Magufuli: Nitaboresha maslahi ya manesi na madaktari
Mgombea wa urais kupitia CCM Dk John Magufuli amesema iwapo atapatiwa ridhaa ya kuingia Ikulu atahakikisha anaboresha maslahi ya manesi na madaktari na kuongeza kuwa hatawavumilia watumishi wote wanaofungia dawa kwenye mabohari mpaka zinaharibika.
Mwananchi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania