Mgombea jimbo la Singida magharibi, Wilson Nkhambaku ndani ya CCM aomba kura asema yeye ni jembe
Mgombea nafasi ubunge kura za maoni jimbo la Singida magharibi, Wilson Elisha Nkhambaku.(Picha na Maktaba).
Na Nathaniel Limu, Puma
MGOMBEA nafasi ubunge kura za maoni jimbo la Singida magharibi, Wilson Elisha Nkhambaku, amesema kuihama CCM mwaka 2010 na kujiunga na upinzani,kitendo hicho kilikuwa ni ajali ya kawaida ya kisiasa.
Amedai kuhama huko na kukaa upinzani kwa muda mfupi,haikuwa tamaa ya kusaka uongozi kama ambavyo baadhi ya watu wanavyofikiria.
Nkhambaku aliyasema hayo wakati...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](https://3.bp.blogspot.com/-lymOQzXlad0/UytOcGvjr1I/AAAAAAAAkq4/53ueCAv0vKo/s1600/1.+Ridhiwani+akiomba+kura+kwa+wananchi+katika+Kijiji+cha+Visakazi,+Kata+ya+Ubena.jpg)
MGOMBEA WA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE, RIDHIWANI AOMBA KURA KATA YA UBENA
9 years ago
MichuziMGOMBEA UDIWANI WA CCM THADEY MASSAWE AOMBA KURA ILI ACHAGULIWE
Mgombea wa udiwani kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM kata ya Ndugumbi, jimbo la Kinondoni, Thadey Massawe,akizungumza sambamba na kuomba kura ili achaguliwe kuwa diwani wa kata hiyo mbele ya wanachama wa chama chake eneo la Texas Magomeni Kagera Dar es salaam jana.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-W-4j0gJ5giM/VRRbsJKo2TI/AAAAAAAC2Ts/CKblBc4vIjY/s72-c/13.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NDANI YA JIMBO LA SAME MAGHARIBI MKOANI KILIMANJARO
![](http://2.bp.blogspot.com/-W-4j0gJ5giM/VRRbsJKo2TI/AAAAAAAC2Ts/CKblBc4vIjY/s1600/13.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KYVOkXYSbS8/VRRbv70f9sI/AAAAAAAC2T0/6v57qzjmjXY/s1600/14.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Aug
Hassan Mazala apeta kura za maoni CCM jimbo la Singida mjini
Mshindi wa kura za maoni ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), kuwania nafasi ya Ubunge jimbo la Singida Mjini, Hassan Mazala akiwa katika moja ya shughuli za kuimalisha chama ndani ya jimbo hilo la Singida mjini (Picha na Maktaba ya modewjiblog).
Modewjiblog team
(Singida). Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa (MNEC) Manispaa ya Singida, Hassan Mazala ameweza kupenya kwenye kinyang’anyiro cha kura za maoni ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) katika kuwania Ubunge Jimbo la Singida Mjini, kwa...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-sJcgz5iBppk/ViUSWaZSbmI/AAAAAAABnc0/Dqnrr1dkvwk/s72-c/DSC01058.jpg)
DK. SHEIN AOMBA KURA DIMANI MKOA MJINI MAGHARIBI, ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-sJcgz5iBppk/ViUSWaZSbmI/AAAAAAABnc0/Dqnrr1dkvwk/s640/DSC01058.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3ee1lUcnCd0/ViUSafFWg7I/AAAAAAABnc8/5ohzYmdkcCw/s640/DSC01016.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sJcgz5iBppk/ViUSWaZSbmI/AAAAAAABnc0/Dqnrr1dkvwk/s72-c/DSC01058.jpg)
DK. SHEIN AOMBA KURA KWA WANANCHI WA DIMANI MJINI MAGHARIBI, ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-sJcgz5iBppk/ViUSWaZSbmI/AAAAAAABnc0/Dqnrr1dkvwk/s640/DSC01058.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3ee1lUcnCd0/ViUSafFWg7I/AAAAAAABnc8/5ohzYmdkcCw/s640/DSC01016.jpg)
10 years ago
Dewji Blog28 Jun
Kingunge amdhamini Lowassa, asema mgombea urais wa CCM lazima akubalike na makundi yote, ndani na nje ya chama
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akiwapungian wananchi wakati akiwasili ofisi za CCM kata ya Mchikichini, Ilala jijini Dar es Salaam, kutafuta wadhamini. (Picha na K-VIS MEDIA).
Mwanasiasa mkongwe nchini Kingunge Ngombali Mwiru, (kushoto), akijaza fomu za kumdhamini Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, kwenye ofisi za CCM wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Juni 27, 2015, wakati Mh. Lowassa, alipotua jijini Dar es Salaam...
10 years ago
MichuziMENEJIMENTI YA OFISI YA MKUU WA MKOA WA RUKWA YAMPONGEZA MKUU WA MKOA HUO ENG. STELLA MANYANYA KWA USHINDI WA KISHINDO KURA ZA MAONI CCM JIMBO LA MBINGA MAGHARIBI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1mUMSKOrwpI/VbtrDmMVuYI/AAAAAAAB_Yc/gy_qS_9PwCY/s72-c/mahiga.jpg)
BALOZI DR. MAHIGA DAWA SI KUHAMA CCM ASEMA YEYE NI MKOMBOZI WA CCM IRINGA MJINI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-1mUMSKOrwpI/VbtrDmMVuYI/AAAAAAAB_Yc/gy_qS_9PwCY/s640/mahiga.jpg)
Na matukiodaimaBlogALIYEKUWA balozi wa kudumu wa umoja wa mataifa (UN) na mgombea urais katika mchakato wa ndani ya chama cha mapinduzi (CCM) balozi Dr Augustono Mahiga anayeomba kuteuliwa kuwa mgombea ubunge jimbo la Iringa mjini kupitia CCM amewashangaa makada maarufu wa chama hicho walioshindwa katika mchakato wa ndani ya chama kwa nafasi ya urais kuhama chama hicho kuwa hao hawakuwa na mapenzi ya kuwatumikia watanzania na kuwa watazunguka kote ila...