RAIS DK. MAGUFULI AIPONGEZA MKAPA FOUNDATION KWA UJENZI WA NYUMBA ZA MADAKTARI NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-XMEJ96Q2T1Q/XlDeaiq-MKI/AAAAAAAEFJM/kwQBfGHjq_goMw7e7Q1Jh1rumXqNFL0yQCLcBGAsYHQ/s72-c/mk3.jpg)
Afisa Mtendaji Mkuu wa Mkapa Foundation Ellen Mkondya Senkoro akimuelekeza jambo Mwakilishi wa WHO nchini Tanzania Dr. Tigest Ketsela katikati wakati alipotembelea banda la taasisi hiyo katika maadhimisho ya Siku ya Madaktari Tanzania yaliyofanyika jana kwenye ukumbi wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Mkapa Foundation Ellen Mkondya Senkoro akiwa na Mwakilishi wa WHO nchini Tanzania Dr. Tigest Ketsela kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es salaam walipotembelea...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Bongo514 Feb
Rais Magufuli aamuru madaktari 258 walioomba kufanya kazi nchini Kenya waajiriwe nchini mara 1
Mnamo tarehe 18 Machi 2017 Ujumbe wa Serikali ya Kenya ukiongozwa na Waziri wa Afya Dkt. Cleopa Mailu uliwasili nchini ambapo ulikutana na Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Dhumuni la mkutano huo ulikua kuomba kuajiri, kwa Mkataba, Madaktari wa Tanzania mia tano (500), ili kupunguza uhaba wa Madaktari nchini Kenya.
Mheshimiwa Rais JPM, alikubali ombi hilo.
Mnamo tarehe 18 Machi, 2017, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iSKynTDTb-Y/VQmI4IzBMMI/AAAAAAAHLSc/Yt2maeQgSP4/s72-c/unnamed%2B(35).jpg)
KATIBU MKUU WIZARA YA UJENZI AIPONGEZA JICA KWA UFADHILI WA MIRADI MBALIMBALI YA BARABARA NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-iSKynTDTb-Y/VQmI4IzBMMI/AAAAAAAHLSc/Yt2maeQgSP4/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lcK-IIMwllI/VQmI4fmy-tI/AAAAAAAHLSk/DuyNmQfhQ8w/s1600/unnamed%2B(36).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aMOtUgmwRsc/U87dv9TbmJI/AAAAAAAF42k/jgJalKXTiPU/s72-c/unnamed+(54).jpg)
JK afungua nyumba za Watumishi wa Afya Matemanga, Tunduru, zilizojengwa na Mkapa Foundation
![](http://3.bp.blogspot.com/-aMOtUgmwRsc/U87dv9TbmJI/AAAAAAAF42k/jgJalKXTiPU/s1600/unnamed+(54).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8K0O7Dxf1fc/U87dxaw3LLI/AAAAAAAF42s/7RdnuEbn8mo/s1600/unnamed+(55).jpg)
10 years ago
Michuzi01 Oct
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-M_2jzKnNuTw/XswXSvaFX1I/AAAAAAALrfo/ISC2MiIJRbYgKc-9y4wqWK5t3Y0DQ6mqACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200525-WA0105.jpg)
SHILATU AKAGUA UJENZI NYUMBA YA MWALIMU,WANANCHI WAMSHUKURU RAIS MAGUFULI
Na Mwandishi wetu Mihambwe
Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu amekagua ujenzi nyumba ya Mwalimu huku Wakazi wa Kijiji cha Mpunda kilichopo kata ya Michenjele wakimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwajengea nyumba ya kuishi Mwalimu katika shule ya msingi Mpunda.
"Tunamshuru Rais Magufuli kutuletea fedha za kujenga nyumba hii ya Mwalimu. Haijawahi kutokea tangu tupate Uhuru maendeleo haya ya kasi tunayoyaona. Pia tunamshukuru Afisa Tarafa Mihambwe kututembelea mara kwa...
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Rais Magufuli Aipongeza TRA Kukusanya Trilioni 1.3 kwa Mwezi Mmoja
Rais Dkt John Pombe Magufuli.
Rais Magufuli amempongeza Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania Dkt. Philip Mpango kwa kazi nzuri ya ukusanyaji wa mapato inayofanywa na mamlaka hiyo ambayo imeongeza ukusanyaji wa Mapato na kwa mara ya kwanza mwezi huu ukusanyaji wa mapato hayo unatarajiwa kuwa zaidi ya shilingi trilioni 1.3
Kutokana na mafanikio hayo amewahakikishia watanzania kuwa fedha kwa ajili ya kutimiza ahadi ya kutoa elimu bure kwa shule za msingi na sekondari ambazo ni...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/6i_isjjBFrU/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-I2_N3OiFvqU/XutFCHjJR-I/AAAAAAALuaU/IfUMSiRM9DghUgZKND1yveXhK_bLNuuwgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-18%2Bat%2B12.21.19%2BPM.jpeg)
WAZIRI JAFO AIPONGEZA TAASISI YA DK MSUYA FOUNDATION KWA KUKARABATI SAMANI ZA SHULE YA SEKONDARI IBIHWA
Charles James, Michuzi TV
UZALENDO! Ndio kauli ambayo Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo ameitumia kuipongeza Taasisi ya Dk Msuya Foundation kwa kuwezesha kusaidia ukarabati samani za Shule ya Sekondari Ibihwa iliyopo wilayani Bahi, Dodoma.
Waziri Jafo ameipongeza taasisi hiyo inayoongozwa na Dk Ombeni Msuya kwa moyo wao wa kizalendo uliowezesha ukarabati huo wa Viti 76 na Meza 45 kwenye shule hiyo ikiwa ni kuunga mkono juhudi za serikali za kuinua elimu nchini.
Akizungumza...
9 years ago
MichuziMKAPA AMPONGEZA RAIS KIKWETE, NSSF UJENZI DARAJA LA KIGAMBONI