TRA Singida wakusanya bilioni 4.14/-
Mkuu wa mkoa wa Singida,Dk.Parseko Kone, akizungumza kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya mlipa kodi mkoa wa Singida yaliyofanyika kwenye stand ya askofu Mabulla mjini Singida.Wa kwanza kulia ni kaimu meneja wa TRA mkoa wa Singida, Samwel Shula na kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Singida,Queen Mlozi.
Na Nathaniel Limu, Singida
MAMLAKA ya mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Singida, imekusanya zaidi ya shilingi 4.14 bilioni kuanzia julai mwaka jana hadi sasa, ikiwa ni ongezeko la asilimia 34 ...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi27 Oct
Ikungi wakusanya Sh2.9 bilioni
10 years ago
Mwananchi07 Nov
Mfuko wa GEPF wakusanya Sh37.29 bilioni
10 years ago
Habarileo19 Nov
TRA yashindwa kukusanya bilioni 40/-
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani Mwanza imeshindwa kufikia malengo yake ya kukusanya mapato Sh bilioni 40 katika kipindi cha Julai hadi Oktoba, mwaka huu kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo za ukwepaji kodi.
9 years ago
Mtanzania16 Dec
Dhamana ya vigogo TRA Sh bilioni 7.8
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imeridhia kutoa dhamana kwa watuhumiwa watatu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kuwataka kila mmoja kutoa fedha taslimu Sh bilioni 2.6.
Akisoma uamuzi huo jana, Jaji Winfrida Koroso, aliwataja watuhumiwa hao kuwa ni Tiagi Masamaki (56) ambaye ni Kamishna wa Forodha wa mamlaka hiyo, Burton Mponezya (51) na Habibu Mponezya (45) ambaye ni Meneja wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja.
Alisema kabla ya kutoa...
9 years ago
Mwananchi16 Dec
Dhamana ya vigogo TRA Sh2.16 bilioni
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-R_vGc-QsXzs/VSfYsyMbBrI/AAAAAAAHQIA/-wV8LBPhP90/s72-c/unnamedM.jpg)
TRA YAKUSANYA ZAIDI YA SH.BILIONI 258 KWA FAINI NA KODI ZA BIDHAA ZA MAGENDO
MAMLAKA ya Mapato Nchini (TRA), kwa kipindi cha miezi miwili iliyopita imekusanya zaidi ya Sh. Bilioni 258 zilizotokana na faini ya bidhaa mbalimbali za magendo.
Hayo ameyasema leo Mkurugenzi huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi wa TRA, Richard Kayombo wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es salaam,amesema TRA inaungana na jeshi la Polisi katika kukamata watu wanaojihusisha na usafirishaji na uuzaji wa ...
10 years ago
Dewji Blog16 Mar
TASAF yatumia bilioni 4.2 kuzinusuru kaya masikini Singida
Kaimu Katibu Tawala mkoa wa Singida, Aziza Mumba, akizungumza wakati akifungua semina ya siku moja iliyoitishwa na ofisi ya Mtaribu wa TASAF mkoa, kwa ajili ya kuwajengea uwezo wadau wa mfuko huo ili waweze kufahamu vema.
Mratibu wa mfuko wa maendeleo ya jamii (TASAF) mkoa wa Singida,Patrick Kasango akitoa ufafanuzi juu ya misaada ya fedha ya zaidi ya shilingi 4.2 bilioni zilizotolewa kwa kaya maskini 42,218, ili kuzinusuru ziweze kupata lishe bora, huduma za afya na elimu.
Baadhi ya...
11 years ago
Dewji Blog04 Jun
Mwenge wa Uhuru kuwasili Singida na kuzindua miradi ya bilioni 5.9
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk, Parseko Kone akizungumza na waandishi wa habari juu ya ujio wa Mwenge wa Uhuru Mkoani Humo.
Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida Lianna Hassan akimkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Singida kuzungumza na waandishi wa habari kuhusiana na ujio wa Mwenge wa Uhuru.
Wajumbe wa Mwenge akiwemo Afisa Utamaduni wa Wilaya ya Manyoni Salum Mkuya, na Afisa Michezo Mkoa wa Singida, Henry Kapera.
Wajumbe wa kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Singida wakiwa kwenye kikao.
Wakimbiza...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1sCGVfxzOE8/XpYOnv1_tCI/AAAAAAALm9w/c5Uf7H1px8w8681FeipN3UZZ5M-3fbNGQCLcBGAsYHQ/s72-c/2e93a306-8813-410e-817f-cc51122b3786.jpg)
Bilioni 16 Zaleta Mageuzi Miundombu ya Barabara Manispaa ya Singida
![](https://1.bp.blogspot.com/-1sCGVfxzOE8/XpYOnv1_tCI/AAAAAAALm9w/c5Uf7H1px8w8681FeipN3UZZ5M-3fbNGQCLcBGAsYHQ/s640/2e93a306-8813-410e-817f-cc51122b3786.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/4bd3fc06-f654-4e6d-bb44-ffd03fde6d57.jpg)
Moja ya barabara za Halmashauri ya Manispaa ya Singida kama inavyoonekana baada ya ujenzi na uwekaji wa taa kukamilka.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/634e9b08-3175-4d3d-b648-66394fb3ddd8.jpg)
Muonekano wa Stendi Kuu ya Halmashauri ya Manispaa ya Singida inayohdumia mabasi ya ndani na nje ya nchi kama inavyoonekana katika picha, mradi huo umetekelezwa kwa gharama ya shilingi Bilioni 3 na kuwezesha mapato...