MADAKTARI KUKUTANA NA RAIS MAGUFULI KESHO
![](https://1.bp.blogspot.com/-N49X0QlvcXU/Xkz6JJEcyPI/AAAAAAACy-Y/SfAaH67uHtcQYc-70o5I0YotYjP0S--BwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.gif)
Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) kinatarajia kukutana na kuzungumza na Rais John Magufuli, ambapo miongoni mwa mambo watakayomueleza ni changamoto za ukosefu wa ajira, udhalilishaji na motisha za watumishi.
Rais wa MAT, Dkt. Elisha Osati amesema kuwa mkutano huo unaotarajiwa kufanyika kesho tarehe 20 mwezi huu katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC), utashirikisha zaidi ya watumishi 1,000 wa kada ya afya.
“Tunataka tumueleze Rais masuala mbalimbali yanayohusu sekta...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vGqnhEYFc7w/XsV11cHqFkI/AAAAAAALrBY/vb1dsdvG9iQCTS9EO-b0W7OXJruuqmWLwCLcBGAsYHQ/s72-c/9AAA-768x660.jpg)
Rais Magufuli na Rais Kenyatta waagiza viongozi kukutana na kutatua mgogoro wa malori mpakani
![](https://1.bp.blogspot.com/-vGqnhEYFc7w/XsV11cHqFkI/AAAAAAALrBY/vb1dsdvG9iQCTS9EO-b0W7OXJruuqmWLwCLcBGAsYHQ/s640/9AAA-768x660.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VhgBMl8LEPw/Xl5a_R5qMwI/AAAAAAALgvs/zjusSny0x4I0TAJ1_F9IqCPl5corXwY2ACLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
MAALIM SEIF ASEMA AMEFURAHI KUKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VhgBMl8LEPw/Xl5a_R5qMwI/AAAAAAALgvs/zjusSny0x4I0TAJ1_F9IqCPl5corXwY2ACLcBGAsYHQ/s640/0.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi Blogu ya Jamii
MWANASIASA mkongwe nchini ambaye kwa sasa ni Mshauri wa Chama cha ACT-Wazalendo Maalim Seif Sharif Hamad amesema anamshukuru Rais Dk.John Magufuli kwa kukutana na kufanya mazungumzo naye.
Maalim Seif amekutana na Rais Magufuli ikiwa ni mara yake ya kwanza tangu ajiunge na ACT –Wazalendo akitokea Chama cha Wananci(CUF).Hata hivyo kabla ya kuondoka CUF alishawahi kukutana na kufanya mazungumzo na Rais.
Akizungumza baada ya mazungumzo yake na Rais Magufuli,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XMEJ96Q2T1Q/XlDeaiq-MKI/AAAAAAAEFJM/kwQBfGHjq_goMw7e7Q1Jh1rumXqNFL0yQCLcBGAsYHQ/s72-c/mk3.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AIPONGEZA MKAPA FOUNDATION KWA UJENZI WA NYUMBA ZA MADAKTARI NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-XMEJ96Q2T1Q/XlDeaiq-MKI/AAAAAAAEFJM/kwQBfGHjq_goMw7e7Q1Jh1rumXqNFL0yQCLcBGAsYHQ/s640/mk3.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/mk4.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wnF2WC61GJU/Xk6PvJmr-4I/AAAAAAALehQ/jLmEoC4iSx42lRVuHSSfBm51xqLQdDO5wCLcBGAsYHQ/s72-c/do1.jpeg)
