Magufuli: Nitaboresha maslahi ya manesi na madaktari
Mgombea wa urais kupitia CCM Dk John Magufuli amesema iwapo atapatiwa ridhaa ya kuingia Ikulu atahakikisha anaboresha maslahi ya manesi na madaktari na kuongeza kuwa hatawavumilia watumishi wote wanaofungia dawa kwenye mabohari mpaka zinaharibika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
NITABORESHA MASLAHI YA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA-MAGUFULI

Dkt Magufuli alisema kuwa anataka kuona watumishi wa jeshi hilo wanakuwa na mishahara mizuri na hiyo itawezesha kufanya kazi ya ulinzi na usalama wa nchi kwa ufanisi zaidi...
11 years ago
Dewji Blog29 Oct
Ban Ki Moon awafunda manesi na madaktari
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon.
Na Mwandishi wetu
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban ki Moon amezitaka nchi duniani kuacha tabia ya unyanyapaa kwa madaktari na manesi waliofanya kazi katika nchi zilizoathiriwa na ugonjwa wa Ebola na kuwalazimisha kwenda karantini pindi warejeapo nyumbani.
Akizungumza katika mji mkuu wa Ethiopia Adiss ababa, Ban amewaelezea wafanyakazi wa namna hiyo kuwa ni wa kipekee mno, marafiki wazuri na si vyema kuwatenga.
Kauli hiyo inakuja baada ya...
5 years ago
CCM Blog15 Feb
MADAKTARI NA MANESI 1700 NCHINI CHINA WAATHIRIKA NA VIRUSI CORONA

10 years ago
Mwananchi17 Sep
Magufuli: Nitaboresha uhusiano wa kibiashara na nchi jirani
5 years ago
CCM Blog
MADAKTARI KUKUTANA NA RAIS MAGUFULI KESHO

Rais wa MAT, Dkt. Elisha Osati amesema kuwa mkutano huo unaotarajiwa kufanyika kesho tarehe 20 mwezi huu katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC), utashirikisha zaidi ya watumishi 1,000 wa kada ya afya.
“Tunataka tumueleze Rais masuala mbalimbali yanayohusu sekta...
5 years ago
Michuzi
RAIS DK. MAGUFULI AIPONGEZA MKAPA FOUNDATION KWA UJENZI WA NYUMBA ZA MADAKTARI NCHINI


10 years ago
Tanzania Daima13 Nov
Kitabu cha mwongozo kwa manesi chazinduliwa
BARAZA la Manesi na Wakunga Tanzania, limezindua kitabu kinachotoa mwongozo kwa kuangalia kiwango ambacho muuguzi anatakiwa kufanya kazi kulingana na elimu aliyonayo. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mwakilishi wa...
5 years ago
Michuzi
RAIS DKT MAGUFULI ASHIRIKI KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA MADAKTARI KITAIFA MWAKA 2020 JIJINI DAR ES SALAAM






10 years ago
GPL
SKENDO! MAMA AJIFUNGUA, MANESI WADAIWA KUMTUMBUKIZA MTOTO KWENYE NDOO