Shirika la FU-DI kutumia zaidi ya Mil 90 kwa miradi ya nyuki
Meneja wa shirika lisilo la kiserikali la Future Development Initiatives (FU-DI) lenye makazi yake Ikungi mkoa wa Singida, Jonathan Njau akimkaribisha ofisini kwake rais wa shirikisho la wafuga nyuki duniani, Gilles Ratia.
Na Nathaniel Limu, Ikungi
WAKAZI wa jimbo la Singida mashariki,wamehimizwa kujiunga/kuanzisha vikundi na kuvisajili,ili kujijengea mazingira mazuri ya kunufaika na misaada mbalimbali inayotolewa na shirika lisilo la kiserikali la Future Development Initiatives (FU-DI)...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog24 Dec
Zaidi ya Mil 60 zilizotengwa kwa sherehe za miaka 50 ya Mkoa wa Singida kutumia kununulia vifaa tiba
![IMG_1426](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_1426.jpg)
![IMG_1439](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_1439.jpg)
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Miradi miwili ya maji Wilaya ya Mkalama kutumia Sh799 mil
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5p3pck-g_Fg/U4OCv9ciW1I/AAAAAAACiNs/vdhOXcK49p4/s72-c/unnamed+(2).jpg)
COMPASSION KUTUMIA BILIONI 41.8 KWA MIRADI
![](http://4.bp.blogspot.com/-5p3pck-g_Fg/U4OCv9ciW1I/AAAAAAACiNs/vdhOXcK49p4/s1600/unnamed+(2).jpg)
Na Denis Mlowe,Iringa.
SHIRIKA la kimataifa la Compassion linalofanya kazi na madhehebu ya Kikristo nchini linatarajia kutumia zaidi ya sh. Bilioni 41.8 hadi Juni mwaka huu katika kutekeleza miradi yake ikiwemo kuwasomesha wanafunzi 70,087 wanaosoma shule na vyuo mbalimbali ndani na nje ya nchi. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi...
10 years ago
Dewji Blog02 Jul
Makala ya kuongeza uzalishaji mazao ya Nyuki kwa kutumia mizinga ya kisasa na kuondokana na mizinga ya asili katika mkoa wa Singida
Na Jumbe Ismailly, Singida
HALMASHAURI ya wilaya ya Singida ina ukubwa wa kilomita za mraba 3,787 ambazo wananchi wake hujishughulisha na kilimo na ufugaji.
Mazao ya chakula na biashara yanayolimwa na wananchi hao ni pamoja na mtama,uwele,alzeti,vitunguu na dengu na zao la kipaumbele ni asali kwa ajili ya chakula na biashara.
Halmashauri ya wilaya ya Singida ina maeneo mapana ya ufugaji nyuki ikiwemo misitu ya watu binafsi na misitu ya ardhi ya Kijiji ukiwemo msitu wa Hifadhi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8VsnR1ILNHs/Xk_Z-a_lXdI/AAAAAAALerc/y39HhSHTLzEkHsgbJXfwnY7ls3G5GxvFACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200221_100245.jpg)
Jumuiya za CCM Watakiwa kuanzisha miradi ya nyuki
![](https://1.bp.blogspot.com/-8VsnR1ILNHs/Xk_Z-a_lXdI/AAAAAAALerc/y39HhSHTLzEkHsgbJXfwnY7ls3G5GxvFACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200221_100245.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-u4XDO9bRSp4/Xk_Z-NBTjcI/AAAAAAALerY/nGGZlJYuVFo3l194zQBDsI-jtiTzQ8MNACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200221_100808.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-tGekAAhW6kM/Xk_Z-d3avfI/AAAAAAALerg/MD48jm58cEQW0oC1QxrjbTGNq5Qmcz-QQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200221_101209.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rXthJ5PT8qM/Xrv6oXFhG0I/AAAAAAALqEo/X_bV8yh3Jmw5X2ykHPWc-YfVLpOfuwr7QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200513-WA0041.jpg)
ULEGA AKABIDHI MIL.3 NA MIFUKO YA SARUJI 140 KWA AJILI YA MIRADI YA MAENDELEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-rXthJ5PT8qM/Xrv6oXFhG0I/AAAAAAALqEo/X_bV8yh3Jmw5X2ykHPWc-YfVLpOfuwr7QCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200513-WA0041.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-4hlU3um542s/Xrv6oeDjl2I/AAAAAAALqEs/QUjoR8fdYL84Nt3--UpSTJsuhHjDCKoPACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200513-WA0042.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Vz8TUxr_N5k/Xrv6ogL-SSI/AAAAAAALqEw/Xw59A8vb0PYIO3IjqCak7sptYI3bIPWMACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200513-WA0043.jpg)
Zoezi hilo ni sehemu ya utekelezaji wa ahadi mbalimbali alizozitoa mbunge Ulega kwenye miradi ya maendeleo.
Miradi iliyonufaika ni pamoja na ujenzi wa kituo cha afya Lukanga saruji mifuko 50, ujenzi wa zahanati Yavayava saruji mifuko 50, ujenzi wa kivuko Churwi 30, ujenzi...
9 years ago
StarTV23 Nov
Mafuta Kitalu Cha Eyasi Wembere  Serikali kutumia Sh. Mil. 14 kwa utafiti
Serikali imekusudia kutumia kiasi cha shilingi milioni 14 kufanikisha utafiti wa awali wa mafuta katika eneo la kitalu cha Eyasi Wembere kwenye mikoa ya Arusha, Singida, Shinyanga, Simiyu, Tabora na baadae Mandawa mkoani Lindi.
Tayari utafiti huo utaanza Novovemba 23 mwaka huu chini ya shirika la ndege Kampuni ya C-GG kutoka nchini Canada linalojihusisha na mambo ya utafiti wa mafuta na gesi.
Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania TPDC Dr. James Mataragio wakati...
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Sekta ufugaji nyuki kuzalisha zaidi
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-A7xxFgzL_7o/UzwqDtYJpKI/AAAAAAAAMBg/Wn9yl9jtFUk/s1600/MAN2.jpg)
MANISPAA YA KINONDONI YANUNUA MAGARI MAPYA 10 YENYE THAMANI YA MIL 779 KWA KUTUMIA VYANZO VYA MAPATO YA NDANI