DK. SHEIN AZINDUA MBIO ZA MWENGE WA UHURU MKOA WA RUVUMA APRIL 29, 2015
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein akihotubia leo mjini Songea wakati wa sherehe za uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa uhuru zilizofanyika kitaifa mkoani Ruvuma.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein akiwasha Mwenge wa uhuru leo mjini Songea katika Uwanja wa Majimaji ikiwa ni sehemu ya sherehe za uzinduzi wa mbio za Mwenge kwa mwaka 2015.
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu(kushoto) akimkabidhi Mkuu wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-s_1IsCe6Xfw/VUDusmrUNnI/AAAAAAAHUE0/7R_FxZvRcoQ/s72-c/4a.jpg)
DKT.SHEIN AZINDUA MBIO ZA MWENGE MKOANI RUVUMA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-s_1IsCe6Xfw/VUDusmrUNnI/AAAAAAAHUE0/7R_FxZvRcoQ/s1600/4a.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-upkY_FiW4xM/VUDuquFfP-I/AAAAAAAHUEc/mq4fULRdBEg/s1600/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yjH2Bp9dIIM/VT_xeRs3SqI/AAAAAAAC3wo/OrNyTmsmGSg/s72-c/Dr-Ali-Mohamed-Shein.jpg)
Dkt. Shein mgeni rasmi uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru mkoani Ruvuma.
![](http://3.bp.blogspot.com/-yjH2Bp9dIIM/VT_xeRs3SqI/AAAAAAAC3wo/OrNyTmsmGSg/s1600/Dr-Ali-Mohamed-Shein.jpg)
Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika sherehe za uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2015 ambazo Kitaifa zinafanyika Mkoani Ruvuma.
Kauli hiyo imetolewa leo na Waizri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara wakati wa mazoezi ya ya mwisho yaliyofanyika katika Uwanja wa mpira wa Majimaji mjini Songea.
Waziri Fenella amesema kuwa maandalizi yameenda vizuri na kuwataka wananchi kujitokeza...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/7ivGzfL1pjQ/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog29 Apr
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6Yi1*KCqJURHTRYmJsUuDQpbl8TFUjfbIapVVss4PhtB4aOjJTlLI1AeRN18UKkkA-TCKbkcXf2lYytcleEMTeflLJtoGY4k/bilal.jpg?width=650)
DKT. BILAL AZINDUA SHEREHE ZA MBIO ZA MWENGE WA UHURU MKOANI KAGERA
10 years ago
MichuziKIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU AZINDUA MRADI WA TANKI LA MAJI MANISPAA YA MOSHI
10 years ago
Dewji Blog28 Apr
Dkt. Shein mgeni rasmi uzinduzi wa mbio za Mwengi wa Uhuru mkoani Ruvuma
![3](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/310.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-47slshMukoc/U2OWS39Bl1I/AAAAAAAFe6M/bv8_RPgeD3I/s72-c/1B.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA RASMI SHEREHE ZA MBIO ZA MWENGE WA UHURU MKOANI KAGERA
![](http://3.bp.blogspot.com/-47slshMukoc/U2OWS39Bl1I/AAAAAAAFe6M/bv8_RPgeD3I/s1600/1B.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-d6it8odIcDc/U2OWZKGIrCI/AAAAAAAFe6w/SrXr3-XH5AY/s1600/3B.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ycmWSPmqRb0/VT-lb1hRLeI/AAAAAAAHT34/8uHZI_wA_i8/s72-c/3.jpg)
MAANDALIZI YA UZINDUZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU KWA MWAKA 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-ycmWSPmqRb0/VT-lb1hRLeI/AAAAAAAHT34/8uHZI_wA_i8/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZP617WbQTW0/VT-ldE8wIxI/AAAAAAAHT4A/brrAfnsysxQ/s1600/4.jpg)