MADAKTARI NA MANESI 1700 NCHINI CHINA WAATHIRIKA NA VIRUSI CORONA
Kamisheni ya Afya ya Kitaifa nchini China amesema kuwa, zaidi ya madaktari na manesi 1700 wameathirika na virusi vya Corona nchini humo.Taaifa iliyotolewa na kamisheni hiyo jana Ijumaa mjini Beijing imebaini kuwa zaidi ya watu 1,500 kati ya madaktari na manesi hao, wamelazwa katika hospitali ya mkoa wa Hubei ambapo 1,102 miongoni mwao waliambukizwa virusi hivyo katika mji wa Wuhan, makao makuu ya mkoa huo. Taarifa hiyo hiyo imeongeza kuwa idadi ya maafisa hao wa afya walioambukizwa virusi...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FFMTLtFRsvg/Xl1oCvQ5CBI/AAAAAAALgek/ENCl2BZvqX0iasmUN5-Oq3hpGZJkGMKogCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv6fba7fc89ba1lyf6_800C450.jpg)
Waathirika 291 wa virusi vya Corona wapona nchini Iran
![](https://1.bp.blogspot.com/-FFMTLtFRsvg/Xl1oCvQ5CBI/AAAAAAALgek/ENCl2BZvqX0iasmUN5-Oq3hpGZJkGMKogCLcBGAsYHQ/s640/4bv6fba7fc89ba1lyf6_800C450.jpg)
Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Udaktari nchini Iran imetangaza kwamba hadi sasa watu 291 waliokuwa wameathirika na virusi vya Corona wamepona na kuruhusiwa kutoka hospitalini.
Alireza Raeesi, Naibu Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Udaktari nchini Iran ameyasema hayo leo akiongea na waandishi wa habari. Ameashiria kuwa watu 1,501 waathiriwa wa virusi vya Corona nchini Iran na kusema kwa bahati mbaya hadi sasa watu 66 wamefariki dunia kutokana na virusi hivyo.
Virusi vya Corona viliibuka...
5 years ago
BBCSwahili26 Apr
Virusi vya corona: Nadharia za uongo kuhusu virusi vya corona kati ya Marekani na China
9 years ago
MichuziTIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WAKISHIRIKIANA NA MADAKTARI WA ZANZIBAR WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Mtaa wa Chicago waathirika pakubwa na virusi vya corona Marekani
10 years ago
Dewji Blog29 Oct
Ban Ki Moon awafunda manesi na madaktari
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon.
Na Mwandishi wetu
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban ki Moon amezitaka nchi duniani kuacha tabia ya unyanyapaa kwa madaktari na manesi waliofanya kazi katika nchi zilizoathiriwa na ugonjwa wa Ebola na kuwalazimisha kwenda karantini pindi warejeapo nyumbani.
Akizungumza katika mji mkuu wa Ethiopia Adiss ababa, Ban amewaelezea wafanyakazi wa namna hiyo kuwa ni wa kipekee mno, marafiki wazuri na si vyema kuwatenga.
Kauli hiyo inakuja baada ya...
9 years ago
Mwananchi07 Sep
Magufuli: Nitaboresha maslahi ya manesi na madaktari
5 years ago
BBCSwahili17 Mar
Coronavirus: China yakerwa Trump kuita corona 'virusi vya China'
5 years ago
BBCSwahili04 May
Virusi vya corona: Je magari yenye huduma za 'kukabiliana' na corona China ni 'njama'?
5 years ago
BBCSwahili26 May
Virusi vya corona: Madaktari wanasema kwamba ni ugonjwa usioeleweka