Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shirika la FU-DI kutumia zaidi ya Mil 90 kwa miradi ya nyuki

DSC00698

Meneja wa shirika lisilo la kiserikali la Future Development Initiatives (FU-DI) lenye makazi yake Ikungi mkoa wa Singida, Jonathan Njau akimkaribisha ofisini kwake rais wa shirikisho la wafuga nyuki duniani, Gilles Ratia.

Na Nathaniel Limu, Ikungi

WAKAZI wa jimbo la Singida mashariki,wamehimizwa kujiunga/kuanzisha vikundi na kuvisajili,ili kujijengea mazingira mazuri ya kunufaika na misaada mbalimbali inayotolewa na shirika lisilo la kiserikali la Future Development Initiatives (FU-DI)...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Zaidi ya Mil 60 zilizotengwa kwa sherehe za miaka 50 ya Mkoa wa Singida kutumia kununulia vifaa tiba

IMG_1422

Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akitoa taarifa kwa waandishi wa habari juu ya kubadilisha matumizi ya zaidi ya shilingi 60.6 milioni zilizokuwa zigharamie sherehe ya maadhimisho ya mkoa huu kutimiza miaka 50 toka uanzishwe mwaka 1963, na sasa zitatumika kununulia vifaa tiba na vitendea kazi katika hospitali mpya ya rufaa ya mkoa. IMG_1426 IMG_1439 Meneja wa shirika lisilo la kiserikali la SEMA mkoani hapa, Ivo Manyaku, ameupongeza mkoa wa Singida kwa uamuzi wake wa kutumia shilingi 60.6...

 

11 years ago

Mwananchi

Miradi miwili ya maji Wilaya ya Mkalama kutumia Sh799 mil

Wilaya ya Mkalama mkoani Singida, inatarajia kutumia zaidi ya Sh799.4 milioni kwa ajili ya miradi ya maji katika Vijiji vya Ng’ang’uli na Iguguno vilivyopo kwenye mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN).

 

11 years ago

Michuzi

COMPASSION KUTUMIA BILIONI 41.8 KWA MIRADI

Mkurugenzi wa shirika la Compassion Tanzania,Mchungaji Joseph Mayala alipokuwa akizindua miradi mbalimbali Iringa. (picha na Denis Mlowe) ======  ======  =======
Na Denis Mlowe,Iringa.
SHIRIKA la kimataifa la Compassion linalofanya kazi na madhehebu ya Kikristo nchini linatarajia kutumia zaidi ya sh. Bilioni 41.8 hadi Juni mwaka huu katika kutekeleza miradi yake ikiwemo kuwasomesha  wanafunzi 70,087 wanaosoma shule na vyuo mbalimbali ndani na nje ya nchi.   Hayo yamesemwa na Mkurugenzi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Makala ya kuongeza uzalishaji mazao ya Nyuki kwa kutumia mizinga ya kisasa na kuondokana na mizinga ya asili katika mkoa wa Singida

bidhaa[1]

Na Jumbe Ismailly, Singida      

HALMASHAURI ya wilaya ya Singida ina ukubwa wa kilomita za mraba 3,787 ambazo wananchi wake hujishughulisha na kilimo na ufugaji.

Mazao ya chakula na biashara yanayolimwa na wananchi hao ni pamoja na mtama,uwele,alzeti,vitunguu na dengu na zao la kipaumbele ni asali kwa ajili ya chakula na biashara.

Halmashauri ya wilaya ya Singida ina maeneo mapana ya ufugaji nyuki ikiwemo misitu ya watu binafsi na misitu ya ardhi ya Kijiji ukiwemo msitu wa Hifadhi wa...

 

5 years ago

Michuzi

Jumuiya za CCM Watakiwa kuanzisha miradi ya nyuki

 Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi taifa ambaye pia ni mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Edmond Mndolwa akikata utepe wakati wa kukabidhi mashine ya kufyatua matofali wakati alipotembelea halmashauri ya wilaya ya Longido.  Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi taifa ambaye pia ni mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),Dkt. Edmond Mndolwa akikabidhi viti wakati alipotembelea halmashauri ya wilaya ya Longido.Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi taifa ambaye pia ni mjumbe wa...

 

5 years ago

Michuzi

ULEGA AKABIDHI MIL.3 NA MIFUKO YA SARUJI 140 KWA AJILI YA MIRADI YA MAENDELEO



Mwamvua Mwinyi, MkurangaMBUNGE wa Jimbo la Mkuranga ambae pia ni Naibu wa Waziri wa Mifugo na Uvuvi ,Abdallah Ulega amekabidhi sh.milioni tatu na mifuko ya saruji 140 kwenye miradi mbalimbali ya maendeleo Jimbo la Mkuranga. 
Zoezi hilo ni sehemu ya utekelezaji wa ahadi mbalimbali alizozitoa mbunge Ulega kwenye miradi ya maendeleo.
Miradi iliyonufaika ni pamoja na ujenzi wa kituo cha afya Lukanga saruji mifuko 50, ujenzi wa zahanati Yavayava saruji mifuko 50, ujenzi wa kivuko Churwi 30, ujenzi...

 

9 years ago

StarTV

Mafuta Kitalu Cha Eyasi Wembere  Serikali kutumia Sh. Mil. 14 kwa utafiti

Serikali imekusudia kutumia kiasi cha shilingi milioni 14 kufanikisha utafiti wa awali wa mafuta katika eneo la kitalu cha Eyasi Wembere kwenye mikoa ya Arusha, Singida, Shinyanga, Simiyu, Tabora  na baadae Mandawa  mkoani Lindi.

Tayari utafiti huo utaanza Novovemba 23 mwaka huu chini ya shirika  la ndege Kampuni ya C-GG kutoka nchini Canada linalojihusisha na mambo ya utafiti wa mafuta na gesi.

Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania TPDC Dr. James Mataragio wakati...

 

11 years ago

Mwananchi

Sekta ufugaji nyuki kuzalisha zaidi

Wakala wa Huduma za Misitu (TFS) ameanza utekekezaji wa mikakati ya kuhakisha kuwa sekta ya ufugaji nyuki inatumika kuzalisha mazao mengine ya kibiashara badala ya asali na nta pekee kama ilivyo kwa sasa.

 

11 years ago

GPL

MANISPAA YA KINONDONI YANUNUA MAGARI MAPYA 10 YENYE THAMANI YA MIL 779 KWA KUTUMIA VYANZO VYA MAPATO YA NDANI‏

Magari mapya aina ya Toyota yakiwa Manispaa ya Kinondoni mara baada ya kukabidhiwa hapo jana. Mwonekano wa moja ya gari mpya zilizonunuliwa na Manispaa ya Kinondoni.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani