Waathirika 291 wa virusi vya Corona wapona nchini Iran
![](https://1.bp.blogspot.com/-FFMTLtFRsvg/Xl1oCvQ5CBI/AAAAAAALgek/ENCl2BZvqX0iasmUN5-Oq3hpGZJkGMKogCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv6fba7fc89ba1lyf6_800C450.jpg)
Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Udaktari nchini Iran imetangaza kwamba hadi sasa watu 291 waliokuwa wameathirika na virusi vya Corona wamepona na kuruhusiwa kutoka hospitalini.
Alireza Raeesi, Naibu Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Udaktari nchini Iran ameyasema hayo leo akiongea na waandishi wa habari. Ameashiria kuwa watu 1,501 waathiriwa wa virusi vya Corona nchini Iran na kusema kwa bahati mbaya hadi sasa watu 66 wamefariki dunia kutokana na virusi hivyo.
Virusi vya Corona viliibuka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HxS77JW7Ti0/XmNIOYo925I/AAAAAAALhsE/7x9THNe7-jkir2KX6G3pEJFzUG-tI7kFgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv7044a2a779a1m2i3_800C450.jpg)
Watu 913 wapona virusi vya corona nchini Iran, WHO yapongeza
![](https://1.bp.blogspot.com/-HxS77JW7Ti0/XmNIOYo925I/AAAAAAALhsE/7x9THNe7-jkir2KX6G3pEJFzUG-tI7kFgCLcBGAsYHQ/s640/4bv7044a2a779a1m2i3_800C450.jpg)
Dk Kianoush Jahanpour, Mkuu wa Kituo cha Mawasiliano ya Umma na Upashaji Habari cha Wizara ya Afya ya Iran alitangaza habari hiyo jana Ijumaa na kuongeza kuwa, watu walioambukizwa virusi vya corona nchini Iran kufikia jana ilikuwa ni 4,747, kati ya hao 124 wamepoteza maisha kutokana na virusi hivyo lakini waliopona ni watu 913.
Dk...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AjC7S757qGw/XmDXzjUrCjI/AAAAAAALhKA/k8nulGf29qEBvsx_hkoWKG5Uw3LGmUS8ACLcBGAsYHQ/s72-c/4bv7c68c75b3011m17e_800C450.jpg)
Watu 552 waliokuwa wameambukizwa Corona nchini Iran wapona
![](https://1.bp.blogspot.com/-AjC7S757qGw/XmDXzjUrCjI/AAAAAAALhKA/k8nulGf29qEBvsx_hkoWKG5Uw3LGmUS8ACLcBGAsYHQ/s640/4bv7c68c75b3011m17e_800C450.jpg)
Akizungumza na waandishi habari Jumatano hii mjini Tehran, Kianoush Jahanpour mkuu wa Idara ya Mahusiano ya Umma katika Wizara ya Afya ya Iran amesema watu hao wote waliopona wako katika hali nzuri hivi sasa.
Ameongeza kuwa, hadi kufikia leo Jumatano adhuhuri kulikuwa na kesi mpya 586 za waliombukizwa kirusi cha Corona kote Iran na...
5 years ago
BBCSwahili13 Apr
Virusi vya Corona: Watu 15 wapona corona Kenya, wagonjwa wapya 11
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Virusi vya Corona : Wagonjwa wawili wapona Tanzania huku 14 zaidi wakipata maambukizi Kenya
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya Corona: Iran yaamua kufungua misikiti licha masharti ya kukabiliana na corona
5 years ago
BBCSwahili28 Feb
Virusi vya Corona: Jinsi Iran inavyokabiliana na corona
5 years ago
CCM Blog15 Feb
MADAKTARI NA MANESI 1700 NCHINI CHINA WAATHIRIKA NA VIRUSI CORONA
![Zaidi ya madaktari na manesi 1700 nchini China wameathirika na virusi vya Corona](https://media.parstoday.com/image/4bv6a9908d330d1lkri_800C450.jpg)
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Mtaa wa Chicago waathirika pakubwa na virusi vya corona Marekani
5 years ago
BBCSwahili16 Apr
Virusi vya corona: "Coronadamas", wanawake wanaoosha miili ya waliokufa na covid-19 Iran