MWENGE WA UHURU KUFUNGUA MRADI WA MAJI WA KIBEDYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y0Ne0uJUG-M/VYEekMi6bEI/AAAAAAAHgTo/PnGNvHyzC0U/s72-c/02.jpg)
Na. Andrew ChimeselaMwenge wa uhuru ambao kwa sasa uko Mkoani Morogoro, umepitia miradi mbalimbali ya maendeleo ukiwemo mradi wa maji uliogharimu shilingi 555,227,710.40 na unatazamiwa kuwapatia maji safi na salama wananchi 10,534 ambao ni wakazi wa kijiji cha Kibedya Wilayani Gairo. Mwenge huo ambao umeingia siku yake ya pili, tangu kuwasili Mkoani Morogoro ukitokea Mkoani Tanga, na kukimbizwa Wilaya ya Mvomero, Leo ukiwa Wilayani Gairo umefungua mradi wa maji wenye matenki mawili yenye...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU AZINDUA MRADI WA TANKI LA MAJI MANISPAA YA MOSHI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/g7CYaJh1SvLuGfe*gDKzGkS8WV63zi63mPHP0ygdvsL6YQSLKA0ozti-Qa--5S5foeXaGNOdC9o1ZprSQfrqcTnN1NDiQIGq/d1.jpg?width=650)
BODI YA WAKURUGENZI YA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA DAR ES SALAAM (DAWASA) YATEMBELEA ENEO LA MRADI WA UJENZI WA BWAWA LA MAJI KIDUNDA
10 years ago
Michuzi30 Aug
Bodi ya ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) yatembelea Eneo la Mradi wa Ujenzi wa Bwawa la Maji Kidunda
![](https://2.bp.blogspot.com/-utueJlLvcrc/VAEFt9bWIqI/AAAAAAAAXXc/60Yejvxm-3s/s1600/Modesta%2BMushi.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-dJAlQfjgYfw/VAEFtuoqMYI/AAAAAAAAXXY/p7ed-tfkWT8/s1600/Mhandishi%2BJohn%2BKirecha.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zN4X8TJTgIw/VCqAeqbvBgI/AAAAAAAGmsA/WLOrMvpd7k8/s72-c/Tegeta.jpeg)
RAIS KIKWETE KUFUNGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA KESHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-zN4X8TJTgIw/VCqAeqbvBgI/AAAAAAAGmsA/WLOrMvpd7k8/s1600/Tegeta.jpeg)
Ufunguzi wa barabara ya Mwenge-Tegeta wenye urefu wa Kilomita 12.9, utafanyika kuanzia saa nne asubuhi katika eneo la Lugalo njia panda ya Kawe.
Upanuzi wa barabara ya Mwenge-Tegeta Km 12.9, ni sehemu ya mkakati wa Serikali ya Tanzania wa kupunguza msongamano wa magari katika jiji la Dar es ...
10 years ago
Dewji Blog01 Oct
Rais Kikwete kufungua Barabara ya Mwenge — Tegeta leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika sherehe za ufunguzi wa barabara ya Mwenge- Tegeta utakaofanyika leo tarehe 1 Oktoba 2014.
Ufunguzi wa barabara ya Mwenge-Tegeta wenye urefu wa Kilomita 12.9, utafanyika kuanzia saa nne asubuhi hii katika eneo la Lugalo njia panda ya Kawe.
Upanuzi wa barabara ya Mwenge-Tegeta Km 12.9, ni sehemu ya mkakati wa Serikali ya Tanzania wa kupunguza msongamano wa magari katika jiji la Dar es...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-v_Eg5epiVpo/Vl2baVkLqsI/AAAAAAAIJhI/VaF9WMwGDq4/s72-c/DSC01773.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR ATEMBELEA MRADI WA UIMARISHAJI MRADI WA MAJI SAFI MAKUNDUCHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-v_Eg5epiVpo/Vl2baVkLqsI/AAAAAAAIJhI/VaF9WMwGDq4/s640/DSC01773.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tm2PK6obsks/Vl2baMCxVfI/AAAAAAAIJhQ/uFopLtt3ym4/s640/DSC01775.jpg)
10 years ago
MichuziMUWSA YASAMBAZA BOMBA ZA MAJI MRADI MKUBWA WA MAJI MTO KARANGA
TATIZO la upungufu wa maji katika Manispaa ya Moshi linaelekea kuwa historia ifikapo mwezi Desemba mwaka huu kufuatia kukamilika kwa utekelezaji wa mradi mkubwa wa maji uliopo katika chemchem ya Mto Karanga ambao umegharimu kiasi cha shilingi milioni 382.
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira ( MUWSA), Mhandisi Cyprian Luhemeja amefafanua kuwa, mradi huo utakapokamilika utahudumia maeneo ya Bomambuzi, Pasua ,...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0iB8a8AjFbQ/UvCgBNYN5CI/AAAAAAAFKws/6UC9HEULdJo/s72-c/IMG_20140131_122943.jpg)
WAZIRI MAJI AFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA MRADI WA MAJI YA DHARURA KARATU
Pia, Prof. Maghembe alitembelea Halmashauri ya Mji wa Karatu kuangalia hali ya upatikanaji wa maji na utekelezaji wa miradi ya maji wilayani humo katika programu ya vijiji 10 ya BRN.
![](http://1.bp.blogspot.com/-0iB8a8AjFbQ/UvCgBNYN5CI/AAAAAAAFKws/6UC9HEULdJo/s1600/IMG_20140131_122943.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YRUzuGeZk9g/VdTlI8djt9I/AAAAAAAHyVg/5DmJ5F1CP6o/s72-c/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
Naibu waziri wa maji akagua ujenzi wa mradi mkubwa wa maji Bunda