DKT. BILAL AZINDUA SHEREHE ZA MBIO ZA MWENGE WA UHURU MKOANI KAGERA
![](http://api.ning.com:80/files/6Yi1*KCqJURHTRYmJsUuDQpbl8TFUjfbIapVVss4PhtB4aOjJTlLI1AeRN18UKkkA-TCKbkcXf2lYytcleEMTeflLJtoGY4k/bilal.jpg?width=650)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwasha Mwenge wa Uhuru wakati wa Sherehe za uzinduzi wa mbio za Mwenge huo zilizofanyika kwenye Uwanja wa Kaitaba, mjini Bukoba Mkoa wa Kagera leo Mei 2, 2014. Mwenge huo unatarajia kuitimisha mbio zake Oktoba 14 mkoani Tabora, ambapo zinatarajia kufungwa na mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete. Makamu wa Rais wa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-47slshMukoc/U2OWS39Bl1I/AAAAAAAFe6M/bv8_RPgeD3I/s72-c/1B.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA RASMI SHEREHE ZA MBIO ZA MWENGE WA UHURU MKOANI KAGERA
![](http://3.bp.blogspot.com/-47slshMukoc/U2OWS39Bl1I/AAAAAAAFe6M/bv8_RPgeD3I/s1600/1B.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-d6it8odIcDc/U2OWZKGIrCI/AAAAAAAFe6w/SrXr3-XH5AY/s1600/3B.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vdgTC6GKh9w/U2EJ2Uy2YPI/AAAAAAAFeKo/j_BGhEeVW7I/s72-c/drbilal(2).jpg)
DKT BILAL MGENI RASMI UZINDUZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU
![](http://1.bp.blogspot.com/-vdgTC6GKh9w/U2EJ2Uy2YPI/AAAAAAAFeKo/j_BGhEeVW7I/s1600/drbilal(2).jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Gharib Bilal, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2014, katika uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba, mkoani Kagera Mei tarehe 2. Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dkt. Fenella Mukangara wakati akiongea na Waandishi wa Habari Mjini Bukoba kuhusu Mbio hizo.
Mwenge huo utakaobeba ujumbe usemao “Katiba ni Sheria Kuu ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-s_1IsCe6Xfw/VUDusmrUNnI/AAAAAAAHUE0/7R_FxZvRcoQ/s72-c/4a.jpg)
DKT.SHEIN AZINDUA MBIO ZA MWENGE MKOANI RUVUMA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-s_1IsCe6Xfw/VUDusmrUNnI/AAAAAAAHUE0/7R_FxZvRcoQ/s1600/4a.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-upkY_FiW4xM/VUDuquFfP-I/AAAAAAAHUEc/mq4fULRdBEg/s1600/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yjH2Bp9dIIM/VT_xeRs3SqI/AAAAAAAC3wo/OrNyTmsmGSg/s72-c/Dr-Ali-Mohamed-Shein.jpg)
Dkt. Shein mgeni rasmi uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru mkoani Ruvuma.
![](http://3.bp.blogspot.com/-yjH2Bp9dIIM/VT_xeRs3SqI/AAAAAAAC3wo/OrNyTmsmGSg/s1600/Dr-Ali-Mohamed-Shein.jpg)
Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika sherehe za uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2015 ambazo Kitaifa zinafanyika Mkoani Ruvuma.
Kauli hiyo imetolewa leo na Waizri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara wakati wa mazoezi ya ya mwisho yaliyofanyika katika Uwanja wa mpira wa Majimaji mjini Songea.
Waziri Fenella amesema kuwa maandalizi yameenda vizuri na kuwataka wananchi kujitokeza...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-EOqduz8epSE/U2Kxxm9cqqI/AAAAAAAFee4/85iul0jmv-U/s72-c/1A.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL, AWASILI MJINI BUKOBA MKOA WA KAGERA JIONI HII KUWASHA MWENGE WA UHURU KESHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-EOqduz8epSE/U2Kxxm9cqqI/AAAAAAAFee4/85iul0jmv-U/s1600/1A.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-q4Mp0kcwVrk/U2KxxsxxibI/AAAAAAAFefA/mkQUa_04_wc/s1600/2.jpg)
9 years ago
VijimamboHOTUBA YA MHESHIMIWA DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, KWENYE SHEREHE YA KILELE CHA MBIO ZA MWENGE WA UHURU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j5WbzQSo3h84oK4AzOqvMKdJeRrRjKy8j6W2h2Ab2mU6k6Tp*NzVuS92DvscOAoFhl005PGAqSMQtPGq-yy5qXogJA-J2hyE/22.jpg?width=650)
HOTUBA YA JAKAYA KIKWETE KWENYE SHEREHE YA KILELE CHA MBIO ZA MWENGE WA UHURU, KUMBUKUMBU YA BABA WA TAIFA NA WIKI YA VIJANA KITAIFA, TAREHE 14/10/2014 – MKOANI TABORA
10 years ago
Vijimambo29 Apr
DK. SHEIN AZINDUA MBIO ZA MWENGE WA UHURU MKOA WA RUVUMA APRIL 29, 2015
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/184.jpg)
![unnamed](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/unnamed35.jpg)
![3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/355.jpg)
10 years ago
Vijimambo15 Oct
HOTUBA YA JAKAYA KIKWETE KWENYE SHEREHE YA KILELE CHA MBIO ZA MWENGE WA UHURU
![](http://api.ning.com/files/j5WbzQSo3h84oK4AzOqvMKdJeRrRjKy8j6W2h2Ab2mU6k6Tp*NzVuS92DvscOAoFhl005PGAqSMQtPGq-yy5qXogJA-J2hyE/22.jpg?width=650)
Mheshimiwa Dkt. Fenella Mukangara (MB), Waziri wa Habari,Vijana, Michezo, Utamaduni na Michezo;Mheshimiwa Zainabu Omar Mohamedi, Waziri wa Uwezeshaji,Ustawi wa Jamii, Vijana Wanawake na Watoto – Zanzibar;Mheshimiwa Fatuma A....