Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TRA Singida wakusanya bilioni 4.14/-

DSC02408

Mkuu wa mkoa wa Singida,Dk.Parseko Kone, akizungumza kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya mlipa kodi mkoa wa Singida yaliyofanyika kwenye stand ya askofu Mabulla mjini Singida.Wa kwanza kulia ni kaimu meneja wa TRA mkoa wa Singida, Samwel Shula na kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Singida,Queen Mlozi.

Na Nathaniel Limu, Singida

MAMLAKA ya mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Singida, imekusanya zaidi ya shilingi 4.14 bilioni kuanzia julai mwaka jana hadi sasa, ikiwa ni ongezeko la asilimia 34 ...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ikungi wakusanya Sh2.9 bilioni

Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi mkoani Singida imekusanya Sh2.9 bilioni kutoka katika vyanzo vyake mbalimbali vya mapato, kati ya Julai na Septemba 30 mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Mfuko wa GEPF wakusanya Sh37.29 bilioni

>Mfuko wa Mafao ya Kustaafu (GEPF) umekusanya Sh37.29 bilioni kutoka kwa wanachama wake 76,000 katika kipindi cha miaka 10 kuanzia 2004 hadi Juni 2014.

 

10 years ago

Habarileo

TRA yashindwa kukusanya bilioni 40/-

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani Mwanza imeshindwa kufikia malengo yake ya kukusanya mapato Sh bilioni 40 katika kipindi cha Julai hadi Oktoba, mwaka huu kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo za ukwepaji kodi.

 

9 years ago

Mtanzania

Dhamana ya vigogo TRA Sh bilioni 7.8

Pg 2Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imeridhia kutoa dhamana kwa watuhumiwa watatu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kuwataka kila mmoja kutoa fedha taslimu Sh bilioni 2.6.

Akisoma uamuzi huo jana, Jaji Winfrida Koroso, aliwataja watuhumiwa hao kuwa ni Tiagi Masamaki (56) ambaye ni Kamishna wa Forodha wa mamlaka hiyo, Burton Mponezya (51) na Habibu Mponezya (45) ambaye ni Meneja wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja.

Alisema kabla ya kutoa...

 

9 years ago

Mwananchi

Dhamana ya vigogo TRA Sh2.16 bilioni

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetoa masharti magumu ya dhamana kwa vigogo watatu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kati ya washtakiwa wanane wa kesi ya uhujumu uchumi, kutokana na sakata la makontena yaliyoondolewa katika Bandari Kavu ya Azam bila kulipa kodi.     

 

10 years ago

Michuzi

TRA YAKUSANYA ZAIDI YA SH.BILIONI 258 KWA FAINI NA KODI ZA BIDHAA ZA MAGENDO

Na Avila Kakingo,Globu ya jamii
MAMLAKA ya Mapato Nchini (TRA), kwa kipindi cha miezi miwili iliyopita imekusanya zaidi ya Sh. Bilioni 258 zilizotokana na faini ya bidhaa mbalimbali za magendo.
Hayo ameyasema leo Mkurugenzi huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi wa TRA, Richard Kayombo wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es salaam,amesema TRA inaungana na jeshi la Polisi katika kukamata watu wanaojihusisha na usafirishaji na uuzaji wa ...

 

10 years ago

Dewji Blog

TASAF yatumia bilioni 4.2 kuzinusuru kaya masikini Singida

DSC04558

Kaimu Katibu Tawala mkoa wa Singida, Aziza Mumba, akizungumza wakati akifungua semina ya siku moja iliyoitishwa na ofisi ya Mtaribu wa TASAF mkoa, kwa ajili ya kuwajengea uwezo wadau wa mfuko huo ili waweze kufahamu vema.

DSC04566

Mratibu wa mfuko wa maendeleo ya jamii (TASAF) mkoa wa Singida,Patrick Kasango akitoa ufafanuzi juu ya misaada ya fedha ya zaidi ya shilingi 4.2 bilioni zilizotolewa kwa kaya maskini 42,218, ili kuzinusuru ziweze kupata lishe bora, huduma za afya na elimu.

DSC04565

Baadhi ya...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mwenge wa Uhuru kuwasili Singida na kuzindua miradi ya bilioni 5.9

DSC01298

Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk, Parseko Kone akizungumza na waandishi wa habari juu ya ujio wa Mwenge wa Uhuru Mkoani Humo.

DSC01290

Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida Lianna Hassan akimkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Singida kuzungumza na waandishi wa habari kuhusiana na ujio wa Mwenge wa Uhuru.

DSC01291

Wajumbe wa Mwenge akiwemo Afisa Utamaduni wa Wilaya ya Manyoni Salum Mkuya, na Afisa Michezo Mkoa wa Singida, Henry Kapera.

DSC01296

Wajumbe wa kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Singida wakiwa kwenye kikao.

DSC01297

Wakimbiza...

 

5 years ago

Michuzi

Bilioni 16 Zaleta Mageuzi Miundombu ya Barabara Manispaa ya Singida

Muonekano wa taa katika barabara yakuingia mjini Singida kama ilivyokutwa Machi 27, 2020 baada ya kutekelezwa kwa mradi wa ujenzi wa miundombinu ya mji huo.
Moja ya barabara za Halmashauri ya Manispaa ya Singida kama inavyoonekana baada ya ujenzi na uwekaji wa taa kukamilka.
Muonekano wa Stendi Kuu ya Halmashauri ya Manispaa ya Singida inayohdumia mabasi ya ndani na nje ya nchi kama inavyoonekana katika picha, mradi huo umetekelezwa kwa gharama ya shilingi Bilioni 3 na kuwezesha mapato...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani