Maliasili wakusanya zaidi ya mil. 260/- MpandaÂ
HALMASHAURI ya Wilaya ya Mpanda imekusanya zaidi ya sh. milioni 260 zilizotokana na mapato ya ndani zilizokusanywa na Idara ya Ardhi na Maliasili katika kipindi cha mwaka mmoja kuanzia Julai 2013 ...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-u0bUiztYm98/VbzjkqYw4BI/AAAAAAAHtC4/y5GgwRvOGwY/s72-c/MMGL3284.jpg)
LOWASSA ARUDISHA FOMU ZA KUWANIA URAIS KUPITIA CHADEMA, ADHAMINIWA NA ZAIDI YA WANANZANIA ZAIDI YA MIL. 1.6
![](http://1.bp.blogspot.com/-u0bUiztYm98/VbzjkqYw4BI/AAAAAAAHtC4/y5GgwRvOGwY/s640/MMGL3284.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LJ-Vd5Gz7bY/VbzjnXGvIII/AAAAAAAHtDM/bi0pM0ml8R0/s640/MMGL3330.jpg)
11 years ago
GPL18 Mar
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Zaidi ya Mil. 500/- zahitajika sherehe za mwenge Kagera
MKUU wa Mkoa wa Kagera, Kanali mstaafu Fabian Massawe, amesema zaidi ya sh milioni 500 zinahitajika kukamilisha sherehe za kuwasha mwenge kitaifa, Mei 2, mwaka huu. Kanali Massawe aliwaomba wadau...
10 years ago
Dewji Blog16 Sep
Shirika la FU-DI kutumia zaidi ya Mil 90 kwa miradi ya nyuki
Meneja wa shirika lisilo la kiserikali la Future Development Initiatives (FU-DI) lenye makazi yake Ikungi mkoa wa Singida, Jonathan Njau akimkaribisha ofisini kwake rais wa shirikisho la wafuga nyuki duniani, Gilles Ratia.
Na Nathaniel Limu, Ikungi
WAKAZI wa jimbo la Singida mashariki,wamehimizwa kujiunga/kuanzisha vikundi na kuvisajili,ili kujijengea mazingira mazuri ya kunufaika na misaada mbalimbali inayotolewa na shirika lisilo la kiserikali la Future Development Initiatives (FU-DI)...
9 years ago
StarTV11 Sep
 Serikali yadaiwa zaidi ya Sh. Mil. 872 wilayani Mbarali
Walimu wa shule za msingi na Sekondari katika Halmashauri ya wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya wanaidai Serikali zaidi ya Shilingi Milioni 872 za malimbikizo ya stahiki mbalimbali ikiwemo Mishahara. Takwimu zilizotolewa na uongozi wa Chama cha Walimu CWT wilayani humo zinaonesha kuwa sehemua ya madai hayo inawahusu walimu wastaafu na baadhi yao wameshafariki.
Waalimu hao wamesema kucheleweshewa kulipwa madeni yao kunasababisha malalamiko ya marakwa mara kutokana na kuahidiwa kulipwa madani yao...
10 years ago
StarTV05 May
Uvuvi haramu, Nyavu za zaidi ya sh. mil. 200 zakamatwa.
Na Mariam Emily,
Bukoba.
Idara za uvuvi za mikoa ya Kagera na Geita zimekamata zana haramu za uvuvi zenye thamani zaidi ya shilingi milioni mia mbili katika doria ya wiki mbili iliyofanyika kwenye visiwa na fukwe za mikoa hiyo inayopakana na ziwa Victoria.
Hata hivyo maafisa wa uvuvi wa mikoa hiyo wameshauri kuwepo na sheria kali inayolenga kuwaadhibu watu wanaoendelea kutumia zana zisizoruhusiwa ili kutokomeza uvuvi haramu.
Baadhi ya makokoro kati ya makokoro sabini na saba...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dOV8831GDKcgC9m4UjrIfA*MG04AZMVwbvACLQNNWi3nZM3LRctWJzDhxZqoKFDRngpmcplC7swv12Q6V*zlWYR1lv8AE8ht/NMBcopy.jpg?width=750)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_ksGrOUkJpw/VlqSbIsdXeI/AAAAAAAII3w/m0YzAuM8GKg/s72-c/a3a430d7-a9c9-4658-8258-1a641e343d09.jpg)
Tutakomesha biashara haramu ya magogo, maliasili—Serikali
10 years ago
Dewji Blog17 May
Lowassa achangisha zaidi ya Sh. Mil 200 ujenzi wa msikiti wa Patandi Arusha
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa jimbo la Monduli mkoani Arusha, Edward Lowasa akiwapungia mikono wafuasi wake waliofika katika uwanja wa msikiti mkuu katika hafla ya harambee ya ujenzi wa msikiti wa Patandi ambapo jumla ya kiasi cha zaidi ya sh,200 milioni zilipatikana katika harambee hiyo(Habari picha na Pamela Mollel wa jamiiblog).
Umati mkubwa wa wananchi wa Arusha wakiwa wanampungia mkono Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa jimbo la Monduli mkoani Arusha ,Edward Lowasa akiwapungia mikono...