TALAKA YENYE THAMANI ZAIDI DUNIANI
Mmiliki wa club ya timu ya AS Monaco inayocheza ligi daraja la kwanza nchini Ufaransa Dmitry Rybolovlev ambaye pia anashika nafasi ya 148 katika list ya ma billionea wanaotajwa na Forbes Magazine.
Yeye pamoja na aliyekua mke wake Elena wamevunja rekodi ktk historia ya fidia za ndoa zilizowahi kuvunjika duniani.
Hiyo ni baada ya mahakama ya Geneva Switzerland hivi karibuni kumuamuru jamaa amlipe mtalaka wake zaidi ya dola bilioni 4.5
Ndoa hiyo ilidumu kwa miaka 23 na waliingia kwenye mchakato...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo515 Dec
Picha: Mayweather anunua saa yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 2
![1214-floyd-mayweather-tmz-2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/1214-floyd-mayweather-tmz-2-300x194.jpg)
Floyd Mayweather amefanya yake tena.. Bondia huyo bingwa wa kuchezea hela, amenunua saa ya kifahari yenye thamani ya dola milioni 1.1 ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni 2.
Ameinunua saa hiyo kwenye safari yake ya Dubai.
Mwakilishi wake ameiambia TMZ: The watch is roughly $1.1 million. This is just one of his big purchases.”
Saa hiyo ni ya chapa ya Hublot ambayo imezungushiwa almasi.
Inasemekana kuwa Floyd ametumia zaidi ya dola milioni 1.5 katika siku mbili alizokaa Dubai.
Hii ni mara ya...
10 years ago
Dewji Blog15 Jun
Zaidi ya miradi 50 yenye thamani ya Sh. 10.3 Bil. kupitiwa na Mwenge wa uhuru mkoani Morogoro
Na Andrew Chimesela – Morogoro
Mkoa wa Morogoro unatarijia kupokea Mwenge wa Uhuru kutoka Mkoa wa Tanga Juni 15, 2015 ambao utakaopitia miradi ya Maendeleo 51 yenye thamani ya Shilingi 10,367,768,943 za kitanzania.
Ukiwa Mkoani Morogoro, Mwenge wa Uhuru utakimbizwa katika Halmashauri zote saba za Mkoa huo ambazo ni Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero itakayopokea Mwenge kutoka Wilaya ya Kilindi, Halmashauri ya Wilaya ya Gairo na Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.
Halmashauri nyingine ni...
11 years ago
Dewji Blog22 May
Moja ya Talaka ghali zaidi duniani yaamuriwa katika mahakama ya Uswisi
-Mrusi Oligarch aamuruliwa kulipa zaidi ya dola 4.5 bilioni kwa mke wake wa zamani
Na Damas Makangale, wa modewjiblog kwa msaada wa mtandao
Mahakama nchini Uswisi imeamuru Dmitry Rybolovlev, mmiliki wa klabu maarufu ya Ufaransa, AS Monaco kumlipa zaidi ya dola za kimarekani 4.5 bilioni mke wake wa zamani Elena Rybolovleva katika kile kinasemwa kwamba ni moja ya talaka au usuluhishi wa ndoa ghali wa kihistoria duniani.
Mwenendo wa kesi hiyo ya ndoa ilianza mapena mwaka 2008 wakati mke wake...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uow3g9c8x0o/VCkLgiXHn6I/AAAAAAAGmac/qzDYZxLhZvM/s72-c/Salma-Kikwete.jpg)
MAMA KIKWETE APEWA MASHINE YA KUPIMA SARATANI YA MATITI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA DOLA 200000
![](http://3.bp.blogspot.com/-uow3g9c8x0o/VCkLgiXHn6I/AAAAAAAGmac/qzDYZxLhZvM/s1600/Salma-Kikwete.jpg)
Na Anna Nkinda – Maelezo, Washington.
29/9/2014 Chama cha Wanawake wa Afrika na Uelewa wa Saratani (African Women Cancer Awareness Assossiation - AWCAA) imemkabidhi Mke wa Rais Mama Salma kikwete mashine moja ya Mammogram ambayo inatumika kupima ugonjwa wa saratani ya matiti yenye thamani yazaidi dola za kimarekani laki mbili.
Makabidhiano hayo yalifanyika jana katika ukumbi wa mikutano wa Ubalozi wa Tanzania uliopo mjini Washington D.C nchini Marekani.
Akiongea mara baada ya kukabidhiwa...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-Lglt9kagrx0/VXXvHqP8MEI/AAAAAAAAB_A/T0FD7cf4Lek/s72-c/_77757295_manutd_getty.jpg)
ORODHA YA CLUB 50 ZENYE THAMANI ZAIDI DUNIANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Lglt9kagrx0/VXXvHqP8MEI/AAAAAAAAB_A/T0FD7cf4Lek/s400/_77757295_manutd_getty.jpg)
Thamani ya United imeongezeka maradufu kutokana na mikataba kadhaa ya udhamini na biashara ambayo imekuwa ikiingia kila mara chini ya uongozi wa Mkurugenzi wa klabu hiyo Ed Woodward.
Chini ya uongozi wake thamani ya United imekuwa kubwa hali ambayo imefanya timu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
JAPAN YAVUNJA REKODI KWA KUWA NA TRENI YENYE MWENDO KASI ZAIDI DUNIANI
9 years ago
Bongo527 Oct
Hizi ndizo timu duniani (michezo yote) zenye thamani zaidi kwa mujibu wa Forbes
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*oxnDj2upFLMwZTCdobetmIoVJ9TKOD4yy4ylfJ5-j2f1hXX3R7UsTplA1rEQyp6ak8D3878Ljtmfsu39GDCDy7/mahaba.jpg)
MAMBO YENYE THAMANI KWENYE MAPENZI!-2
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBImoCZ-m5vD3Z-KdWxwMXIbF3y1wab6LobNGGKbqQju4AimcDbW2jAOdhmo*zFEobGlME87NaPAiJD5n*6jw1pqI/mahaba.jpg)
MAMBO YENYE THAMANI KWENYE MAPENZI!