VODACOM YACHANGIA MWENGE WA UHURU
Mkuu wa Mkoa wa Kagera Kanali Mstaafu Fabian Massawe akiongea ofisini kwake mjini Bukoba wakati wa hafla fupi ya kupokea mchango wa Sh. 10 Milioni kutoka kampuni ya Vodacom Tanzania kwa ajili ya kuchangia sherehe ya uwashaji mwenge wa Uhuru kitaifa iliyofanyika Mkoani humo. Kutoka kushoto Ni Mkuu wa Vodacom Kanda ya Ziwa Domician Mkama, Mkuu wa Vodacom Foundation Yessaya Mwakifulefule na Meneja Uhusiano wa Nje wa Kampuni hioyo...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziVodacom yachangia mbio za mwenge wa uhuru
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JknWrUcsacU/XpoE-DF1f6I/AAAAAAAEGwo/wAwsZaOsKzE8OI3m_WzXqk5TJMUxQDNTACLcBGAsYHQ/s72-c/Donation%2B3.jpeg)
Taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation yachangia Shilingi Billion 2 kusaidia juhudi za serikali kupambana na COVID - 19
![](https://1.bp.blogspot.com/-JknWrUcsacU/XpoE-DF1f6I/AAAAAAAEGwo/wAwsZaOsKzE8OI3m_WzXqk5TJMUxQDNTACLcBGAsYHQ/s640/Donation%2B3.jpeg)
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
Mwenge wa uhuru kuzinduliwa Kagera
MWENGE wa uhuru utazinduliwa Mei 2 mwaka huu mkoani Kagera ambapo miradi yenye thamani ya zaidi ya sh bilioni 14 itazinduliwa. Katika shughuli za uzinduzi huo utakaofanyika kwenye Uwanja wa...
9 years ago
Mwananchi14 Sep
'Anayeunda Mwenge wa Uhuru' huyu hapa
10 years ago
VijimamboMBIO ZA MWENGE WA UHURU UKIWA PEMBA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Wthx3u8ZmIw/U_w6NzNIEaI/AAAAAAAGCaM/edOj2agqIic/s72-c/unnamed%2B(85).jpg)
MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MKOANI MANYARA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Wthx3u8ZmIw/U_w6NzNIEaI/AAAAAAAGCaM/edOj2agqIic/s1600/unnamed%2B(85).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xVjuLbcUG4E/U_w6OyrCHdI/AAAAAAAGCaQ/U435ykhPs4U/s1600/unnamed%2B(86).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Y0Ne0uJUG-M/VYEekMi6bEI/AAAAAAAHgTo/PnGNvHyzC0U/s72-c/02.jpg)
MWENGE WA UHURU KUFUNGUA MRADI WA MAJI WA KIBEDYA
11 years ago
CloudsFM27 Jul
MWENGE WA UHURU WAWASILI MKOA WA DAR ES SALAAMâ€
Mkuu wa Wilaya ya Mafia Sauda Salum Mtondoo akikimbiza Mwenge wa Uhuru kwa ajili ya kuukabidhi tayari kuanza ziara yake Mkoani Dar es Salaam.
Mkuu wa Wilaya ya Mafia Sauda Salum Mtondoo (mwenye T-shirt nyeupe) akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Mkoa wa Pwani Bi. Mwantumu Mahiza leo jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Bi. Mwantumu Mahiza akikimbiza mwenge wa Uhuru Tayari kwa kuukabidhi kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Said Meck Sadiki.
(Picha na Hassan Silayo na Benjamin Sawe)
11 years ago
Dewji Blog04 Jun
Mwenge wa Uhuru kuwasili Singida na kuzindua miradi ya bilioni 5.9
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk, Parseko Kone akizungumza na waandishi wa habari juu ya ujio wa Mwenge wa Uhuru Mkoani Humo.
Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida Lianna Hassan akimkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Singida kuzungumza na waandishi wa habari kuhusiana na ujio wa Mwenge wa Uhuru.
Wajumbe wa Mwenge akiwemo Afisa Utamaduni wa Wilaya ya Manyoni Salum Mkuya, na Afisa Michezo Mkoa wa Singida, Henry Kapera.
Wajumbe wa kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Singida wakiwa kwenye kikao.
Wakimbiza...