Zaidi ya Mil. 500/- zahitajika sherehe za mwenge Kagera
MKUU wa Mkoa wa Kagera, Kanali mstaafu Fabian Massawe, amesema zaidi ya sh milioni 500 zinahitajika kukamilisha sherehe za kuwasha mwenge kitaifa, Mei 2, mwaka huu. Kanali Massawe aliwaomba wadau...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
DKT. BILAL AZINDUA SHEREHE ZA MBIO ZA MWENGE WA UHURU MKOANI KAGERA
11 years ago
Michuzi
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA RASMI SHEREHE ZA MBIO ZA MWENGE WA UHURU MKOANI KAGERA


9 years ago
Dewji Blog24 Dec
Zaidi ya Mil 60 zilizotengwa kwa sherehe za miaka 50 ya Mkoa wa Singida kutumia kununulia vifaa tiba


11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
Mwenge wa uhuru kuzinduliwa Kagera
MWENGE wa uhuru utazinduliwa Mei 2 mwaka huu mkoani Kagera ambapo miradi yenye thamani ya zaidi ya sh bilioni 14 itazinduliwa. Katika shughuli za uzinduzi huo utakaofanyika kwenye Uwanja wa...
11 years ago
Tanzania Daima06 Mar
Viapo kutafuna mil. 500/-
BUNGE Maalumu la Katiba litatumia zaidi ya sh milioni 500 kwa siku tatu kama posho za wajumbe ambao kwa siku hizo watakuwa wakifanya shughuli ya kuapa mmoja mmoja. Fedha hizo...
11 years ago
Habarileo28 Feb
Siwa Bunge la Katiba mil. 500/-
SIWA mahususi inayotarajiwa kutengenezwa kwa ajili ya kutumika katika Bunge Maalumu la Katiba, mfano wake umeoneshwa leo huku baadhi ya wajumbe wakitaka suala la gharama litazamwe. Mjumbe Richard Ndassa ambaye ni Mbunge wa Sumve, alisema siwa hiyo yenye kilo 3.5 za dhahabu, gharama yake inaweza kuwa takribani Sh milioni 500 jambo linalopaswa kutazamwa.
11 years ago
Habarileo30 Mar
Mil.500/- kujenga nyumba za walimu
SERIKALI imetenga Sh milioni 500 kwa halmashauri 41 nchini kwa ajili ya ujenzi wa nyumba bora za walimu. Rais Jakaya Kikwete aliwaambia wananchi wa Tanga, juzi wakati akihutubia Mkutano wa hadhara katika barabara ya Karume.
10 years ago
Michuzi
LOWASSA ARUDISHA FOMU ZA KUWANIA URAIS KUPITIA CHADEMA, ADHAMINIWA NA ZAIDI YA WANANZANIA ZAIDI YA MIL. 1.6


11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
Watakaochakachua mbolea kutozwa faini sh. mil. 500
NA SELINA WILSON,DODOMA
SERIKALI inakusudia kuongeza viwango vya adhabu ya faini kwa watakaochakachua mbolea kwa kuwatoza faini ya kati ya sh. milioni 100 na sh. milioni 500.
Pamoja na faini hiyo, mbolea itakayobainika kuchakuliwa na kuwa chini ya kiwango itateketezwa baada ya wakaguzi kuthibitisha kwamba imechakachuliwa.
Hayo yamo katika muswada wa marekebisho ya Sheria ya Mbolea sura namba 378 uliowasilishwa bungeni Jumatano wiki hii na kusomwa kwa mara ya kwanza.
Kwa mujibu wa muswada huo,...