Rais Magufuli Aipongeza TRA Kukusanya Trilioni 1.3 kwa Mwezi Mmoja
Rais Dkt John Pombe Magufuli.
Rais Magufuli amempongeza Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania Dkt. Philip Mpango kwa kazi nzuri ya ukusanyaji wa mapato inayofanywa na mamlaka hiyo ambayo imeongeza ukusanyaji wa Mapato na kwa mara ya kwanza mwezi huu ukusanyaji wa mapato hayo unatarajiwa kuwa zaidi ya shilingi trilioni 1.3
Kutokana na mafanikio hayo amewahakikishia watanzania kuwa fedha kwa ajili ya kutimiza ahadi ya kutoa elimu bure kwa shule za msingi na sekondari ambazo ni...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YALWkr4Dcj4/Voz4Sy1SuBI/AAAAAAADEjs/mxfOoZTw-rI/s72-c/PIX%2B1.jpg)
TRA YAVUKA LENGO YAKUSANYA TRILIONI 1.4 KWA MWEZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-YALWkr4Dcj4/Voz4Sy1SuBI/AAAAAAADEjs/mxfOoZTw-rI/s640/PIX%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0NqQKW38V3w/Voz4TccnILI/AAAAAAADEjo/SGkouMnkwvo/s640/PIX%2B2.jpg)
9 years ago
Global Publishers06 Jan
TRA yavuka lengo la kusanya Trilioni 1.4 kwa mwezi
Kaimu Kamishna Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA, Alphayo Kidata.
Jumla ya shilingi trilioni 1.4 imekusanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) katika kipindi cha mwezi Desemba mwaka uliopita wa 2015.
Kiasi hicho ni sawa na ongezeko la wastani wa shilingi bilioni 490 kwa mwezi ukulinganisha na wastani wa makusanyo ya kuanzia Julai hadi Novemba ambapo ,TRA ilikuwa imekusanya wastani wa shilingi bilioni 900 kwa mwezi.
Takwimu hizo zimetolewa leo jijini Dar es salaam na Kaimu Kamishna Mamlaka ya...
9 years ago
Mwananchi21 Sep
TRA kukusanya Sh12.3 trilioni mwaka huu
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-b0oGfXHtjzM/Vo0WkstDS2I/AAAAAAAIQ2Y/bvLFiaMwHMI/s72-c/3_28_o.jpg)
TRA YAONGEZA MWEZI MMOJA USAJILI WA PIKIPIKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-b0oGfXHtjzM/Vo0WkstDS2I/AAAAAAAIQ2Y/bvLFiaMwHMI/s320/3_28_o.jpg)
Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA) imesema imeongeza muda kwa usajili wa vyombo vya usafiri vya Pikipiki za magurudumu mawili na matatu mpaka Februari Mosi mwaka 2016.
Hayo yamesemwa leo na Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka hiyo Alphayo Kidata alipokuwa akizungumza na waandishi wa Habari katika kikao chake cha kutoa taarifa kwa umma juu ya ukusanyaji wa kodi, Kaimu Kamishna Mkuu amesema wameamua kuongeza muda wa zoezi la usajili wa pikipiki ili kuiwapa nafasi wale...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XMEJ96Q2T1Q/XlDeaiq-MKI/AAAAAAAEFJM/kwQBfGHjq_goMw7e7Q1Jh1rumXqNFL0yQCLcBGAsYHQ/s72-c/mk3.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AIPONGEZA MKAPA FOUNDATION KWA UJENZI WA NYUMBA ZA MADAKTARI NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-XMEJ96Q2T1Q/XlDeaiq-MKI/AAAAAAAEFJM/kwQBfGHjq_goMw7e7Q1Jh1rumXqNFL0yQCLcBGAsYHQ/s640/mk3.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/mk4.jpg)
9 years ago
BBCSwahili07 Dec
Mwezi mmoja wa uongozi wa Magufuli Tanzania
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UX8pMr8ycbw/XvSPwgLREEI/AAAAAAALvXs/AIXnQKgoImk_m32LakDmMqLWjWh_DOWkQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-2AAA-1-768x512.jpg)
RC SHIGELA AIPONGEZA TRA KUENDESHA KAMPENI YA ELIMU KWA MLIPAKODI
![](https://1.bp.blogspot.com/-UX8pMr8ycbw/XvSPwgLREEI/AAAAAAALvXs/AIXnQKgoImk_m32LakDmMqLWjWh_DOWkQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-2AAA-1-768x512.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigela akizungumza na timu ya maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakati walipomtembelea ofisini kwake kuzungumzia kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayoendelea jijini humo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PICHA-3AAA-3-1024x682.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigela akizungumza na timu ya maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakati walipomtembelea ofisini kwake kuzungumzia kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayoendelea jijini humo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PICHA-4AAA-1-1024x682.jpg)
Afisa Msimamizi wa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)...
10 years ago
Habarileo19 Nov
TRA yashindwa kukusanya bilioni 40/-
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani Mwanza imeshindwa kufikia malengo yake ya kukusanya mapato Sh bilioni 40 katika kipindi cha Julai hadi Oktoba, mwaka huu kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo za ukwepaji kodi.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/2SyIV2fY7V0/default.jpg)