ZIARA YA MBIO ZA MWENGE WA UHURU WILAYANI KALAMBO MKOANI RUKWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-5ilXb6vBOpM/U35YBaldPQI/AAAAAAAAFdU/rxWUQpeaR80/s72-c/P5228381.jpg)
Katibu Tawala wa Wilaya ya Nkasi Ndugu Festo Chonya wa pili kulia akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Katibu Tawala wa Wilaya ya Kalambo Bi. Mapinduzi Severian mara baada ya kumaliza mbio zake wilayani Nkasi mapema leo asubuhi tarehe 22 Mei, 2014.
Mratibu wa Mwenge Mkoa wa Rukwa Ndugu Abuubakar Serungwe kulia akitoa neno la shukurani kwa uongozi wa Wilaya ya Nkasi kwa ushirikiano walioutoa wakati Mwenge huo upo Wilayani humo.
Kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa Bi. Rachel Kassanda akizindua...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5ilXb6vBOpM/U35YBaldPQI/AAAAAAAAFdU/rxWUQpeaR80/s72-c/P5228381.jpg)
ZIARA YA MWENGE WA UHURU WILAYANI KALAMBO MKOANI RUKWA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-5ilXb6vBOpM/U35YBaldPQI/AAAAAAAAFdU/rxWUQpeaR80/s1600/P5228381.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-SOaz_s7Q_5s/U35YsjS5KFI/AAAAAAAAFdc/eH49BqtVZnw/s1600/P5228377.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-a9U-KI8GOew/U35Z7UGjLkI/AAAAAAAAFdo/74b5xzhZMLo/s1600/P5228454.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JA1xxkSsc3M/U3x_nb5G8AI/AAAAAAAAFcU/Vsm1Kq7oYTA/s72-c/P5218268.jpg)
MWENGE WA UHURU WAANZA MBIO ZAKE MKOANI RUKWA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-JA1xxkSsc3M/U3x_nb5G8AI/AAAAAAAAFcU/Vsm1Kq7oYTA/s1600/P5218268.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nxCNA-ihtIo/U3yBK3QmeFI/AAAAAAAAFc8/wmaK33nlfBA/s1600/P5218325.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vV1SspcpGBI/U3yBiZDo7vI/AAAAAAAAFdE/O3uI7dvefug/s1600/P5218277.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-U6cS-4BFf-8/U4HKSPbiD1I/AAAAAAAAFgg/oGMLcXYYLUE/s72-c/PIC+2.jpg)
MWENGE WA UHURU 2014 WAMALIZA MBIO ZAKE MKOANI RUKWA LEO,
![](http://2.bp.blogspot.com/-U6cS-4BFf-8/U4HKSPbiD1I/AAAAAAAAFgg/oGMLcXYYLUE/s1600/PIC+2.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6Yi1*KCqJURHTRYmJsUuDQpbl8TFUjfbIapVVss4PhtB4aOjJTlLI1AeRN18UKkkA-TCKbkcXf2lYytcleEMTeflLJtoGY4k/bilal.jpg?width=650)
DKT. BILAL AZINDUA SHEREHE ZA MBIO ZA MWENGE WA UHURU MKOANI KAGERA
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/7ivGzfL1pjQ/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yjH2Bp9dIIM/VT_xeRs3SqI/AAAAAAAC3wo/OrNyTmsmGSg/s72-c/Dr-Ali-Mohamed-Shein.jpg)
Dkt. Shein mgeni rasmi uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru mkoani Ruvuma.
![](http://3.bp.blogspot.com/-yjH2Bp9dIIM/VT_xeRs3SqI/AAAAAAAC3wo/OrNyTmsmGSg/s1600/Dr-Ali-Mohamed-Shein.jpg)
Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika sherehe za uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2015 ambazo Kitaifa zinafanyika Mkoani Ruvuma.
Kauli hiyo imetolewa leo na Waizri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara wakati wa mazoezi ya ya mwisho yaliyofanyika katika Uwanja wa mpira wa Majimaji mjini Songea.
Waziri Fenella amesema kuwa maandalizi yameenda vizuri na kuwataka wananchi kujitokeza...
10 years ago
Dewji Blog29 Apr
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-47slshMukoc/U2OWS39Bl1I/AAAAAAAFe6M/bv8_RPgeD3I/s72-c/1B.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA RASMI SHEREHE ZA MBIO ZA MWENGE WA UHURU MKOANI KAGERA
![](http://3.bp.blogspot.com/-47slshMukoc/U2OWS39Bl1I/AAAAAAAFe6M/bv8_RPgeD3I/s1600/1B.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-d6it8odIcDc/U2OWZKGIrCI/AAAAAAAFe6w/SrXr3-XH5AY/s1600/3B.jpg)