Dkt. Shein mgeni rasmi uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru mkoani Ruvuma.
![](http://3.bp.blogspot.com/-yjH2Bp9dIIM/VT_xeRs3SqI/AAAAAAAC3wo/OrNyTmsmGSg/s72-c/Dr-Ali-Mohamed-Shein.jpg)
Na: Frank Shija, WHVUM
Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika sherehe za uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2015 ambazo Kitaifa zinafanyika Mkoani Ruvuma.
Kauli hiyo imetolewa leo na Waizri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara wakati wa mazoezi ya ya mwisho yaliyofanyika katika Uwanja wa mpira wa Majimaji mjini Songea.
Waziri Fenella amesema kuwa maandalizi yameenda vizuri na kuwataka wananchi kujitokeza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog28 Apr
Dkt. Shein mgeni rasmi uzinduzi wa mbio za Mwengi wa Uhuru mkoani Ruvuma
![3](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/310.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vdgTC6GKh9w/U2EJ2Uy2YPI/AAAAAAAFeKo/j_BGhEeVW7I/s72-c/drbilal(2).jpg)
DKT BILAL MGENI RASMI UZINDUZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU
![](http://1.bp.blogspot.com/-vdgTC6GKh9w/U2EJ2Uy2YPI/AAAAAAAFeKo/j_BGhEeVW7I/s1600/drbilal(2).jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Gharib Bilal, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2014, katika uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba, mkoani Kagera Mei tarehe 2. Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dkt. Fenella Mukangara wakati akiongea na Waandishi wa Habari Mjini Bukoba kuhusu Mbio hizo.
Mwenge huo utakaobeba ujumbe usemao “Katiba ni Sheria Kuu ya...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/7ivGzfL1pjQ/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog29 Apr
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-s_1IsCe6Xfw/VUDusmrUNnI/AAAAAAAHUE0/7R_FxZvRcoQ/s72-c/4a.jpg)
DKT.SHEIN AZINDUA MBIO ZA MWENGE MKOANI RUVUMA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-s_1IsCe6Xfw/VUDusmrUNnI/AAAAAAAHUE0/7R_FxZvRcoQ/s1600/4a.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-upkY_FiW4xM/VUDuquFfP-I/AAAAAAAHUEc/mq4fULRdBEg/s1600/2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-47slshMukoc/U2OWS39Bl1I/AAAAAAAFe6M/bv8_RPgeD3I/s72-c/1B.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA RASMI SHEREHE ZA MBIO ZA MWENGE WA UHURU MKOANI KAGERA
![](http://3.bp.blogspot.com/-47slshMukoc/U2OWS39Bl1I/AAAAAAAFe6M/bv8_RPgeD3I/s1600/1B.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-d6it8odIcDc/U2OWZKGIrCI/AAAAAAAFe6w/SrXr3-XH5AY/s1600/3B.jpg)
10 years ago
Vijimambo29 Apr
DK. SHEIN AZINDUA MBIO ZA MWENGE WA UHURU MKOA WA RUVUMA APRIL 29, 2015
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/184.jpg)
![unnamed](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/unnamed35.jpg)
![3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/355.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6Yi1*KCqJURHTRYmJsUuDQpbl8TFUjfbIapVVss4PhtB4aOjJTlLI1AeRN18UKkkA-TCKbkcXf2lYytcleEMTeflLJtoGY4k/bilal.jpg?width=650)
DKT. BILAL AZINDUA SHEREHE ZA MBIO ZA MWENGE WA UHURU MKOANI KAGERA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ycmWSPmqRb0/VT-lb1hRLeI/AAAAAAAHT34/8uHZI_wA_i8/s72-c/3.jpg)
MAANDALIZI YA UZINDUZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU KWA MWAKA 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-ycmWSPmqRb0/VT-lb1hRLeI/AAAAAAAHT34/8uHZI_wA_i8/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZP617WbQTW0/VT-ldE8wIxI/AAAAAAAHT4A/brrAfnsysxQ/s1600/4.jpg)