Mwenge wa Uhuru wawasili Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro
![](http://2.bp.blogspot.com/-GIetJQh-opU/VX-dwaBEVXI/AAAAAAAC6xQ/2Z7ouytQWVE/s72-c/01.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Rajab Rutengwe akiwa ameshika mwenge wa Uhuru baada ya kupokea kwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Said Magalula
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Rajab Rutengwe (kushoto) akiwa amekumbatiana na Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Said Magalula baada ya kukabidhiwa Mwenge wa Uhuru.
Kiongozi wa mbio za Mwenge wa uhuru kitaifa Bw. Juma Khatibu Chum akifungua kitambaa kama ishara ya kuzindua zoezi la uandikishaji wapiga kura Wilayani Mvomero lililofanyika katika Kijiji cha Salawe...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog15 Jun
Zaidi ya miradi 50 yenye thamani ya Sh. 10.3 Bil. kupitiwa na Mwenge wa uhuru mkoani Morogoro
Na Andrew Chimesela – Morogoro
Mkoa wa Morogoro unatarijia kupokea Mwenge wa Uhuru kutoka Mkoa wa Tanga Juni 15, 2015 ambao utakaopitia miradi ya Maendeleo 51 yenye thamani ya Shilingi 10,367,768,943 za kitanzania.
Ukiwa Mkoani Morogoro, Mwenge wa Uhuru utakimbizwa katika Halmashauri zote saba za Mkoa huo ambazo ni Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero itakayopokea Mwenge kutoka Wilaya ya Kilindi, Halmashauri ya Wilaya ya Gairo na Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.
Halmashauri nyingine ni...
11 years ago
CloudsFM27 Jul
MWENGE WA UHURU WAWASILI MKOA WA DAR ES SALAAMâ€
Mkuu wa Wilaya ya Mafia Sauda Salum Mtondoo akikimbiza Mwenge wa Uhuru kwa ajili ya kuukabidhi tayari kuanza ziara yake Mkoani Dar es Salaam.
Mkuu wa Wilaya ya Mafia Sauda Salum Mtondoo (mwenye T-shirt nyeupe) akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Mkoa wa Pwani Bi. Mwantumu Mahiza leo jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Bi. Mwantumu Mahiza akikimbiza mwenge wa Uhuru Tayari kwa kuukabidhi kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Said Meck Sadiki.
(Picha na Hassan Silayo na Benjamin Sawe)
11 years ago
GPLMWENGE WA UHURU WAWASILI MKOA WA DAR ES SALAAM
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qMJnZZe9Fec/U9jrWwkJX5I/AAAAAAAF73o/Z1kvmZjGwYI/s72-c/unnamed+(1).jpg)
MWENGE WA UHURU WAWASILI ZANZIBAR KUTOKEA DAR ES SALAM NA KUKABIDHIWA MKUU WA MKOA WA MJINI MAGHARIBI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-qMJnZZe9Fec/U9jrWwkJX5I/AAAAAAAF73o/Z1kvmZjGwYI/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nnLSoLyPAsY/U9jrWzFeyXI/AAAAAAAF73w/p31nV_Hft_8/s1600/unnamed+(2).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-stzL_bRln1s/U9jrXIZz3zI/AAAAAAAF73s/YBoSexjKST0/s1600/unnamed+(3).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-oYRJDcCC8UQ/U9jrX_sTfSI/AAAAAAAF74Q/LXziKhoBnuU/s1600/unnamed+(4).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sXqbx1rfMzs/U9jrYR7JVWI/AAAAAAAF734/6NUTdI8cFQI/s1600/unnamed+(5).jpg)
11 years ago
MichuziMWENGE WA UHURU WAWASILI VISIWANI ZANZIBAR LEO KUTOKEA DAR,WAKABIDHIWA KWA MKUU WA MKOA WA MJINI MAGHARIBI
10 years ago
VijimamboMWENGE WA UHURU WAKIMBIZWA WILAYA YA KINONDONI MKUU WA WILAYA ATANGAZA AJIRA YA PAPO KWA PAPO
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nfMWTZbtFBk/Vm7DND2Sc6I/AAAAAAADDkU/3DMaa_MFwAw/s72-c/0.jpg)
MGOGORO WA WAKULIMA NA WAFUGAJI WALETA MAAFA KATIKA KIJIJI CHA DIHINDA MVOMERO MKOANI MOROGORO
![](http://1.bp.blogspot.com/-nfMWTZbtFBk/Vm7DND2Sc6I/AAAAAAADDkU/3DMaa_MFwAw/s640/0.jpg)
Waziri wa Kilimo, Uvuvi na Ufugaji, Mwigulu Nchemba akiangalia Ng'ombe walio uwawa katika Mgogoro wa wakulima na Wafugaji uliotokea katika kijiji cha Dihinda kata ya Kanga wilayani Mvomero, katika tukio lililotokea Desemba 12 mwaka huu.
![](http://4.bp.blogspot.com/--wvG5uXh-KY/Vm7DOrlg-vI/AAAAAAADDk4/fZ4ZK3TzV00/s640/e.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Wthx3u8ZmIw/U_w6NzNIEaI/AAAAAAAGCaM/edOj2agqIic/s72-c/unnamed%2B(85).jpg)
MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MKOANI MANYARA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Wthx3u8ZmIw/U_w6NzNIEaI/AAAAAAAGCaM/edOj2agqIic/s1600/unnamed%2B(85).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xVjuLbcUG4E/U_w6OyrCHdI/AAAAAAAGCaQ/U435ykhPs4U/s1600/unnamed%2B(86).jpg)
10 years ago
MichuziTEMEKE YAKABIDHI MWENGE WA UHURU WILAYA YA ILALA SHAMRASHAMRA ZAPAMBA MOTO
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA