Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MADAKTARI NA MANESI 1700 NCHINI CHINA WAATHIRIKA NA VIRUSI CORONA

Zaidi ya madaktari na manesi 1700 nchini China wameathirika na virusi vya CoronaKamisheni ya Afya ya Kitaifa nchini China amesema kuwa, zaidi ya madaktari na manesi 1700 wameathirika na virusi vya Corona nchini humo.Taaifa iliyotolewa na kamisheni hiyo jana Ijumaa mjini Beijing imebaini kuwa zaidi ya watu 1,500 kati ya madaktari na manesi hao, wamelazwa katika hospitali ya mkoa wa Hubei ambapo 1,102 miongoni mwao waliambukizwa virusi hivyo katika mji wa Wuhan, makao makuu ya mkoa huo. Taarifa hiyo hiyo imeongeza kuwa idadi ya maafisa hao wa afya walioambukizwa virusi...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Waathirika 291 wa virusi vya Corona wapona nchini Iran


Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Udaktari nchini Iran imetangaza kwamba hadi sasa watu 291 waliokuwa wameathirika na virusi vya Corona wamepona na kuruhusiwa kutoka hospitalini.

Alireza Raeesi, Naibu Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Udaktari nchini Iran ameyasema hayo leo akiongea na waandishi wa habari. Ameashiria kuwa watu 1,501 waathiriwa wa virusi vya Corona nchini Iran na kusema kwa bahati mbaya hadi sasa watu 66 wamefariki dunia kutokana na virusi hivyo.

Virusi vya Corona viliibuka...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Nadharia za uongo kuhusu virusi vya corona kati ya Marekani na China

Tangu mlipuko wa virusi vya corona kutokea nadharia zisizo za kweli kuhusu chimbuko na ukubwa wa janga la corona ni miongoni mwa yaliyoenea kwenye mitandao.

 

9 years ago

Michuzi

TIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WAKISHIRIKIANA NA MADAKTARI WA ZANZIBAR WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR

  Dokta Gao Yun Lai akimpima presha na sukari bwana Mohd Ali mkazi wa Kisauni upimaji huo ulifanyika katika kijiji  cha kisauni Zanzibar.   Dokta Fadhil Mohd ambae ni dokta dhamana kanda ya Unguja akitoa maelezo kwa waandishi wa habari hawapo pichani.Wananchi mbalimbali wakipatawa  huduma za matibabu katika kijiji cha Kisauni zanzibar.Picha na Abdalla Omar habari maelezo zanzibar.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mtaa wa Chicago waathirika pakubwa na virusi vya corona Marekani

Wamarekani weusi katika mtaa wa Chicago nchini Marekani ni asilimia 70 ya watu waliofariki na virusi vya corona licha ya kuwa asilimia 30 ya idadi ya watu katika mtaa huo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Ban Ki Moon awafunda manesi na madaktari

Ethiopia UN Ebola

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon.

Na Mwandishi wetu

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban ki Moon amezitaka nchi duniani kuacha tabia ya unyanyapaa kwa madaktari na manesi waliofanya kazi katika nchi zilizoathiriwa na ugonjwa wa Ebola na kuwalazimisha kwenda karantini pindi warejeapo nyumbani.

Akizungumza katika mji mkuu wa Ethiopia Adiss ababa, Ban amewaelezea wafanyakazi wa namna hiyo kuwa ni wa kipekee mno, marafiki wazuri na si vyema kuwatenga.

Kauli hiyo inakuja baada ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli: Nitaboresha maslahi ya manesi na madaktari

Mgombea wa urais kupitia CCM Dk John Magufuli amesema iwapo atapatiwa ridhaa ya kuingia Ikulu atahakikisha anaboresha maslahi ya manesi na madaktari na kuongeza kuwa hatawavumilia watumishi wote wanaofungia dawa kwenye mabohari mpaka zinaharibika.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: China yakerwa Trump kuita corona 'virusi vya China'

Rais wa Marekani Donald Trump ametumia neno hilo ingawa kumekuwa na wito wa kuepuka kunyanyapaa eneo au kundi fulani wakati huu wa maambukizi ya virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je magari yenye huduma za 'kukabiliana' na corona China ni 'njama'?

Watengenezaji magari nchini China wanaangazia wasiwasi wa kiafya kupitia uzinduzi wa magari ambayo yana huduma za kukabiliana na virusi vya virusi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Madaktari wanasema kwamba ni ugonjwa usioeleweka

Madaktari wanasema virusi hivyo vinabadilika na kusababisha madhara tofauti kila siku.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani