MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MKOANI MANYARA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Wthx3u8ZmIw/U_w6NzNIEaI/AAAAAAAGCaM/edOj2agqIic/s72-c/unnamed%2B(85).jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Elaston Mbwilo (kushoto) akijiandaa kupokea mwenge wa uhuru kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Laurence Gama kwenye Kijiji cha Msitu wa Tembo Wilayani Simanjiro jana, ambapo kwenye Mkoa wa Manyara, Mwenge wa Uhuru unatarajia kutembelea miradi 56 yenye thamani ya shilingi bilioni 4.3.
Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru, Rachel Kassanda akikagua shamba darasa la vitunguu la mkulima Charles John Msangi wa Kijiji cha Lemkuna, mara baada ya mwenge kuingia Wilayani...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMWENGE WA UHURU KUWASILI MKOANI SINGIDA,MAANDALIZI YAANZA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-GIetJQh-opU/VX-dwaBEVXI/AAAAAAAC6xQ/2Z7ouytQWVE/s72-c/01.jpg)
Mwenge wa Uhuru wawasili Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro
![](http://2.bp.blogspot.com/-GIetJQh-opU/VX-dwaBEVXI/AAAAAAAC6xQ/2Z7ouytQWVE/s640/01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4uFLmIsSO90/VX-dwQ0CNOI/AAAAAAAC6xI/mWDHbnrhUZE/s640/02.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-RvaIbJxJsPU/VX-dwZFEvRI/AAAAAAAC6xM/EN8lbDWhZmU/s640/04.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5ilXb6vBOpM/U35YBaldPQI/AAAAAAAAFdU/rxWUQpeaR80/s72-c/P5228381.jpg)
ZIARA YA MWENGE WA UHURU WILAYANI KALAMBO MKOANI RUKWA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-5ilXb6vBOpM/U35YBaldPQI/AAAAAAAAFdU/rxWUQpeaR80/s1600/P5228381.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-SOaz_s7Q_5s/U35YsjS5KFI/AAAAAAAAFdc/eH49BqtVZnw/s1600/P5228377.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-a9U-KI8GOew/U35Z7UGjLkI/AAAAAAAAFdo/74b5xzhZMLo/s1600/P5228454.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5ilXb6vBOpM/U35YBaldPQI/AAAAAAAAFdU/rxWUQpeaR80/s72-c/P5228381.jpg)
ZIARA YA MBIO ZA MWENGE WA UHURU WILAYANI KALAMBO MKOANI RUKWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-5ilXb6vBOpM/U35YBaldPQI/AAAAAAAAFdU/rxWUQpeaR80/s1600/P5228381.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-SOaz_s7Q_5s/U35YsjS5KFI/AAAAAAAAFdc/eH49BqtVZnw/s1600/P5228377.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-a9U-KI8GOew/U35Z7UGjLkI/AAAAAAAAFdo/74b5xzhZMLo/s1600/P5228454.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JA1xxkSsc3M/U3x_nb5G8AI/AAAAAAAAFcU/Vsm1Kq7oYTA/s72-c/P5218268.jpg)
MWENGE WA UHURU WAANZA MBIO ZAKE MKOANI RUKWA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-JA1xxkSsc3M/U3x_nb5G8AI/AAAAAAAAFcU/Vsm1Kq7oYTA/s1600/P5218268.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nxCNA-ihtIo/U3yBK3QmeFI/AAAAAAAAFc8/wmaK33nlfBA/s1600/P5218325.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vV1SspcpGBI/U3yBiZDo7vI/AAAAAAAAFdE/O3uI7dvefug/s1600/P5218277.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-U6cS-4BFf-8/U4HKSPbiD1I/AAAAAAAAFgg/oGMLcXYYLUE/s72-c/PIC+2.jpg)
MWENGE WA UHURU 2014 WAMALIZA MBIO ZAKE MKOANI RUKWA LEO,
![](http://2.bp.blogspot.com/-U6cS-4BFf-8/U4HKSPbiD1I/AAAAAAAAFgg/oGMLcXYYLUE/s1600/PIC+2.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6Yi1*KCqJURHTRYmJsUuDQpbl8TFUjfbIapVVss4PhtB4aOjJTlLI1AeRN18UKkkA-TCKbkcXf2lYytcleEMTeflLJtoGY4k/bilal.jpg?width=650)
DKT. BILAL AZINDUA SHEREHE ZA MBIO ZA MWENGE WA UHURU MKOANI KAGERA
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/7ivGzfL1pjQ/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Q2L4biWrlD4/VCCDNabhgII/AAAAAAABFcc/sGMAV4-PvdU/s72-c/0.1Mwenge%2Bwa%2BUhuru%2B2014%2Bwilayani%2BRorya34.jpg)
MWENGE WA UHURU WATEKETEZA SHAHENA YA BANGI WILAYANI RORYA MKOANI MARA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Q2L4biWrlD4/VCCDNabhgII/AAAAAAABFcc/sGMAV4-PvdU/s640/0.1Mwenge%2Bwa%2BUhuru%2B2014%2Bwilayani%2BRorya34.jpg)
OCD wa Jeshi la Polisi Utegi wilayani Rorya (JINA LITAKUJIA HIVI PUNDE), amesema mapambano dhidi ya biashara na kilimo cha bangi wilayani Tarime, moja ya changamoto zake kubwa ni biashara hiyo haramu kufadhiliwa na wafanyabiashara wakubwa toka nchini Kenya.
OCD aliyasema hayo hivi karibuni, wakati alipokuwa akisimamia uteketezwaji wa kiasi cha tani moja za bangi, zoezi lililofanyika katika eneo maalum la uwanja wa Kituo cha Polisi Utegi. “Bangi inayolimwa Tarime na Rorya inasemekana...