Ikungi wakusanya Sh2.9 bilioni
Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi mkoani Singida imekusanya Sh2.9 bilioni kutoka katika vyanzo vyake mbalimbali vya mapato, kati ya Julai na Septemba 30 mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog24 Nov
TRA Singida wakusanya bilioni 4.14/-
Mkuu wa mkoa wa Singida,Dk.Parseko Kone, akizungumza kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya mlipa kodi mkoa wa Singida yaliyofanyika kwenye stand ya askofu Mabulla mjini Singida.Wa kwanza kulia ni kaimu meneja wa TRA mkoa wa Singida, Samwel Shula na kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Singida,Queen Mlozi.
Na Nathaniel Limu, Singida
MAMLAKA ya mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Singida, imekusanya zaidi ya shilingi 4.14 bilioni kuanzia julai mwaka jana hadi sasa, ikiwa ni ongezeko la asilimia 34 ...
10 years ago
Mwananchi07 Nov
Mfuko wa GEPF wakusanya Sh37.29 bilioni
9 years ago
Mwananchi16 Dec
Dhamana ya vigogo TRA Sh2.16 bilioni
11 years ago
Mwananchi17 May
Kashfa ya Sh2 bilioni yaibuliwa Wizara ya Afya
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Vyama vya ushirika vyapewa mkopo Sh2 bilioni
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Maliasili wakusanya zaidi ya mil. 260/- MpandaÂ
HALMASHAURI ya Wilaya ya Mpanda imekusanya zaidi ya sh. milioni 260 zilizotokana na mapato ya ndani zilizokusanywa na Idara ya Ardhi na Maliasili katika kipindi cha mwaka mmoja kuanzia Julai 2013 ...
9 years ago
Bongo510 Nov
Machangudoa wa Zimbabwe wakusanya mbegu za kiume na kuziuza kwa gharama kubwa
![Prostitute+sex+worker](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Prostitute-sex-worker-300x194.jpg)
Wanaume wasio waaminifu walionywa mwaka jana nchini Zimbabwe kutoka miji ya Gwanda na Beitbridge iliyopo mpakani mwa Zimbabwe na Afrika ya Kusini.
Machangudoa kutoka miji hiyo hukusanya mbegu za kiume na kwenda kuziuza nchini Afrika ya Kusini. Inasadikika kuwa mbegu hizo zinakwenda kwa waganga wa kienyeji maarufu kama sangoma ili kutumika kwa mambo ya kishirikina.
Wengine wakihisi kwamba wanawake hao huuza mbegu hizo kati ya dola 25 hadi 30 kwa chupa ya milimeta 250 yaani robo lita....
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mW3hzFCfQ6o/Vh-pwTVE7_I/AAAAAAAIAFg/A8bPonXahLQ/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-10-15%2Bat%2B3.08.49%2BPM.png)
WABUNIFU WA MAVAZI NCHINI WAKUSANYA NGUVU KWA PAMOJA KUHUBIRI JUU YA UMUHIMU WA AMANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-mW3hzFCfQ6o/Vh-pwTVE7_I/AAAAAAAIAFg/A8bPonXahLQ/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-15%2Bat%2B3.08.49%2BPM.png)
9 years ago
Dewji Blog03 Jan
Breaking News! Wananchi wa Yombo jijini Dar “wakamua jipu†wakusanya taka watupa ofisi ya Mtendaji!
Takataka zinavyoonekana mbele ya ofisi za Afisa Mtendaji wa Mtaa wa Yombo baada ya Wananchi masaa machache yaliyopita kuamua kwenda hapo na kutupaa taka hizo kwa kile walichokieleza kuwa, Mtendaji huyo kushindwa kuzoa taka licha ya wananchi kulipa pesa za ukusanyaji wake. (Picha na JM wa Modewjiblog-Yombo).
Katika hali isiliyo ya kawaida, wananchi wa Yombo wameamua kuchukua hatua ya kukusanya takataaka zao zilizokuwa pembeni mwa nyumba zao na kisha kwenda kuzitupa mbele ya ofisi ya Afisa...