Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DK. SHEIN AOMBA KURA DIMANI MKOA MJINI MAGHARIBI, ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein akiwahutubia wananchi na WanaCCM katika Mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM Mkoa wa Kusini Unguja Jimbo la Makunduchi katika uwanja wa mpira wa Jamhuri.Baadhi ya wanaCCM waliohudhuria katika Mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM Jimbo la Dimani Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja wakimskiliza mgeni rasmi katika mkutano huo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

DK. SHEIN AOMBA KURA KWA WANANCHI WA DIMANI MJINI MAGHARIBI, ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein akiwahutubia wananchi na WanaCCM katika Mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM Mkoa wa Kusini Unguja Jimbo la Makunduchi katika uwanja wa mpira wa Jamhuri.Baadhi ya wanaCCM waliohudhuria katika Mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM Jimbo la Dimani Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja wakimskiliza mgeni rasmi katika mkutano huo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia...

 

10 years ago

GPL

KINANA AUNGURUMA WILAYA YA DIMANI MKOA WA MJINI MAGHARIBI ZANZIBAR

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na wajumbe mbalimbali na wa wana CCM wakati alipowasili wilaya ya Kiembesamaki wilaya ya Dimani mkoa wa Mjini Magharibi jana.  Katibu…

 

10 years ago

Michuzi

DK SHEIN AFUTARISHA MKOA WA MJINI MAGHARIBI

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akiwa na Viongozi wengine katika  futari iliyoitayarisha kwa Wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi  jana katika viwanja vya Ikulu Mjini Unguja. Wananchi na Waislamu wa    Mkoa Mjini  Magharibi   wakiwa katika  futari iliyotayarishwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein jana katika viwanja vya Ikulu Mjini Unguja Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein akijumuika...

 

10 years ago

Vijimambo

Dk Shein Afutarisha Wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Ikulu.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akiwa na Viongozi wengine katika futari iliyoitayarisha kwa Wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi jana katika viwanja vya Ikulu Mjini Unguja,Wananchi na Waislamu wa Mkoa Mjini Magharibi wakiwa katika futari iliyotayarishwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein jana katika viwanja vya Ikulu Mjini UngujaWananchi na Waislamu wa Mitaa mbali mbali katika Mkoa...

 

10 years ago

Dewji Blog

KINANA amaliza ziara yake mkoa wa mjini magharibi Zanzibar

unnamed

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikabidhi dawa kwa mganga mkuu wa hospitali ya jimbo la Mpendae Dr. Omar Shaban Amran wakati alipokabidhi sehemu  ya madawa kwa hospitali hiyo ambayo yametolewa  na mbunge wa jimbo la Mpendae Mh. Salum Turki kiasi cha makontena ya dawa  manne yenye thamani ya shilingi Bilioni Moja  na pointi Nne yatakayosaidia katika hospitali zote za Zanzibar, Kinana akiongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi amemalizia ziara yake leo katika mkoa...

 

10 years ago

Michuzi

ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA YAFANA WILAYA YA DIMANI MKOA WA MAGHARIBI.

  Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiongozana na Makamo wa Pili wa Rais Zanzibar Balozi Seif Idd mara baada ya kumaliza kikao cha halmashauri kuu ya wilaya ya Dimani.  Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki kufyeka majani mbele ya Chuo cha Sayansi ya Bahari (IMS), alipotembelea chuo hicho kilicho chini ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam eneo la Buyu, Unguja Zanzibar leo wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua miradi inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya...

 

11 years ago

Michuzi

MWENGE WA UHURU WAWASILI ZANZIBAR KUTOKEA DAR ES SALAM NA KUKABIDHIWA MKUU WA MKOA WA MJINI MAGHARIBI.

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe Said Meck Sadikiakimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe Abdallah Mwinyi Khamis, makabidhiano hayo yamefanyika uwanja wa ndege mkongwe Kiembesamaki leo. Vijana wa Chipkizi wakiimba nyimbo ya Mwenge. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Ikulu na Utawala Bora Dkt. Mwinyihaji Makame akishika mwenge wa Uhuru ulipowasili Zanzibar. Mkimbiza Mwenge wa Uhuru Hamza Ibrahim kutoka Mjini Magharibi na maaskari wakiukimbiza Mwenge.
  Mkuu wa Mkoa wa...

 

11 years ago

Michuzi

MWENGE WA UHURU WAWASILI VISIWANI ZANZIBAR LEO KUTOKEA DAR,WAKABIDHIWA KWA MKUU WA MKOA WA MJINI MAGHARIBI

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Said Meck Sadiki akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Abdallah Mwinyi Khamis, makabidhiano hayo yamefanyika uwanja wa ndege mkongwe Kiembesamaki leo. Katibu Tawala Mkoa wa Dar es Salaam Bi. Getrudi Mpaka akitoa salam za Mkoa huo wakati wa kuukabizi Mwenge wa Uhuru Mkoa wa Mjini Magharibi leo july 30.Vijana wa Chipkizi wakiimba nyimbo ya Mwenge. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Ikulu na Utawala Bora Dkt. Mwinyihaji Makame akishika mwenge wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mgombea jimbo la Singida magharibi, Wilson Nkhambaku ndani ya CCM aomba kura asema yeye ni jembe

UF3A7791

Mgombea nafasi ubunge kura za maoni jimbo la Singida magharibi, Wilson Elisha Nkhambaku.(Picha na Maktaba).

Na Nathaniel Limu, Puma

MGOMBEA nafasi ubunge kura za maoni jimbo la Singida magharibi, Wilson Elisha Nkhambaku, amesema kuihama CCM mwaka 2010 na kujiunga na upinzani,kitendo hicho kilikuwa ni ajali ya kawaida ya kisiasa.

Amedai kuhama huko na kukaa upinzani kwa muda mfupi,haikuwa tamaa ya kusaka uongozi kama ambavyo baadhi ya watu wanavyofikiria.

Nkhambaku aliyasema hayo wakati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani