUNDUMA KUWEKWA KARANTINI SIKU 14
Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Songwe imeanza utekelezaji wa agizo la Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli la kuwataka wasafiri waliotoka katika nchi zenye maambukizi ya Virusi vya Corona kukaa karantini kwa muda wa siku 14 kwa gharama zao.
Mapema leo wajumbe wa Kamati hiyo wametembelea eneo la mpaka wa Tanzania na Zambia uliopo eneo la Tunduma Mkoani Songwe ili kutathmini utayari wa kuanza zoezi la kuwaweka eneo tengefu yaani karantini wasafiri wote...
9 years ago
BBCSwahili19 Nov
Foleni ya magari yadumu siku mbili Mombasa
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Magufuli: Nitaondoa misamaha ya kodi
9 years ago
Habarileo25 Aug
‘Endapo Kibamba mtanichagua nitaondoa kero sugu ya maji’
MGOMBEA wa ubunge wa Jimbo la Kibamba kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Dickson Ng’hily amesema endapo wana Kibamba, watamchagua kuwa mbunge wao, ataondoa kero sugu ya ukosefu wa maji.
9 years ago
Dewji Blog24 Sep
Nitaondoa njaa, wakulima watatumia helkopta kumwagilia mashamba, nitajenga vituo maalumu vya Albino na wazee — Rungwe
Mgombea Urais wa CHAUMA,Hashim Rungwe katika pozi tofauti akihutubia wananchi wa Singida mjini jana.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha ukombozi wa Umma (CHAUMA) Hashim Rungwe akizungumza kwenye Mkutano wa Kampeni Mkoani Singida, ambapo aliahidi kuwaondolea wananchi njaa.
Mgombea mwenza wa CHAUMA Issa Abas Husein nae akihutubia wananchi wa Singida mjini.
WANANCHI wakimsikiliza Mgombea Urais wa CHAUMA kwenye kituo cha stendi ya zamani Mjini Singida jana.