WATU 30 WARUHUSIWA MKOA WA SIMIYU WALIOKUWA KATIKA KARANTINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-rsKZ1dCu_fA/XpsbmaGggrI/AAAAAAABnTU/WzJXC_fAB0EHxLMXyqzaVZDMJSico735QCLcBGAsYHQ/s72-c/CBMM7830-696x464.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Antony Mtaka amesema kuwa jumla ya watu 30 waliokuwa kwenye eneo la kujitenga (Karantini) baada ya kurejea nchini kutoka nje ya nchi wametoka na hawana ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na maambukizi ya virusi vya corona.
Ametoa kauli hiyo leo Jumamosi Aprili 18, wakati akiongea na waumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato (SDA) Bariadi kwenye ibada ambayo iliambatana na maombi maalumu ya kuliombea taifa kuepuka na janga la corona.
Mtaka amesema watu hao...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogSIMIYU: WATU 34 WARUHUSIWA WALIOKUWA KATIKA UANGALIZI WA VIRUSI VYA CORONA
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka akizungumza na waumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato Bariadi Mjini, Aprili 18, 2020 ambapo ameshiriki katika ibada ambayo waumini hao wameitikia wito wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli kwa Watanzania wote kuingia katika maombi ya siku tatu ( Aprili 17-19, 2020) kuliombea Taifa ili Mungu aliponye na janga la Corona
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3qyphWvDuzo/XpwLBgoZRyI/AAAAAAALnYw/jGB-Tp70ZIkrv2nyM5a1JZjf25WPeuCXACLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-A-2-768x512.jpg)
WATU 34 WARUHUSIWA KUTOKA KARANTINI MKOANI SIMIYU
![](https://1.bp.blogspot.com/-3qyphWvDuzo/XpwLBgoZRyI/AAAAAAALnYw/jGB-Tp70ZIkrv2nyM5a1JZjf25WPeuCXACLcBGAsYHQ/s640/PICHA-A-2-768x512.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka akizungumza na waumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato Bariadi Mjini, Aprili 18, 2020 ambapo ameshiriki katika ibada ambayo waumini hao wameitikia wito wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli kwa Watanzania wote kuingia katika maombi ya siku tatu ( Aprili 17-19, 2020) kuliombea Taifa ili Mungu aliponye na janga la Corona.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PICHA-B-2.jpg)
Baadhi ya Wazee wa Kanisa wa Kanisa la SDA Bariadi mjini wakiwaongoza...
5 years ago
CCM BlogMKUU WA MKOA SIMIYU: HATUTAWAWEKA KARANTINI WASAFIRI WA NDANI YA NCHI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gmAt1NVK7Ro/U1YHUKVh-2I/AAAAAAAFcO4/QgbEvsEiGO8/s72-c/New+Picture+(5).bmp)
Rais Kikwete atuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu,kufuatia vifo vya watu 11 katika ajali ya basi
![](http://3.bp.blogspot.com/-gmAt1NVK7Ro/U1YHUKVh-2I/AAAAAAAFcO4/QgbEvsEiGO8/s1600/New+Picture+(5).bmp)
Katika salamu hizo, Rais Kikwete amesema kuwa ni jambo la kusikitisha kuwa ajali zabarabarani zinaendelea kuchukua maisha ya watu wasiokuwa na hatia.
“Nimepokea kwa huzuni nyingi taarifa ya ajali hiyo ambayo...
5 years ago
CCM BlogMAKAMU WA RAIS KATIKA ZIARA YA MKOA WA SIMIYU
10 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI AFANYA ZIARA KATIKA MKOA WA SIMIYU KUKAGUA MIRADI YA UMEME NA KUZUNGUMZA NA WANANCHI
10 years ago
BBCSwahili26 May
Watu sita wawekwa karantini jela Guinea
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AjC7S757qGw/XmDXzjUrCjI/AAAAAAALhKA/k8nulGf29qEBvsx_hkoWKG5Uw3LGmUS8ACLcBGAsYHQ/s72-c/4bv7c68c75b3011m17e_800C450.jpg)
Watu 552 waliokuwa wameambukizwa Corona nchini Iran wapona
![](https://1.bp.blogspot.com/-AjC7S757qGw/XmDXzjUrCjI/AAAAAAALhKA/k8nulGf29qEBvsx_hkoWKG5Uw3LGmUS8ACLcBGAsYHQ/s640/4bv7c68c75b3011m17e_800C450.jpg)
Akizungumza na waandishi habari Jumatano hii mjini Tehran, Kianoush Jahanpour mkuu wa Idara ya Mahusiano ya Umma katika Wizara ya Afya ya Iran amesema watu hao wote waliopona wako katika hali nzuri hivi sasa.
Ameongeza kuwa, hadi kufikia leo Jumatano adhuhuri kulikuwa na kesi mpya 586 za waliombukizwa kirusi cha Corona kote Iran na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-503goZ0ehlY/XrERZvmQIbI/AAAAAAALpLU/8jh01KO-zwYublmDkwmea9msO9biCPfZACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200504-WA0167.jpg)
ULEGA AKABIDHI MAGODORO 70 KAMBI YA WATU WALIOPO KARANTINI MKURANGA
NA MWAMVUA MWINYI,MKURANGA Mbunge wa Jimbo la Mkuranga na Naibu wa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amekabidhi Magodoro Sabini (70) kwa ajili ya kambi ya watu walioko kwenye karantini wilayani Mkuranga. Hatua hiyo ya Ulega ni kwa ajili ya kuunga mkono juhudi za serikali za kupambana na ugojwa wa Homa ya Mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona ambao umekuwa janga la Ulimwengu. Magodoro hayo, Mbunge huyo aliyapokea kutoka kwa wadau na marafiki mbalimbali walioamua ...