Mwenge wa uhuru kuzinduliwa Kagera
MWENGE wa uhuru utazinduliwa Mei 2 mwaka huu mkoani Kagera ambapo miradi yenye thamani ya zaidi ya sh bilioni 14 itazinduliwa. Katika shughuli za uzinduzi huo utakaofanyika kwenye Uwanja wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6Yi1*KCqJURHTRYmJsUuDQpbl8TFUjfbIapVVss4PhtB4aOjJTlLI1AeRN18UKkkA-TCKbkcXf2lYytcleEMTeflLJtoGY4k/bilal.jpg?width=650)
DKT. BILAL AZINDUA SHEREHE ZA MBIO ZA MWENGE WA UHURU MKOANI KAGERA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwasha Mwenge wa Uhuru wakati wa Sherehe za uzinduzi wa mbio za Mwenge huo zilizofanyika kwenye Uwanja wa Kaitaba, mjini Bukoba Mkoa wa Kagera leo Mei 2, 2014. Mwenge huo unatarajia kuitimisha mbio zake Oktoba 14 mkoani Tabora, ambapo zinatarajia kufungwa na mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete. Makamu wa Rais wa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-47slshMukoc/U2OWS39Bl1I/AAAAAAAFe6M/bv8_RPgeD3I/s72-c/1B.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA RASMI SHEREHE ZA MBIO ZA MWENGE WA UHURU MKOANI KAGERA
![](http://3.bp.blogspot.com/-47slshMukoc/U2OWS39Bl1I/AAAAAAAFe6M/bv8_RPgeD3I/s1600/1B.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-d6it8odIcDc/U2OWZKGIrCI/AAAAAAAFe6w/SrXr3-XH5AY/s1600/3B.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-EOqduz8epSE/U2Kxxm9cqqI/AAAAAAAFee4/85iul0jmv-U/s72-c/1A.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL, AWASILI MJINI BUKOBA MKOA WA KAGERA JIONI HII KUWASHA MWENGE WA UHURU KESHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-EOqduz8epSE/U2Kxxm9cqqI/AAAAAAAFee4/85iul0jmv-U/s1600/1A.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-q4Mp0kcwVrk/U2KxxsxxibI/AAAAAAAFefA/mkQUa_04_wc/s1600/2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-l9CVxhhzGKk/UwojojoaMlI/AAAAAAAFPHY/N-vlYG_YIyo/s72-c/IMG_3520.jpg)
Uhuru Marathon 2014 kuzinduliwa kijini Butiama
![](http://4.bp.blogspot.com/-l9CVxhhzGKk/UwojojoaMlI/AAAAAAAFPHY/N-vlYG_YIyo/s1600/IMG_3520.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jTZCttiojX8/UwojopE6afI/AAAAAAAFPHg/KFy8x6JXh24/s1600/IMG_3530.jpg)
MBIO za Uhuru (Uhuru Marathon) zinatarajiwa kuzinduliwa rasmi katika kijiji cha Butiama mkoani Mara, Agosti mwaka huu, huku...
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Zaidi ya Mil. 500/- zahitajika sherehe za mwenge Kagera
MKUU wa Mkoa wa Kagera, Kanali mstaafu Fabian Massawe, amesema zaidi ya sh milioni 500 zinahitajika kukamilisha sherehe za kuwasha mwenge kitaifa, Mei 2, mwaka huu. Kanali Massawe aliwaomba wadau...
11 years ago
GPLVODACOM YACHANGIA MWENGE WA UHURU
Mkuu wa Mkoa wa Kagera Kanali Mstaafu Fabian Massawe akiongea ofisini kwake mjini Bukoba wakati wa hafla fupi ya kupokea mchango wa Sh. 10 Milioni kutoka kampuni ya Vodacom Tanzania kwa ajili ya kuchangia sherehe ya uwashaji mwenge wa Uhuru kitaifa iliyofanyika Mkoani humo. Kutoka kushoto Ni Mkuu wa Vodacom Kanda ya Ziwa Domician Mkama, Mkuu wa Vodacom Foundation Yessaya Mwakifulefule na Meneja Uhusiano wa Nje wa Kampuni hioyo...
10 years ago
VijimamboMBIO ZA MWENGE WA UHURU UKIWA PEMBA
9 years ago
Mwananchi14 Sep
'Anayeunda Mwenge wa Uhuru' huyu hapa
Licha ya kuteketeza mamilioni unapokimbizwa yeye analipwa sh250,000, sasa ni mlemavu.
11 years ago
MichuziVodacom yachangia mbio za mwenge wa uhuru
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania