Watu 552 waliokuwa wameambukizwa Corona nchini Iran wapona
![](https://1.bp.blogspot.com/-AjC7S757qGw/XmDXzjUrCjI/AAAAAAALhKA/k8nulGf29qEBvsx_hkoWKG5Uw3LGmUS8ACLcBGAsYHQ/s72-c/4bv7c68c75b3011m17e_800C450.jpg)
Iran imetangaza kuwa hadi sasa watu 552 waliombukizwa ugonjwa wa COVID-19 maarufu kama Corona wamepona na wamepewa ruhusa ya kurudi nyumbani kutoka hospitali.
Akizungumza na waandishi habari Jumatano hii mjini Tehran, Kianoush Jahanpour mkuu wa Idara ya Mahusiano ya Umma katika Wizara ya Afya ya Iran amesema watu hao wote waliopona wako katika hali nzuri hivi sasa.
Ameongeza kuwa, hadi kufikia leo Jumatano adhuhuri kulikuwa na kesi mpya 586 za waliombukizwa kirusi cha Corona kote Iran na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HxS77JW7Ti0/XmNIOYo925I/AAAAAAALhsE/7x9THNe7-jkir2KX6G3pEJFzUG-tI7kFgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv7044a2a779a1m2i3_800C450.jpg)
Watu 913 wapona virusi vya corona nchini Iran, WHO yapongeza
![](https://1.bp.blogspot.com/-HxS77JW7Ti0/XmNIOYo925I/AAAAAAALhsE/7x9THNe7-jkir2KX6G3pEJFzUG-tI7kFgCLcBGAsYHQ/s640/4bv7044a2a779a1m2i3_800C450.jpg)
Dk Kianoush Jahanpour, Mkuu wa Kituo cha Mawasiliano ya Umma na Upashaji Habari cha Wizara ya Afya ya Iran alitangaza habari hiyo jana Ijumaa na kuongeza kuwa, watu walioambukizwa virusi vya corona nchini Iran kufikia jana ilikuwa ni 4,747, kati ya hao 124 wamepoteza maisha kutokana na virusi hivyo lakini waliopona ni watu 913.
Dk...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FFMTLtFRsvg/Xl1oCvQ5CBI/AAAAAAALgek/ENCl2BZvqX0iasmUN5-Oq3hpGZJkGMKogCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv6fba7fc89ba1lyf6_800C450.jpg)
Waathirika 291 wa virusi vya Corona wapona nchini Iran
![](https://1.bp.blogspot.com/-FFMTLtFRsvg/Xl1oCvQ5CBI/AAAAAAALgek/ENCl2BZvqX0iasmUN5-Oq3hpGZJkGMKogCLcBGAsYHQ/s640/4bv6fba7fc89ba1lyf6_800C450.jpg)
Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Udaktari nchini Iran imetangaza kwamba hadi sasa watu 291 waliokuwa wameathirika na virusi vya Corona wamepona na kuruhusiwa kutoka hospitalini.
Alireza Raeesi, Naibu Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Udaktari nchini Iran ameyasema hayo leo akiongea na waandishi wa habari. Ameashiria kuwa watu 1,501 waathiriwa wa virusi vya Corona nchini Iran na kusema kwa bahati mbaya hadi sasa watu 66 wamefariki dunia kutokana na virusi hivyo.
Virusi vya Corona viliibuka...
5 years ago
BBCSwahili13 Apr
Virusi vya Corona: Watu 15 wapona corona Kenya, wagonjwa wapya 11
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cBMpM1U1kDE/XoDwzP0xDYI/AAAAAAALlgM/pdlPChtE8AgihH2aLGOIVCNw_E5ydcytQCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv7a3c8b641331m6uv_800C450.jpg)
WHO: Zaidi ya watu 2,600 wameambukizwa virusi vya corona barani Afrika
![](https://1.bp.blogspot.com/-cBMpM1U1kDE/XoDwzP0xDYI/AAAAAAALlgM/pdlPChtE8AgihH2aLGOIVCNw_E5ydcytQCLcBGAsYHQ/s640/4bv7a3c8b641331m6uv_800C450.jpg)
Tedros Adhanom Ghebreyesus ameviambia vyombo vya habari kwamba, idadi ya watu walioambukizwa virusi vya corona barani Afrika imefikia 2,650 na kwamba wagonjwa wasiopungua 49 miongoni mwao wameaga dunia.
Katibu Mkuu wa Shirika la Afya Duniani amesema kuwa, shirika hilo liko tayari kuzisaidia nchi zote za Afrika na kuongeza kuwa: Nchi zenye mifumo dhaifu ya...
5 years ago
Michuzi5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-c6XH8HGP27o/XqlqqjfervI/AAAAAAALojI/atf5yQFtcggpC7YHIkTDsmPyySzlzijMgCLcBGAsYHQ/s72-c/1600x960_123620-coronavirus-6.jpg.png)
5 years ago
BBCSwahili30 May
Virusi vya corona: Watu 143 wameambukizwa virusi vya corona Kenya
5 years ago
CCM BlogSIMIYU: WATU 34 WARUHUSIWA WALIOKUWA KATIKA UANGALIZI WA VIRUSI VYA CORONA
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka akizungumza na waumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato Bariadi Mjini, Aprili 18, 2020 ambapo ameshiriki katika ibada ambayo waumini hao wameitikia wito wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli kwa Watanzania wote kuingia katika maombi ya siku tatu ( Aprili 17-19, 2020) kuliombea Taifa ili Mungu aliponye na janga la Corona
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-NUjrtbHwjL4/XuYt-ZH4-II/AAAAAAACNTE/wqg1VVyvam05lCZJEJU7bEtjj2BGMEiPQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200614_170117.jpg)
WATANZANIA 57 WALIOKUWA WAMEKWANA AFRIKA KUSINI KUTOKANA NA CORONA WAREJEA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-NUjrtbHwjL4/XuYt-ZH4-II/AAAAAAACNTE/wqg1VVyvam05lCZJEJU7bEtjj2BGMEiPQCLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200614_170117.jpg)