Singapore mji ghali zaidi duniani
Singapore umetajwa kuwa mji ghali zaidi duniani kuishi kwa mwaka 2014 na kuipiku miji mingine 131
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6A05RJELsODabVC-mc2Z-5orNNlUrb8frp8Hi70d8NxKKfesSSZq56qbtpj6sxvHqr6n06Bq4DO5kwEGbNnMajDRbuMrBKoY/v4Singaporeskyline.jpg)
SINGAPORE WATAJWA KUWA MJI GHALI ZAIDI DUNIANI
10 years ago
BBCSwahili12 Nov
Saa ghali zaidi duniani yanunuliwa
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Messi mchezaji ghali zaidi duniani
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Guantanamo; gereza la kisiasa ghali zaidi duniani
11 years ago
Dewji Blog22 May
Moja ya Talaka ghali zaidi duniani yaamuriwa katika mahakama ya Uswisi
-Mrusi Oligarch aamuruliwa kulipa zaidi ya dola 4.5 bilioni kwa mke wake wa zamani
Na Damas Makangale, wa modewjiblog kwa msaada wa mtandao
Mahakama nchini Uswisi imeamuru Dmitry Rybolovlev, mmiliki wa klabu maarufu ya Ufaransa, AS Monaco kumlipa zaidi ya dola za kimarekani 4.5 bilioni mke wake wa zamani Elena Rybolovleva katika kile kinasemwa kwamba ni moja ya talaka au usuluhishi wa ndoa ghali wa kihistoria duniani.
Mwenendo wa kesi hiyo ya ndoa ilianza mapena mwaka 2008 wakati mke wake...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7af0mPKLqYA/UiYR6xbHqeI/AAAAAAAAF6Y/uDPlra2ddao/s72-c/dartz-1.jpg)
DARTZ SUV GHALI KULIKO ZOTE DUNIANI
![](http://media.vorotila.ru/ru/items/t1@8663c84e-4afb-4cb0-8b2b-33ef70a10bdf/Dartz-Motorz.jpg)
Dartz ndiyo SUV ghali kuliko zote Duniani inatengenezwa na kampuni ya Dartz Motorz ya Urusi SUV hii inauzawa kwa $225,000
![](http://2.bp.blogspot.com/-7af0mPKLqYA/UiYR6xbHqeI/AAAAAAAAF6Y/uDPlra2ddao/s1600/dartz-1.jpg)
11 years ago
Habarileo10 Jun
Dar mkoa ghali zaidi Tanzania
WAKATI Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart) awamu ya kwanza, unapanga kuongeza nauli za daladala kwa wakazi wa Dar es Salaam ili kukabiliana na tatizo sugu la foleni, taarifa ya matumizi ya kaya binafsi Tanzania Bara, zimeonesha kuwa Mkoa wa Dar es Salaam, ndio mahali ghali zaidi nchini.
9 years ago
Mtanzania14 Dec
JB: Chungu cha tatu ni filamu ghali zaidi
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MSANII wa filamu nchini, Jacob Stephen ‘JB’, amesema kuwa filamu yake mpya ya Chungu cha tatu aliyomshirikisha mwanadada Wema Sepetu imetumia gharama kubwa zaidi kuliko filamu zote zilizotengenezwa chini ya kampuni yake ya Jerusalem.
Akizungumza na MTANZANIA juzi, JB alisema ametumia gharama kubwa katika kufanikisha kuitengeneza filamu hiyo.
“Nikisema nitaje gharama iliyotumika na niliyowalipa wasanii nadhani TRA itawafuata, lakini nimetumia gharama kubwa mno...
9 years ago
Bongo515 Dec
JB adai filamu yake mpya ‘Chungu cha Tatu’ ni ghali zaidi kuwahi kuifanya
![Chungu Cha Tatu](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Chungu-Cha-Tatu-300x194.jpg)
Msanii wa filamu nchini, Jacob Stephen ‘JB’, amesema filamu yake mpya ya ‘Chungu cha Tatu’ aliyofanya na Wema Sepetu imetumia gharama kubwa zaidi kuliko filamu zote zilizowahi kufanywa na kampuni yake ya Jerusalem Films.
Akizungumza na gazeti la Mtanzania hivi karibuni , JB alisema akiisema gharama ya filamu hiyo TRA watataka kujua pesa hizo amezipata wapi.
“Nikisema nitaje gharama iliyotumika na niliyowalipa wasanii nadhani TRA itawafuata, lakini nimetumia gharama kubwa mno naweza...