RAIS DKT MAGUFULI ASHIRIKI KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA MADAKTARI KITAIFA MWAKA 2020 JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-wnF2WC61GJU/Xk6PvJmr-4I/AAAAAAALehQ/jLmEoC4iSx42lRVuHSSfBm51xqLQdDO5wCLcBGAsYHQ/s640/do1.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-_jiTO5fX4JM/Xk6PvLUbLoI/AAAAAAALehY/p84nPupgx4E9UrvmcbOSPUj2rr22DmGNwCLcBGAsYHQ/s640/do2.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-jsi8qh0ARak/Xk6PvA5RPoI/AAAAAAALehU/t8MOsGXOAJ4Ohw_9n3EfYuGVNDaaeXkCQCLcBGAsYHQ/s640/do3.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-4ExEaLeKTws/Xk6PweQszZI/AAAAAAALehc/ktETTFYHqCoHjH2h0yzhppGTn-Zt1cRzQCLcBGAsYHQ/s640/do4%2B%25282%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-mA5mbYykayo/Xk6Rk2Q5zvI/AAAAAAALeik/FUj_OhJ_tgg1KXAOZa7_xC76ssXRk_8vQCLcBGAsYHQ/s640/dd%2B%25281%2529.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-j30AYkpwmE8/Xk6Q3ANaGUI/AAAAAAALehw/w_vbHL3Ir1UJQ8gRiif6AEH22SIGkg-1ACLcBGAsYHQ/s640/dd%2B%25283%2529.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-TxRZrQbEe9k/XueP10dGgKI/AAAAAAAC7nY/PU5nf4MlN4AaPY-4j1xxDacdy5QDjpURwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MAGUFULI KUHUTUBIA BUNGE NA KULIVUNJA KESHO
![](https://1.bp.blogspot.com/-TxRZrQbEe9k/XueP10dGgKI/AAAAAAAC7nY/PU5nf4MlN4AaPY-4j1xxDacdy5QDjpURwCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Bunge hilo lilifunguliwa na Rais Magufuli Novemba 20, 2015 baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Akifungua Bunge hilo, Rais Magufuli aliainisha viapaumbele kadhaa vya Serikali yake ikiwemo kupambana na rushwa, kukusanya kodi, kupunguza urasimu...
5 years ago
Bongo514 Feb
Rais Magufuli aamuru madaktari 258 walioomba kufanya kazi nchini Kenya waajiriwe nchini mara 1
Mnamo tarehe 18 Machi 2017 Ujumbe wa Serikali ya Kenya ukiongozwa na Waziri wa Afya Dkt. Cleopa Mailu uliwasili nchini ambapo ulikutana na Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Dhumuni la mkutano huo ulikua kuomba kuajiri, kwa Mkataba, Madaktari wa Tanzania mia tano (500), ili kupunguza uhaba wa Madaktari nchini Kenya.
Mheshimiwa Rais JPM, alikubali ombi hilo.
Mnamo tarehe 18 Machi, 2017, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FgEVhZFnvDo/XnC5fP2H3qI/AAAAAAALkFQ/YCMRdMRUuIsOZN-9IeADeiKNq97DC0SpwCLcBGAsYHQ/s72-c/cd91494e-7468-410f-99b0-f6dd6981f07a.jpg)
TFF, Bodi ya Ligi Kukutana kesho
![](https://1.bp.blogspot.com/-FgEVhZFnvDo/XnC5fP2H3qI/AAAAAAALkFQ/YCMRdMRUuIsOZN-9IeADeiKNq97DC0SpwCLcBGAsYHQ/s640/cd91494e-7468-410f-99b0-f6dd6981f07a.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/TADWU-1.jpg?width=650)
CHAMA CHA MADEREVA KUKUTANA NA JK KESHO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZsRJPe1cGBo/VUT7T0BEz9I/AAAAAAAHU5k/BcdGEUkkkEM/s72-c/cdm.jpg)
KAMATI KUU CHADEMA KUKUTANA DAR ES SALAAM KESHO NA KESHOKUTWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZsRJPe1cGBo/VUT7T0BEz9I/AAAAAAAHU5k/BcdGEUkkkEM/s1600/cdm.jpg)
Taarifa inatolewa kwa vyombo vya habari kuwa kuwa Kamati Kuu ya Chama, chini ya Mwenyekiti wake Freeman Mbowe, itakutana Mei 3-4, katika kikao chake cha kawaida kwa mujibu wa Katiba ya Chama.Katika kikao hicho cha siku mbili kitakachofanyika jijini Dar es Salaam, pamoja na masuala mengine ya kitaifa kuhusu hali ya kisiasa nchini kwa ujumla na mengine mahsusi yanayohusu uendeshaji wa chama, KK itapokea taarifa, kujadili na kufanya maamuzi kuhusu;1. Maandalizi ya Chama kuelekea Uchaguzi...