Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waathirika 291 wa virusi vya Corona wapona nchini Iran


Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Udaktari nchini Iran imetangaza kwamba hadi sasa watu 291 waliokuwa wameathirika na virusi vya Corona wamepona na kuruhusiwa kutoka hospitalini.

Alireza Raeesi, Naibu Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Udaktari nchini Iran ameyasema hayo leo akiongea na waandishi wa habari. Ameashiria kuwa watu 1,501 waathiriwa wa virusi vya Corona nchini Iran na kusema kwa bahati mbaya hadi sasa watu 66 wamefariki dunia kutokana na virusi hivyo.

Virusi vya Corona viliibuka...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Watu 913 wapona virusi vya corona nchini Iran, WHO yapongeza

Wizara ya Afya ya Iran imetangaza kuwa hadi hivi sasa watu 913 walioambukizwa virusi vya corona humu nchini wamepona na kurejea katika maisha yao ya kawaida.

Dk Kianoush Jahanpour, Mkuu wa Kituo cha Mawasiliano ya Umma na Upashaji Habari cha Wizara ya Afya ya Iran alitangaza habari hiyo jana Ijumaa na kuongeza kuwa, watu walioambukizwa virusi vya corona nchini Iran kufikia jana ilikuwa ni 4,747, kati ya hao 124 wamepoteza maisha kutokana na virusi hivyo lakini waliopona ni watu 913.

Dk...

 

5 years ago

Michuzi

Watu 552 waliokuwa wameambukizwa Corona nchini Iran wapona

 Iran imetangaza kuwa hadi sasa watu 552 waliombukizwa ugonjwa wa COVID-19 maarufu kama Corona wamepona na wamepewa ruhusa ya kurudi nyumbani kutoka hospitali.

Akizungumza na waandishi habari Jumatano hii mjini Tehran, Kianoush Jahanpour mkuu wa Idara ya Mahusiano ya Umma katika Wizara ya Afya ya Iran amesema watu hao wote waliopona wako katika hali nzuri hivi sasa.

Ameongeza kuwa, hadi kufikia leo Jumatano adhuhuri kulikuwa na kesi mpya 586 za waliombukizwa kirusi cha Corona kote Iran na...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Watu 15 wapona corona Kenya, wagonjwa wapya 11

Hii ni idadi kubwa zaidi ya watu kupona kwa siku nchini Kenya

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona : Wagonjwa wawili wapona Tanzania huku 14 zaidi wakipata maambukizi Kenya

Wizara ya afya nchini Tanzania imethibitisha kuwa wagonjwa wengine wawili wamepona ugonjwa wa Corona huku nchi jirani ya Kenya ikitangaza kuwa watu wengine 14 wamepata maambukizi ya virusi vya ugonjwa huo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Iran yaamua kufungua misikiti licha masharti ya kukabiliana na corona

Misikiti kote nchini Iran imepangiwa kufunguliwa Jumanne hatua inayowadia licha ya kwamba baadhi ya maeneo bado yanaathirika vibaya na janga la virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Jinsi Iran inavyokabiliana na corona

Iran inahofia uhaba wa vifaa vya kujikinga na virusi vya corona wakati huu ambao inakabiliwa na vikwazo vya Marekani.

 

5 years ago

CCM Blog

MADAKTARI NA MANESI 1700 NCHINI CHINA WAATHIRIKA NA VIRUSI CORONA

Zaidi ya madaktari na manesi 1700 nchini China wameathirika na virusi vya CoronaKamisheni ya Afya ya Kitaifa nchini China amesema kuwa, zaidi ya madaktari na manesi 1700 wameathirika na virusi vya Corona nchini humo.Taaifa iliyotolewa na kamisheni hiyo jana Ijumaa mjini Beijing imebaini kuwa zaidi ya watu 1,500 kati ya madaktari na manesi hao, wamelazwa katika hospitali ya mkoa wa Hubei ambapo 1,102 miongoni mwao waliambukizwa virusi hivyo katika mji wa Wuhan, makao makuu ya mkoa huo. Taarifa hiyo hiyo imeongeza kuwa idadi ya maafisa hao wa afya walioambukizwa virusi...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mtaa wa Chicago waathirika pakubwa na virusi vya corona Marekani

Wamarekani weusi katika mtaa wa Chicago nchini Marekani ni asilimia 70 ya watu waliofariki na virusi vya corona licha ya kuwa asilimia 30 ya idadi ya watu katika mtaa huo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: "Coronadamas", wanawake wanaoosha miili ya waliokufa na covid-19 Iran

Watu waliojitolea kuosha maiti maarufu kama "coronadamas" wanaendesha kazi yao katika mji wa Iran wa Qom ili kutimiza moja ya tamaduni za tangu jadi ya dini ya Kiislamu ya kumuosha maiti kabla ya kuzikwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani