Ban Ki Moon awafunda manesi na madaktari
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon.
Na Mwandishi wetu
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban ki Moon amezitaka nchi duniani kuacha tabia ya unyanyapaa kwa madaktari na manesi waliofanya kazi katika nchi zilizoathiriwa na ugonjwa wa Ebola na kuwalazimisha kwenda karantini pindi warejeapo nyumbani.
Akizungumza katika mji mkuu wa Ethiopia Adiss ababa, Ban amewaelezea wafanyakazi wa namna hiyo kuwa ni wa kipekee mno, marafiki wazuri na si vyema kuwatenga.
Kauli hiyo inakuja baada ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi07 Sep
Magufuli: Nitaboresha maslahi ya manesi na madaktari
5 years ago
CCM Blog15 Feb
MADAKTARI NA MANESI 1700 NCHINI CHINA WAATHIRIKA NA VIRUSI CORONA
![Zaidi ya madaktari na manesi 1700 nchini China wameathirika na virusi vya Corona](https://media.parstoday.com/image/4bv6a9908d330d1lkri_800C450.jpg)
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74170000/jpg/_74170569_021804091.jpg)
9 years ago
BBCSwahili24 Aug
Ban Ki Moon ziarani Nigeria
11 years ago
BBCSwahili11 Apr
Ban Ki-moon ataoa tahadhari CAR
10 years ago
BBCSwahili13 Jan
Ban Ki Moon akemea machafuko, Nigeria
10 years ago
BBCSwahili13 Aug
Ban Ki moon afanya maamuzi magumu
10 years ago
BBCSwahili28 Oct
Ban Ki Moon ziarani Pembe ya Afrika
10 years ago
BBCSwahili02 Jun
Ban Ki-Moon alaani yanayojiri S.kusini