JAPAN YAVUNJA REKODI KWA KUWA NA TRENI YENYE MWENDO KASI ZAIDI DUNIANI
![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
Japan imevunja rekodi hiyo kwa kuwa na treni ya mwendo kasi wa kilomita 590 kwa saa iliyowekwa wiki iliyopita katika jaribio lingine. Treni ya maglev ambayo haitegemei kugusana na chuma ndio itembee bali inaendeshwa kwa nguvu ya umeme, inatumia sumaku zilizochajiwa kwa umeme kunyanyua na kuvuta mabehewa juu ya njia ya reli. Treni ya Kati ya Japan, JR Central, ambayo inamiliki treni hizo, inataka kuanzisha huduma yake kati ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili21 Apr
Japan yavunja rekodi treni mwendo kasi
10 years ago
Habarileo01 Jan
Treni ya mwendo kasi yaja
SHIRIKA la Reli Tanzania (TRL) limetangaza usafiri mpya wa reli kwa kutumia treni maarufu za Delux, zitakazofanya safari zake kutoka Dar es Salaam kuelekea mikoa ya Kigoma hadi Mwanza, utakaoanza mwezi huu.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-sa1lHw5QuZ8/Xvc682JyTKI/AAAAAAABMnw/oPE3CnNRZ2IypTgZh9SaeeGaWcJvszj7ACLcBGAsYHQ/s72-c/SGR.jpg)
MUONEKANO WA STESHENI YA TRENI YA MWENDO KASI SGR DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-sa1lHw5QuZ8/Xvc682JyTKI/AAAAAAABMnw/oPE3CnNRZ2IypTgZh9SaeeGaWcJvszj7ACLcBGAsYHQ/s400/SGR.jpg)
5 years ago
Bongo514 Feb
The Fate of the Furious yavunja rekodi ya box office duniani, yaingiza $532m
Filamu ya kampuni ya Universal Pictures‘ The Fate of the Furious imevunja rekodi kwakuwa na ufunguzi mkubwa zaidi wa muda wote baada ya kuingiza dola milioni 532 kwenye majumba ya sinema duniani mwishoni mwa wiki.
Kiasi hicho ni $98.8m toka Marekani na Canada $433.2m toka nchi zingine 63 mwishoni mwa wiki. Rekodi hiyo ilikuwa ikishikiliwa na Star Wars: The Force Awakens iliyoingiza $529m.
The Fate of the Furious imeifanya Universal ifikishe dola bilioni 1 za makusanyo ya kimataifa ya filamu...
5 years ago
BBCSwahili24 Feb
Albamu ya Justin Bieber ya 'Changes' yavunja rekodi kuwa namba moja
11 years ago
CloudsFM29 May
TALAKA YENYE THAMANI ZAIDI DUNIANI
Mmiliki wa club ya timu ya AS Monaco inayocheza ligi daraja la kwanza nchini Ufaransa Dmitry Rybolovlev ambaye pia anashika nafasi ya 148 katika list ya ma billionea wanaotajwa na Forbes Magazine.
Yeye pamoja na aliyekua mke wake Elena wamevunja rekodi ktk historia ya fidia za ndoa zilizowahi kuvunjika duniani.
Hiyo ni baada ya mahakama ya Geneva Switzerland hivi karibuni kumuamuru jamaa amlipe mtalaka wake zaidi ya dola bilioni 4.5
Ndoa hiyo ilidumu kwa miaka 23 na waliingia kwenye mchakato...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-24m2mVxC7TY/VYLYZbSgWxI/AAAAAAAHhC8/_lj9n3S_Nr0/s72-c/MMGL1871.jpg)
KILIMANJARO YAVUNJA REKODI YA UDHAMINI KWA MH. LOWASSA, 33,780 WAMDHAMINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-24m2mVxC7TY/VYLYZbSgWxI/AAAAAAAHhC8/_lj9n3S_Nr0/s640/MMGL1871.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5ToTrfODA7c/VYLYANS7VeI/AAAAAAAHhCc/wHLVR2CaNuM/s640/MMGL1856.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pHkMinI3eBE/VYLXX_1IGVI/AAAAAAAHhBg/s0EvMCpVg40/s1600/MMGL1499.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-pHkMinI3eBE/VYLXX_1IGVI/AAAAAAAHhBg/s0EvMCpVg40/s72-c/MMGL1499.jpg)
KILIMANJARO YAVUNJA REKODI YA UDHAMINI KWA MH. LOWASSA, WANACCM 33,780 WAMDHAMINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-pHkMinI3eBE/VYLXX_1IGVI/AAAAAAAHhBg/s0EvMCpVg40/s1600/MMGL1499.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-24m2mVxC7TY/VYLYZbSgWxI/AAAAAAAHhC8/_lj9n3S_Nr0/s640/MMGL1871.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1PVH3aXbsv4/VYLXXu7tY3I/AAAAAAAHhBo/3d8q5uUPqG8/s640/MMGL1741.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mKWAksi94YQ/VYLXZo9z6pI/AAAAAAAHhB4/GBWFGNQzkls/s640/MMGL1754.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-v-9Xy-u8q7g/VYLXaMKkofI/AAAAAAAHhCA/l9rG4EH3PLE/s640/MMGL1812.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5ToTrfODA7c/VYLYANS7VeI/AAAAAAAHhCc/wHLVR2CaNuM/s640/MMGL1856.jpg)
Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa akizungumza na Umati wa WanaCCM pamoja na Wananchi wa Mkoa wa Kilimanjaro leo Juni 18, 2015, wakati...