KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU AZINDUA MRADI WA TANKI LA MAJI MANISPAA YA MOSHI
Baadhi ya wafanyakazi wa Mamlaka ya maji safi na usafi wa Mazingira mjini Moshi ,MUWSA wakishiriki kupokea Mwenge wa Uhuru ulipotembelea eneo hilo.
Kiongozi wa Mbio za Mwenge kitaifa ,Rachel Kassanda akikata utepe kuashiria uwekaji wa jiwe la Msingi katika tanki la Maji la Longuo A.
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Rachel Kassanda akifungua maji kuashiria kuanza kutumika kwa maji yanayotka katika tanki la Maji lililozinduliwa.
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Rachel Kassanda akibeba maji...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo29 Apr
DK. SHEIN AZINDUA MBIO ZA MWENGE WA UHURU MKOA WA RUVUMA APRIL 29, 2015



11 years ago
GPL
DKT. BILAL AZINDUA SHEREHE ZA MBIO ZA MWENGE WA UHURU MKOANI KAGERA
11 years ago
Michuzi
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA RASMI SHEREHE ZA MBIO ZA MWENGE WA UHURU MKOANI KAGERA


10 years ago
Michuzi
MWENGE WA UHURU KUFUNGUA MRADI WA MAJI WA KIBEDYA
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
Kiongozi mbio za mwenge awashauri wasomi
WASOMI wa vyuo vikuu nchini wameshauriwa kujiunga kwenye vikundi vya ujasiriamali badala ya kupoteza muda wakitafuta ajira. Ushauri huo ulitolewa mwishoni mwa wiki iliyopita na kiongozi wa Mbio za Mwenge...
10 years ago
VijimamboMBIO ZA MWENGE WA UHURU UKIWA PEMBA
11 years ago
MichuziVodacom yachangia mbio za mwenge wa uhuru
11 years ago
Michuzi.jpg)
DKT BILAL MGENI RASMI UZINDUZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU
.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Gharib Bilal, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2014, katika uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba, mkoani Kagera Mei tarehe 2. Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dkt. Fenella Mukangara wakati akiongea na Waandishi wa Habari Mjini Bukoba kuhusu Mbio hizo.
Mwenge huo utakaobeba ujumbe usemao “Katiba ni Sheria Kuu ya...
11 years ago
Michuzi
MWENGE WA UHURU WAANZA MBIO ZAKE MKOANI RUKWA LEO


