MWENGE WA UHURU WAWASILI ZANZIBAR KUTOKEA DAR ES SALAM NA KUKABIDHIWA MKUU WA MKOA WA MJINI MAGHARIBI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-qMJnZZe9Fec/U9jrWwkJX5I/AAAAAAAF73o/Z1kvmZjGwYI/s72-c/unnamed+(1).jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe Said Meck Sadikiakimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe Abdallah Mwinyi Khamis, makabidhiano hayo yamefanyika uwanja wa ndege mkongwe Kiembesamaki leo.
Vijana wa Chipkizi wakiimba nyimbo ya Mwenge.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Ikulu na Utawala Bora Dkt. Mwinyihaji Makame akishika mwenge wa Uhuru ulipowasili Zanzibar.
Mkimbiza Mwenge wa Uhuru Hamza Ibrahim kutoka Mjini Magharibi na maaskari wakiukimbiza Mwenge.
Mkuu wa Mkoa wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMWENGE WA UHURU WAWASILI VISIWANI ZANZIBAR LEO KUTOKEA DAR,WAKABIDHIWA KWA MKUU WA MKOA WA MJINI MAGHARIBI
11 years ago
CloudsFM27 Jul
MWENGE WA UHURU WAWASILI MKOA WA DAR ES SALAAMâ€
Mkuu wa Wilaya ya Mafia Sauda Salum Mtondoo akikimbiza Mwenge wa Uhuru kwa ajili ya kuukabidhi tayari kuanza ziara yake Mkoani Dar es Salaam.
Mkuu wa Wilaya ya Mafia Sauda Salum Mtondoo (mwenye T-shirt nyeupe) akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Mkoa wa Pwani Bi. Mwantumu Mahiza leo jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Bi. Mwantumu Mahiza akikimbiza mwenge wa Uhuru Tayari kwa kuukabidhi kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Said Meck Sadiki.
(Picha na Hassan Silayo na Benjamin Sawe)
11 years ago
GPLMWENGE WA UHURU WAWASILI MKOA WA DAR ES SALAAM
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-sJcgz5iBppk/ViUSWaZSbmI/AAAAAAABnc0/Dqnrr1dkvwk/s72-c/DSC01058.jpg)
DK. SHEIN AOMBA KURA DIMANI MKOA MJINI MAGHARIBI, ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-sJcgz5iBppk/ViUSWaZSbmI/AAAAAAABnc0/Dqnrr1dkvwk/s640/DSC01058.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3ee1lUcnCd0/ViUSafFWg7I/AAAAAAABnc8/5ohzYmdkcCw/s640/DSC01016.jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Jan
KINANA amaliza ziara yake mkoa wa mjini magharibi Zanzibar
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikabidhi dawa kwa mganga mkuu wa hospitali ya jimbo la Mpendae Dr. Omar Shaban Amran wakati alipokabidhi sehemu ya madawa kwa hospitali hiyo ambayo yametolewa na mbunge wa jimbo la Mpendae Mh. Salum Turki kiasi cha makontena ya dawa manne yenye thamani ya shilingi Bilioni Moja na pointi Nne yatakayosaidia katika hospitali zote za Zanzibar, Kinana akiongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi amemalizia ziara yake leo katika mkoa...
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-78DO0CeqRd4/VLqutCLN3hI/AAAAAAAAAOU/3VRQ1fgHA8M/s1600/3.jpg)
KINANA AUNGURUMA WILAYA YA DIMANI MKOA WA MJINI MAGHARIBI ZANZIBAR
10 years ago
Michuzi16 Jan
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-EOqduz8epSE/U2Kxxm9cqqI/AAAAAAAFee4/85iul0jmv-U/s72-c/1A.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL, AWASILI MJINI BUKOBA MKOA WA KAGERA JIONI HII KUWASHA MWENGE WA UHURU KESHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-EOqduz8epSE/U2Kxxm9cqqI/AAAAAAAFee4/85iul0jmv-U/s1600/1A.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-q4Mp0kcwVrk/U2KxxsxxibI/AAAAAAAFefA/mkQUa_04_wc/s1600/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-GIetJQh-opU/VX-dwaBEVXI/AAAAAAAC6xQ/2Z7ouytQWVE/s72-c/01.jpg)
Mwenge wa Uhuru wawasili Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro
![](http://2.bp.blogspot.com/-GIetJQh-opU/VX-dwaBEVXI/AAAAAAAC6xQ/2Z7ouytQWVE/s640/01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4uFLmIsSO90/VX-dwQ0CNOI/AAAAAAAC6xI/mWDHbnrhUZE/s640/02.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-RvaIbJxJsPU/VX-dwZFEvRI/AAAAAAAC6xM/EN8lbDWhZmU/s640/04.jpg)