LOWASSA APOKELEWA KWA KISHINDO MKOANI SIMIYU, APATA WADHAMINI 5,000
![](http://1.bp.blogspot.com/-_OBeVZ13YO0/VXjfsHLdblI/AAAAAAAAfCg/_94jK8UQfQ4/s1600/1.jpg)
 Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, akiwapungia mkono wanachama wa Chama Cha Mpinduzi (CCM) na wananchi baada ya kupokea majina ya wanachama zaidi ya 5000 waliomdhani kugombea Urais mkoani Simiyu jana. Wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wakicheza baada ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kukabidhiwa majina ya wanachama wa chama hicho zaidi ya 5000 waliomdhani kugombea Urais mkoani Simiyu. Leo Lowassa ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-M-DYLI0WB9Q/VXhocOICSzI/AAAAAAAHeis/XQKZvvlkfCM/s72-c/unnamedL1.jpg)
LOWASSA APOKELEWA KWA KISHINDO SIMIYU, ADHAMINIWA NA WANACHAMA WA CCM ELFU 5
![](http://3.bp.blogspot.com/-M-DYLI0WB9Q/VXhocOICSzI/AAAAAAAHeis/XQKZvvlkfCM/s640/unnamedL1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-u_zRe5zz3S8/VXhocNVnKkI/AAAAAAAHeio/XLV9UIPWALE/s640/unnamedL2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ReLtUCH2P_g/VXhocK4qV0I/AAAAAAAHeiw/mVbigpuuek4/s640/unnamedL3.jpg)
10 years ago
GPLLOWASSA APATA WADHAMINI KWA KISHINDO DAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pX4h1nu50oENCp8MVwjNcEcSZp*Iau0G*QWO-xMVNSo7TrmqDD-pG5jTnHIo*GTdMYM4STvCdi9iU6JHJzOP6tOo7VNA9UqV/MMGL1741.jpg)
LOWASSA APOKELEWA KWA KISHINDO MKOANI KILIMANJARO, ADHAMINIWA NA WANACCM 33,780
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-73EVFCmSVVs/VXhAL54diDI/AAAAAAABhZ0/PEfPMAqx7Hw/s72-c/T.jpg)
WAZIRI BERNARD MEMBE APOKELEWA KWA KISHINDO MBEYA NA KUPATA WADHAMINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-73EVFCmSVVs/VXhAL54diDI/AAAAAAABhZ0/PEfPMAqx7Hw/s640/T.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akiwapungia mkono wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), na wananchi waliofika kumpokea nje ya Ofisi ya CCM Mkoa wa Mbeya leo June 10, 2015 baada ya kuwasili mkoani humo kwa ajili ya kutafuta wadhamini watakaotia saini fomu zake za kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho. Picha zote na John Badi.
![](http://4.bp.blogspot.com/-v4AXOl_IWj0/VXhALydjpxI/AAAAAAABhZ4/85jjDyks-o0/s640/2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog09 Jun
Lowassa azoa wadhamini 3,000 Geita, Chato nako apata wa kutosha
![](http://2.bp.blogspot.com/-EX8WAuzGmzg/VXXhw4vEoSI/AAAAAAAAUrw/JhLAaGLm3Dw/s640/Lowassa_Geita%2BCCM%2Bwilaya.jpg)
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa,(katikati), akipungia mkono maelfu ya wana CCM na wananchi wengine waliofika kwenye ofisi za CCM wilayani Geita Juni 8, 2015, kwa nia ya kumdhamini baada ya kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015; (Picha zote na K-VIS MEDIA)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qWMu48k9v3g/VXXhyrhR9lI/AAAAAAAAUr4/jgBv8RACYVk/s640/Geita%2Bjuu%2Bya%2Bnyumba.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xhZ5JaDZZiY/VXmI5w5NngI/AAAAAAAAUw8/nUPc_6NClA0/s72-c/Lowassa_Kabula%2BZacharia2.jpg)
LOWASSA APATA WADHAMINI ZAIDI YA ELFU SABA MKOANI SHINYANGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-xhZ5JaDZZiY/VXmI5w5NngI/AAAAAAAAUw8/nUPc_6NClA0/s640/Lowassa_Kabula%2BZacharia2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-virgMNFQR-E/VXrkZqOQMJI/AAAAAAAHfAM/5BLkrMq-Hrk/s72-c/MMGL0538.jpg)
MH. LOWASSA AZIDI KUVUNJA REKODI YA WADHAMINI, APATA 9516 MKOANI TABORA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-virgMNFQR-E/VXrkZqOQMJI/AAAAAAAHfAM/5BLkrMq-Hrk/s640/MMGL0538.jpg)
Waziri Mkuu wa Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa akiwapungia mkono maelfu ya wana CCM waliofika kumdhamini pamoja na wananchi wengine, kwenye viwanja vya ofisi za CCM Tabora Mjini, leo Juni 12, 2015. Mh. Lowassa amepata udhamini wa wana CCM 9516 kwa mkoani Tabora, ikiwa ni muendelezo safari yake ya kutafuta wana CCM wa kumdhamini baada ya kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi kimteue kuwania nafasi ya urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-virgMNFQR-E/VXrkZqOQMJI/AAAAAAAHfAM/5BLkrMq-Hrk/s72-c/MMGL0538.jpg)
LOWASSA AZIDI KUVUNJA REKODI YA WADHAMINI, APATA 9516 MKOANI TABORA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-virgMNFQR-E/VXrkZqOQMJI/AAAAAAAHfAM/5BLkrMq-Hrk/s640/MMGL0538.jpg)
Waziri Mkuu wa Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa akiwapungia mkono maelfu ya wana CCM waliofika kumdhamini pamoja na wananchi wengine, kwenye viwanja vya ofisi za CCM Tabora Mjini, leo Juni 12, 2015. Mh. Lowassa amepata udhamini wa wana CCM 9516 kwa mkoani Tabora, ikiwa ni muendelezo safari yake ya kutafuta wana CCM wa kumdhamini baada ya kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi kimteue kuwania nafasi ya urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Z7mPzJGGXmg/VYGo3Za_lDI/AAAAAAAHglg/C7iK385JNmU/s72-c/MMGL0310.jpg)
LOWASSA APATA UDHAMINI WA KISHINDO MKOANI TANGA, WANACCM 24,125 WAMDHAMINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z7mPzJGGXmg/VYGo3Za_lDI/AAAAAAAHglg/C7iK385JNmU/s640/MMGL0310.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dEKoxsYXx5s/VYGpXNVdvRI/AAAAAAAHgl0/8qC0-TrYo6I/s640/MMGL0306.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ezm2FIIsXro/VYGpVWJYVgI/AAAAAAAHglo/Gw3hEZpFC0E/s640/MMGL0304.jpg)