KILIMANJARO YAVUNJA REKODI YA UDHAMINI KWA MH. LOWASSA, WANACCM 33,780 WAMDHAMINI

Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa akipokea fomu za wanachama 33,780 wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro, waliomdhani ili aweze kupata ridhaa ya Chama chake katika kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015. Anaekabidhi fomu hizo ni Katibu wa CCM Wilaya ya Moshi Mjini, Loth Ole Nesele.PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI
Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa akizungumza na Umati wa WanaCCM pamoja na Wananchi wa Mkoa wa Kilimanjaro leo Juni 18, 2015, wakati...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
KILIMANJARO YAVUNJA REKODI YA UDHAMINI KWA MH. LOWASSA, 33,780 WAMDHAMINI



10 years ago
GPL
LOWASSA APOKELEWA KWA KISHINDO MKOANI KILIMANJARO, ADHAMINIWA NA WANACCM 33,780
10 years ago
Michuzi
LOWASSA APATA UDHAMINI WA KISHINDO MKOANI TANGA, WANACCM 24,125 WAMDHAMINI



10 years ago
GPL
LOWASSA APATA UDHAMINI WA KISHINDO KATIKA MKOA WA TANGA, WANACCM 24,124 WAMDHAMINI
10 years ago
Michuzi
LOWASSA APATA UDHAMINI WA KISHINDO JIJINI ARUSHA LEO, WANACCM 120,335 WAMDHAMINI


10 years ago
Dewji Blog19 Jun
Lowassa avunja rekodi ya kujizolea wadhamini 33,780 mkoa wa Kilimanjaro
Mh. Lowassa, aklipokea sehemu ya fomu zilizojazwa na wana CCM waliomhamini kwenye ofisi kuu za chama hicho mkoani Kilimanjaro Alhamisi J 18, 2015. (Pichan na K-VIS MEDIA).
10 years ago
Michuzi
WanaCCM 78, 500 wa Mkowa wa Pwani wamdhamini Mh. Lowassa


Katibu wa CCM Wilaya ya Temeke, Abdallah Mdimu akikabidhi fomu...
10 years ago
Vijimambo
HUWEZI ZUIA MAFURIKO KWA MKONO, LOWASSA AWEKA REKODI MPYA YA WADHAMINI SINGIDA, 22,758 WAMDHAMINI

10 years ago
Michuzi
WANACCM 53,156 WAMDHAMINI MH. LOWASSA JIJINI MBEYA LEO, APATA MAPOKEZI MAKUBWA
