COMPASSION KUTUMIA BILIONI 41.8 KWA MIRADI
![](http://4.bp.blogspot.com/-5p3pck-g_Fg/U4OCv9ciW1I/AAAAAAACiNs/vdhOXcK49p4/s72-c/unnamed+(2).jpg)
Mkurugenzi wa shirika la Compassion Tanzania,Mchungaji Joseph Mayala alipokuwa akizindua miradi mbalimbali Iringa. (picha na Denis Mlowe)
====== ====== =======
Na Denis Mlowe,Iringa.
SHIRIKA la kimataifa la Compassion linalofanya kazi na madhehebu ya Kikristo nchini linatarajia kutumia zaidi ya sh. Bilioni 41.8 hadi Juni mwaka huu katika kutekeleza miradi yake ikiwemo kuwasomesha wanafunzi 70,087 wanaosoma shule na vyuo mbalimbali ndani na nje ya nchi.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog29 Jul
Jimbo la Dewji latumia 2.9 Bilioni kwa miradi ya Maendeleo
Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Singida, Idd Mnyampanda akifungua kikao cha kawaida cha baraza la madiwani kilichofanyika mjini Singida.Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo Mwendaharaka Maganga, na kushoto ni Makamu Mwenyekiti, Saidi Mumbee.
Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Singida, Mwendaharaka Maganga, akitoa taarifa yake ya utendaji mbele ya kikao cha baraza la madiwani kilichofanyika mjini Singida.
Baadhi ya madiwani wa halmashauri ya wilaya ya...
10 years ago
Dewji Blog16 Sep
Shirika la FU-DI kutumia zaidi ya Mil 90 kwa miradi ya nyuki
Meneja wa shirika lisilo la kiserikali la Future Development Initiatives (FU-DI) lenye makazi yake Ikungi mkoa wa Singida, Jonathan Njau akimkaribisha ofisini kwake rais wa shirikisho la wafuga nyuki duniani, Gilles Ratia.
Na Nathaniel Limu, Ikungi
WAKAZI wa jimbo la Singida mashariki,wamehimizwa kujiunga/kuanzisha vikundi na kuvisajili,ili kujijengea mazingira mazuri ya kunufaika na misaada mbalimbali inayotolewa na shirika lisilo la kiserikali la Future Development Initiatives (FU-DI)...
5 years ago
MichuziMKURUGENZI KAGURUMJULI AWEKA HISTORIA KINONDONI KUKAMILISHA MIRADI YA BILIONI 231.8 KWA KIPINDI CHA MIAKA MITANO ALAT YA MTUNUKU TUZO
Akisoma taarifa ya utekelezaji wa shughuli za Halmashauri hiyo katika kipindi hicho Mkurugenzi Ndug. Aron Kagurumjuli amesema kuwa kwaupande wa miradi ya kisekta imefanikiwa kutekeleza shughuli mbalimbali za kiuchumi, kisiasa, kijamii pamoja na miradi ya Maendeleo kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-S_-pzPsU1ls/UwNeQQhc8_I/AAAAAAAALAQ/CkNLKB5_0jY/s72-c/kinondoni.jpg)
MANISPAA YA KINONDONI YAPITISHA BAJETI YA SHS.BILIONI 121 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI MBALI MBALI
![](http://3.bp.blogspot.com/-S_-pzPsU1ls/UwNeQQhc8_I/AAAAAAAALAQ/CkNLKB5_0jY/s1600/kinondoni.jpg)
Akitoa taarifa hiyo Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni Mheshimiwa Yusuph Mwenda alisema fedha hizo zimetokana na makusanyo ya vyanzo vya mapato , pesa kutoka ruzuku serikali kuu,Tamisemi,pesa za makusanyo ya ndani ya Halmashauri .Kwa sasa Halmashauri ina uwezo wa kujiendesha ...
5 years ago
MichuziMKURUGENZI KAGURUMJULI AWEKA HISTORIA KINONDONI KUKAMILISHA MIRADI YA TAKRIBAN BILIONI 242.8 KWA KIPINDI CHA MIAKA MITANO, ALAT YAMPA TUZO.
Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni imeweka historia katika suala la utekelezaji wa miradi ya maendeleo na ile ya kimkakati kwa kipindi cha miaka mitano iliyogharimu takribani shilingi bilioni 242.8 fedha zilizotokana na vyanzo vya mapato ya ndani, Serikali kuu na wadau wengine wa maendeleo.
Taarifa hii imetolewa wakati wa uwasilishaji wa taarifa za utekelezaji wa shughuli za Serikali kwa kipindi cha miaka mitano katika kikao cha mwisho cha Baraza la Madiwani kilichofanyika leo katika...
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Bumbuli kutumia Sh24 bilioni
10 years ago
Mtanzania27 Apr
NHC yaongeza miradi ya bilioni 600/=
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu, amesema shirika hilo limefanikiwa kuongeza miradi yake na kufikia Sh bilioni 600 kwa miaka mitano.
Mafanikio hayo aliyasema jana jijini Dar es Salaam alipokuwa akizungumza na wahariri, aliwaambia kwamba mafanikio hayo ni mwanzo na wanatarajia kupata zaidi katika miaka miwili ijayo.
“Mwaka 2010 shirika hili lilikuwa na miradi ya Sh bilioni 4 lakini hivi sasa tumefanikiwa kufikisha bilioni...
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
Kilwa kutumia bil. 28/- miradi ya maendeleo
HALMASHAURI ya Wilaya ya Kilwa inatarajia kutumia sh bilioni 28.6 katika mwaka wa fedha ujao kwa ajili ya miradi ya maendeleo itakayowashirikisha wadau. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar...
5 years ago
MichuziWaziri Biteko: Sekta ya Madini inaongoza kwa ukuaji wa uchumi nchini,makusanyo yamepaa kutoka Bilioni 39/- hadi Bilioni 58/- kwa mwezi