Moja ya Talaka ghali zaidi duniani yaamuriwa katika mahakama ya Uswisi
-Mrusi Oligarch aamuruliwa kulipa zaidi ya dola 4.5 bilioni kwa mke wake wa zamani
Na Damas Makangale, wa modewjiblog kwa msaada wa mtandao
Mahakama nchini Uswisi imeamuru Dmitry Rybolovlev, mmiliki wa klabu maarufu ya Ufaransa, AS Monaco kumlipa zaidi ya dola za kimarekani 4.5 bilioni mke wake wa zamani Elena Rybolovleva katika kile kinasemwa kwamba ni moja ya talaka au usuluhishi wa ndoa ghali wa kihistoria duniani.
Mwenendo wa kesi hiyo ya ndoa ilianza mapena mwaka 2008 wakati mke wake...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Messi mchezaji ghali zaidi duniani
10 years ago
BBCSwahili12 Nov
Saa ghali zaidi duniani yanunuliwa
11 years ago
BBCSwahili05 Mar
Singapore mji ghali zaidi duniani
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Guantanamo; gereza la kisiasa ghali zaidi duniani
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6A05RJELsODabVC-mc2Z-5orNNlUrb8frp8Hi70d8NxKKfesSSZq56qbtpj6sxvHqr6n06Bq4DO5kwEGbNnMajDRbuMrBKoY/v4Singaporeskyline.jpg)
SINGAPORE WATAJWA KUWA MJI GHALI ZAIDI DUNIANI
11 years ago
CloudsFM29 May
TALAKA YENYE THAMANI ZAIDI DUNIANI
Mmiliki wa club ya timu ya AS Monaco inayocheza ligi daraja la kwanza nchini Ufaransa Dmitry Rybolovlev ambaye pia anashika nafasi ya 148 katika list ya ma billionea wanaotajwa na Forbes Magazine.
Yeye pamoja na aliyekua mke wake Elena wamevunja rekodi ktk historia ya fidia za ndoa zilizowahi kuvunjika duniani.
Hiyo ni baada ya mahakama ya Geneva Switzerland hivi karibuni kumuamuru jamaa amlipe mtalaka wake zaidi ya dola bilioni 4.5
Ndoa hiyo ilidumu kwa miaka 23 na waliingia kwenye mchakato...
5 years ago
BBCSwahili03 Apr
Virusi vya corona: Zaidi ya watu milioni moja wameathirika duniani
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7af0mPKLqYA/UiYR6xbHqeI/AAAAAAAAF6Y/uDPlra2ddao/s72-c/dartz-1.jpg)
DARTZ SUV GHALI KULIKO ZOTE DUNIANI
![](http://media.vorotila.ru/ru/items/t1@8663c84e-4afb-4cb0-8b2b-33ef70a10bdf/Dartz-Motorz.jpg)
Dartz ndiyo SUV ghali kuliko zote Duniani inatengenezwa na kampuni ya Dartz Motorz ya Urusi SUV hii inauzawa kwa $225,000
![](http://2.bp.blogspot.com/-7af0mPKLqYA/UiYR6xbHqeI/AAAAAAAAF6Y/uDPlra2ddao/s1600/dartz-1.jpg)
11 years ago
Habarileo10 Jun
Dar mkoa ghali zaidi Tanzania
WAKATI Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart) awamu ya kwanza, unapanga kuongeza nauli za daladala kwa wakazi wa Dar es Salaam ili kukabiliana na tatizo sugu la foleni, taarifa ya matumizi ya kaya binafsi Tanzania Bara, zimeonesha kuwa Mkoa wa Dar es Salaam, ndio mahali ghali zaidi nchini.