Zaidi ya miradi 50 yenye thamani ya Sh. 10.3 Bil. kupitiwa na Mwenge wa uhuru mkoani Morogoro
Na Andrew Chimesela – Morogoro
Mkoa wa Morogoro unatarijia kupokea Mwenge wa Uhuru kutoka Mkoa wa Tanga Juni 15, 2015 ambao utakaopitia miradi ya Maendeleo 51 yenye thamani ya Shilingi 10,367,768,943 za kitanzania.
Ukiwa Mkoani Morogoro, Mwenge wa Uhuru utakimbizwa katika Halmashauri zote saba za Mkoa huo ambazo ni Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero itakayopokea Mwenge kutoka Wilaya ya Kilindi, Halmashauri ya Wilaya ya Gairo na Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.
Halmashauri nyingine ni...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FZraeCs44pk/VYe6N-vU9XI/AAAAAAAHiZI/5EzBPe5eTg4/s72-c/MKUBWA%2BMWENGE.png)
MWENGE KUZINDUA MIRADI YENYE THAMANI YA SH. MILIONI 1.2 MUFINDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-FZraeCs44pk/VYe6N-vU9XI/AAAAAAAHiZI/5EzBPe5eTg4/s320/MKUBWA%2BMWENGE.png)
Taarifa ya Ofisi ya habari na mawasiliano ya halmashauri ya Mufindi kwa vyombo vya habari imefafanua kuwa, vyanzo vya fedha zilizotumika kukamilisha miradi hiyo vimegawanyika katika sehemu kuu nne, ambapo...
10 years ago
Dewji Blog29 May
Mwenge wa Uhuru wazindua magari mapya ya kampuni ya Green Waste Pro Ltd yenye thamani ya shilingi Bilioni 1.6
Kiongozi wa Wakimbiza Mwenge Kitaifa, Bw. Juma Khatibu Chum akiwa ameshika Mwenge baada ya kufika mtaa wa Kisutu jijini Dar kwenye uzinduzi wa magari mapya ya kuzoa taka katika manispaa ya Ilala yanayomilikiwa na kampuni ya Green WastePro ltd.(Picha zote na Geofrey Adroph wa Pamoja Blog).
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi akizungumza jambo mara baada ya Mwenge wa Uhuru kufika eneo la Kisutu jijini Dar kwa ajili ya ufunguzi wa Magari ya kisasa ya kuzoa taka.
Kiongozi wa mbio za...
10 years ago
VijimamboMWENGE WA UHURU WAZINDUA MAGARI YA UKUSANYAJI TAKA YA KAMPUNI YA GREEN WASTE PRO LTD YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.6
10 years ago
GPLMWENGE WA UHURU WAZINDUA MAGARI YA UKUSANYAJI TAKA YA KAMPUNI YA GREEN WASTE PRO LTD YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.6
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-GIetJQh-opU/VX-dwaBEVXI/AAAAAAAC6xQ/2Z7ouytQWVE/s72-c/01.jpg)
Mwenge wa Uhuru wawasili Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro
![](http://2.bp.blogspot.com/-GIetJQh-opU/VX-dwaBEVXI/AAAAAAAC6xQ/2Z7ouytQWVE/s640/01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4uFLmIsSO90/VX-dwQ0CNOI/AAAAAAAC6xI/mWDHbnrhUZE/s640/02.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-RvaIbJxJsPU/VX-dwZFEvRI/AAAAAAAC6xM/EN8lbDWhZmU/s640/04.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
Mwenge wazindua miradi ya bil. 5.6/-
MIRADI nane yenye thamani ya sh. bilioni 5.6 imetembelewa na kuzinduliwa na mbio za mwenge katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam huku kiongozi wa mbio hizo...
11 years ago
Tanzania Daima28 Jun
Mwenge wazindua miradi saba ya bil.1/-
MIRADI saba yenye thamani ya sh 1,029,561,685 imezinduliwa na mbio za mwenge wa uhuru wilayani Kilombero, mwaka huu. Akizungumzia hilo mjini hapa jana, Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Hassan Masala,...
11 years ago
CloudsFM29 May
TALAKA YENYE THAMANI ZAIDI DUNIANI
Mmiliki wa club ya timu ya AS Monaco inayocheza ligi daraja la kwanza nchini Ufaransa Dmitry Rybolovlev ambaye pia anashika nafasi ya 148 katika list ya ma billionea wanaotajwa na Forbes Magazine.
Yeye pamoja na aliyekua mke wake Elena wamevunja rekodi ktk historia ya fidia za ndoa zilizowahi kuvunjika duniani.
Hiyo ni baada ya mahakama ya Geneva Switzerland hivi karibuni kumuamuru jamaa amlipe mtalaka wake zaidi ya dola bilioni 4.5
Ndoa hiyo ilidumu kwa miaka 23 na waliingia kwenye mchakato...
11 years ago
Dewji Blog04 Jun
Mwenge wa Uhuru kuwasili Singida na kuzindua miradi ya bilioni 5.9
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk, Parseko Kone akizungumza na waandishi wa habari juu ya ujio wa Mwenge wa Uhuru Mkoani Humo.
Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida Lianna Hassan akimkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Singida kuzungumza na waandishi wa habari kuhusiana na ujio wa Mwenge wa Uhuru.
Wajumbe wa Mwenge akiwemo Afisa Utamaduni wa Wilaya ya Manyoni Salum Mkuya, na Afisa Michezo Mkoa wa Singida, Henry Kapera.
Wajumbe wa kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Singida wakiwa kwenye kikao.
Wakimbiza...