Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TRA yashindwa kukusanya bilioni 40/-

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani Mwanza imeshindwa kufikia malengo yake ya kukusanya mapato Sh bilioni 40 katika kipindi cha Julai hadi Oktoba, mwaka huu kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo za ukwepaji kodi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kilombero kukusanya 48 bilioni

Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero inakadiria kupata jumla ya Sh48 bilioni kutoka vyanzo vyake mbalimbali vya mapato.

 

10 years ago

Habarileo

Gairo kukusanya bilioni 17/-

HALMASHAURI ya wilaya ya Gairo inatarajia kukusanya Sh bilioni 18.6 kutoka katika vyanzo mbalimbali vikiwemo mapato ya ndani katika kipindi cha bajeti ya mwaka wa fedha 2015/16.

 

9 years ago

Mwananchi

TRA kukusanya Sh12.3 trilioni mwaka huu

Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),  Rished Bade amesema mamlaka hiyo imejipanga kukusanya zaidi ya Sh12.3 trilioni  katika mwaka huu wa fedha.

 

10 years ago

Habarileo

Wizara ya Kilimo yatakiwa kukusanya bilioni 3.1/-

Kaimu Mwenyekiti wa PAC, Ismail Aden RageKAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeiagiza Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, kuhakikisha inakusanya Sh bilioni 3.1 zilizotumika kununulia mbolea ya Minjingu.

 

9 years ago

Global Publishers

Rais Magufuli Aipongeza TRA Kukusanya Trilioni 1.3 kwa Mwezi Mmoja

MagufuliRais Dkt John Pombe Magufuli.

Rais Magufuli amempongeza Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania Dkt. Philip Mpango kwa kazi nzuri ya ukusanyaji wa mapato inayofanywa na mamlaka hiyo ambayo imeongeza ukusanyaji wa Mapato na kwa mara ya kwanza mwezi huu ukusanyaji wa mapato hayo unatarajiwa kuwa zaidi ya shilingi trilioni 1.3

Kutokana na mafanikio hayo amewahakikishia watanzania kuwa fedha kwa ajili ya kutimiza ahadi ya kutoa elimu bure kwa shule za msingi na sekondari ambazo ni...

 

9 years ago

Mtanzania

Dhamana ya vigogo TRA Sh bilioni 7.8

Pg 2Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imeridhia kutoa dhamana kwa watuhumiwa watatu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kuwataka kila mmoja kutoa fedha taslimu Sh bilioni 2.6.

Akisoma uamuzi huo jana, Jaji Winfrida Koroso, aliwataja watuhumiwa hao kuwa ni Tiagi Masamaki (56) ambaye ni Kamishna wa Forodha wa mamlaka hiyo, Burton Mponezya (51) na Habibu Mponezya (45) ambaye ni Meneja wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja.

Alisema kabla ya kutoa...

 

10 years ago

Dewji Blog

TRA Singida wakusanya bilioni 4.14/-

DSC02408

Mkuu wa mkoa wa Singida,Dk.Parseko Kone, akizungumza kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya mlipa kodi mkoa wa Singida yaliyofanyika kwenye stand ya askofu Mabulla mjini Singida.Wa kwanza kulia ni kaimu meneja wa TRA mkoa wa Singida, Samwel Shula na kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Singida,Queen Mlozi.

Na Nathaniel Limu, Singida

MAMLAKA ya mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Singida, imekusanya zaidi ya shilingi 4.14 bilioni kuanzia julai mwaka jana hadi sasa, ikiwa ni ongezeko la asilimia 34 ...

 

9 years ago

Mwananchi

Dhamana ya vigogo TRA Sh2.16 bilioni

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetoa masharti magumu ya dhamana kwa vigogo watatu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kati ya washtakiwa wanane wa kesi ya uhujumu uchumi, kutokana na sakata la makontena yaliyoondolewa katika Bandari Kavu ya Azam bila kulipa kodi.     

 

10 years ago

Michuzi

TRA YAKUSANYA ZAIDI YA SH.BILIONI 258 KWA FAINI NA KODI ZA BIDHAA ZA MAGENDO

Na Avila Kakingo,Globu ya jamii
MAMLAKA ya Mapato Nchini (TRA), kwa kipindi cha miezi miwili iliyopita imekusanya zaidi ya Sh. Bilioni 258 zilizotokana na faini ya bidhaa mbalimbali za magendo.
Hayo ameyasema leo Mkurugenzi huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi wa TRA, Richard Kayombo wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es salaam,amesema TRA inaungana na jeshi la Polisi katika kukamata watu wanaojihusisha na usafirishaji na uuzaji wa ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani