MKUU WA MKOA SIMIYU: HATUTAWAWEKA KARANTINI WASAFIRI WA NDANI YA NCHI
Mtalaam wa Afya akipuliza dawa katika gari linalofanya safari zake kutoka Bariadi Mkoani Simiyukwenda jijini Dar es Salaam leo Aprili 17, 2020 wakati wa kuhamasisha zoezi endelevu la upuliziaji dawa katika magari ya abiria ambalo limekuwa likifanyika katika kituo cha Mabasi cha Somanda Mjini Bariadi na Vituo vingine ikiwa ni moja ya jitihada za kupambana na maambukizi ya Virusi vya Corona.
Mtalaam wa Afya akipuliza dawa katika gari linalofanya safari zake kutoka Bariadi Mkoani Simiyu...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-99_-Vi-PPLI/XpnMHd7QzPI/AAAAAAALnQg/fLthvALXmdUfaOtoq0Km50HbLEstiFXBwCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-B-1.jpg)
HATUTAWAWEKA KARANTINI WASAFIRI WA NDANI YA NCHI: RC MTAKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-99_-Vi-PPLI/XpnMHd7QzPI/AAAAAAALnQg/fLthvALXmdUfaOtoq0Km50HbLEstiFXBwCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-B-1.jpg)
Mtalaam wa Afya akipuliza dawa katika gari linalofanya safari zake kutoka Bariadi Mkoani Simiyukwenda jijini Dar es Salaam leo Aprili 17, 2020 wakati wa kuhamasisha zoezi endelevu la upuliziaji dawa katika magari ya abiria ambalo limekuwa likifanyika katika kituo cha Mabasi cha Somanda Mjini Bariadi na Vituo vingine ikiwa ni moja ya jitihada za kupambana na maambukizi ya Virusi vya Corona.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PICHA-A-1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-j3S6rO7SF_w/XonunN3WRWI/AAAAAAALmEs/xhaHgCK_jrIHGRdExrXFGSOuDsXdqTN2wCLcBGAsYHQ/s72-c/C6Y4mVSWAAAmRiR.jpg)
Wasafiri kutoka nje ya nchi kupelekwa karantini Hosteli za Magufuli
![](https://1.bp.blogspot.com/-j3S6rO7SF_w/XonunN3WRWI/AAAAAAALmEs/xhaHgCK_jrIHGRdExrXFGSOuDsXdqTN2wCLcBGAsYHQ/s640/C6Y4mVSWAAAmRiR.jpg)
Na WAMJW-Dar es Salaam
Serikali imetangaza rasmi kwamba wasafiri wote kutoka nchi za nje zilizoathirika na ugonjwa wa Corona watalazimika kukaa karantini kwa muda wa siku 14 katika hosteli za Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam maarufu hosteli za Magufuli.
Akizungumza katika hosteli za Magufuli, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema wasafiri hao watafikia katika hosteli za Magufuli ambazo zipo katika eneo la Ubungo Jijini Dar es Salaam.
“Lengo ni...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-rsKZ1dCu_fA/XpsbmaGggrI/AAAAAAABnTU/WzJXC_fAB0EHxLMXyqzaVZDMJSico735QCLcBGAsYHQ/s72-c/CBMM7830-696x464.jpg)
WATU 30 WARUHUSIWA MKOA WA SIMIYU WALIOKUWA KATIKA KARANTINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-rsKZ1dCu_fA/XpsbmaGggrI/AAAAAAABnTU/WzJXC_fAB0EHxLMXyqzaVZDMJSico735QCLcBGAsYHQ/s400/CBMM7830-696x464.jpg)
Ametoa kauli hiyo leo Jumamosi Aprili 18, wakati akiongea na waumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato (SDA) Bariadi kwenye ibada ambayo iliambatana na maombi maalumu ya kuliombea taifa kuepuka na janga la corona.
Mtaka amesema watu hao...
5 years ago
MichuziWASAFIRI WATAKAOPITA MPAKA WA TUNDUMA KUWEKWA KARANTINI SIKU 14
Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Songwe imeanza utekelezaji wa agizo la Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli la kuwataka wasafiri waliotoka katika nchi zenye maambukizi ya Virusi vya Corona kukaa karantini kwa muda wa siku 14 kwa gharama zao.
Mapema leo wajumbe wa Kamati hiyo wametembelea eneo la mpaka wa Tanzania na Zambia uliopo eneo la Tunduma Mkoani Songwe ili kutathmini utayari wa kuanza zoezi la kuwaweka eneo tengefu yaani karantini wasafiri wote...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3qyphWvDuzo/XpwLBgoZRyI/AAAAAAALnYw/jGB-Tp70ZIkrv2nyM5a1JZjf25WPeuCXACLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-A-2-768x512.jpg)
WATU 34 WARUHUSIWA KUTOKA KARANTINI MKOANI SIMIYU
![](https://1.bp.blogspot.com/-3qyphWvDuzo/XpwLBgoZRyI/AAAAAAALnYw/jGB-Tp70ZIkrv2nyM5a1JZjf25WPeuCXACLcBGAsYHQ/s640/PICHA-A-2-768x512.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka akizungumza na waumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato Bariadi Mjini, Aprili 18, 2020 ambapo ameshiriki katika ibada ambayo waumini hao wameitikia wito wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli kwa Watanzania wote kuingia katika maombi ya siku tatu ( Aprili 17-19, 2020) kuliombea Taifa ili Mungu aliponye na janga la Corona.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PICHA-B-2.jpg)
Baadhi ya Wazee wa Kanisa wa Kanisa la SDA Bariadi mjini wakiwaongoza...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gmAt1NVK7Ro/U1YHUKVh-2I/AAAAAAAFcO4/QgbEvsEiGO8/s72-c/New+Picture+(5).bmp)
Rais Kikwete atuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu,kufuatia vifo vya watu 11 katika ajali ya basi
![](http://3.bp.blogspot.com/-gmAt1NVK7Ro/U1YHUKVh-2I/AAAAAAAFcO4/QgbEvsEiGO8/s1600/New+Picture+(5).bmp)
Katika salamu hizo, Rais Kikwete amesema kuwa ni jambo la kusikitisha kuwa ajali zabarabarani zinaendelea kuchukua maisha ya watu wasiokuwa na hatia.
“Nimepokea kwa huzuni nyingi taarifa ya ajali hiyo ambayo...
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AFUNGUA RASMI MKUTANO MKUU WA TATU WA TPS SACCOS Ltd LEO, MKOANI MOROGORO
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU MAMBO YA NDANI AFUNGUA KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
9 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI NA KUWATAKA KUBUNI MIRADI MBALIMBALI YA KUONGEZA MAPATO NDANI YA JESHI HILO.