LOWASSA APOKELEWA KWA KISHINDO MKOANI KILIMANJARO, ADHAMINIWA NA WANACCM 33,780

Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa akizungumza na Umati wa WanaCCM pamoja na Wananchi wa Mkoa wa Kilimanjaro jana Juni 18, 2015, baada ya kudhadhaminiwa kwa kishindo na WanaCCM hao, ili aweze kupata ridhaa ya Chama chake katika kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015. Mh. Lowassa amepata udhamini wa wanaCCM 33,780. Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa akipokea fomu za...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
KILIMANJARO YAVUNJA REKODI YA UDHAMINI KWA MH. LOWASSA, WANACCM 33,780 WAMDHAMINI






Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa akizungumza na Umati wa WanaCCM pamoja na Wananchi wa Mkoa wa Kilimanjaro leo Juni 18, 2015, wakati...
10 years ago
Michuzi
LOWASSA APOKELEWA KWA KISHINDO SIMIYU, ADHAMINIWA NA WANACHAMA WA CCM ELFU 5



10 years ago
Michuzi
LOWASSA AHITIMISHA ZIARA YA KUTAFUTA WANACCM WA KUMDHAMINI MKOANI MOROGORO LEO, ADHAMINIWA NA WANACCM 104,038

10 years ago
GPL
LOWASSA APOKELEWA KWA KISHINDO MKOANI SIMIYU, APATA WADHAMINI 5,000
10 years ago
Michuzi
LOWASSA APATA UDHAMINI WA KISHINDO MKOANI TANGA, WANACCM 24,125 WAMDHAMINI



10 years ago
Michuzi
KILIMANJARO YAVUNJA REKODI YA UDHAMINI KWA MH. LOWASSA, 33,780 WAMDHAMINI



10 years ago
Michuzi
Lowassa awasili Geita kwa Kishindo, adhaminiwa na wana CCM 3,000


10 years ago
Dewji Blog27 Jun
January Makamba adhaminiwa na wanaCCM 8,300 mkoani Singida
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba, akipokewa na baadhi ya wanaCCM na wananchi wa mkoa wa Singida jana (26/6/2015) akiwa kwenye harakati zake za kusaka wadhamini ili aweze kuteuliwa na CCM kupeperusha bendera ya CCM kwenye nafasi ya urais kwenye uchaguzi mkuu ujao.
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba, akiwashukuru wanaCCM 8,300 wa mkoa wa Singida, waliomdhamini ili aweze kuteuliwa kupeperusha bendera ya CCM kwenye nafasi ya...
10 years ago
Michuzi
LOWASSA APOKELEWA KWA KISHINDO MJINI BUKOBA LEO


