Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MGOGORO WA WAKULIMA NA WAFUGAJI WALETA MAAFA KATIKA KIJIJI CHA DIHINDA MVOMERO MKOANI MOROGORO


Waziri wa Kilimo, Uvuvi na Ufugaji, Mwigulu Nchemba akiangalia Ng'ombe walio uwawa katika Mgogoro wa wakulima na Wafugaji uliotokea katika kijiji cha Dihinda kata ya Kanga wilayani Mvomero, katika tukio lililotokea Desemba 12 mwaka huu.Waziri wa Kilimo, Uvuvi na Ufugaji, Mwigulu Nchemba akiwa na Mkuu wa wilaya ya Mvomero, Betty Mkwasa wakiwajulia hali watu waliojeruhiwa katika mgogoro wa wakulima na wafugaji uliotokea katika kijiji cha Dihinda kata ya Kanga wilayani Mvomero Desemba 12...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MBUNGE WA MVOMERO AINGILIA KATI MGOGORO WA WAKULIMA NA WAFUGAJI KUHUSIANA NA BONDE LA MGONGOLA

Mbunge wa Mvomero, Mh Amos Makalla akimpa pole na fedha za matibabu mmoja wa wakulima aliyejeruhiwa kwa kuvunjwa Mkono. Maelfu ya wananchi wakimsikiliza kwa makini baada ya Mbunge wao Amos Makalla kukubali kufadhili Kamati ya kwenda kumuona Waziri mkuu.Mamia ya wananchi akimpokea mbunge wao aongee na wakulima bonde la Mgongolwa.

Mbunge wa Mvomero, Mh Amos Makalla akiongea na wananchi nje ya kituo cha polisi kuwa mahabusu wapo salamaMbunge wa Mvomero, mkuu wa wilaya , Kamati ya ulinzi na...

 

9 years ago

StarTV

Mgogoro Wa Ardhi Wafugaji  na wakulima wavutana Mkoani Morogoro

 

Hali ya taharuki imezuka katika kijiji cha maharaka kata ya doma wilaya ya Mvomero mkoani morogoro baada ya wananchi wa humo kukusanyika katika  ofisi ya kijiji kushinikiza kupatiwa ufumbuzi  juu ya wafugaji walio ingia kwenye mashamba yao nakuwatia hasara kubwa kwa kuharibu miundombinu ya umwagiliaji iliyopo kwenye mashamba hayo

Wakizungumza wakiwa katika ofisi ya kijijini hicho, wananchi hao wamesema wameshangaa kuona wafugaji kijijini hapo wakidai wanatafuta mifugo yao, ambapo wananchi...

 

11 years ago

Habarileo

Wakulima, wafugaji Mvomero wapatana

SERIKALI ya Wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro imefanikiwa kuwapatanisha wakulima na wafugaji wa vijiji vitano vilivyopo kata ya Hembeti vinavyo pakana na Bonde la Mgongola na imewataka wakulima wanaotoka nje ya wilaya hiyo kujisajili katika halmashauri za serikali za vijiji vinavyohusika na bonde hilo.

 

11 years ago

Dewji Blog

Ridhiwani Kikwete azindua Kisima cha Maji, Lambo katika kijiji cha jamii ya Wafugaji cha Mbala,Chalinze

 Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwan Kikwete akionozana na akina mama wa jamii ya kimasai waliobeba maji waliyoyateka baada ya mbunge huyo kuzindua kisima cha maji katika Kijiji cha Mbala, Chalinze, Bagamoyo mkoani Pwani jana. Kisima hicho pamoja na lambo la kunyweshea mifugo vimejengwa na Kanisa la Wasabato kwa gharama ya sh. mil. 76. Kushoto ni Kiongozi wa mradi huo, Joseph Chagama na nyuma yake ni Askofu wa Kanisa la Wasabato Jimbo la Mashariki,Mark Malekana. (PICHA NA RICHARD...

 

9 years ago

Mwananchi

Waziri Nchemba aingilia kati mapigano ya wakulima, wafugaji Mvomero

Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mwigulu Nchemba ameiagiza kamati ya Ulinzi na Usalama wilaya ya Mvomero kuimarisha ulinzi maeneo yote yenye migogoro kufuatia kutokea  mapigano kati ya wakulima na wafugaji na kuua mtu mmoja na kujeruhi wengine kadhaa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mgogoro wakulima, wafugaji waendelea

WAKULIMA wa Wilaya ya Kiteto, Manyara, wameomba serikali iwape kibali cha kuwaondoa wafugaji kama yenyewe serikali imeshindwa kutatua mgogoro huo ambao umedumu kwa miaka mingi. Wakulima walitoa kauli hiyo juzi...

 

10 years ago

Michuzi

WANUSURIKA KUFA KUFUATIA AJALI YA GARI KIJIJI CHA MWIDU MKOANI MOROGORO

 Camera ya GLOBU ya jamii ikiwa njiani kutoka Morogoro kuelekea jijini Dar,njia ilikutana ajali hii iliyotokea mapema jana kati ya gari ndogo aina ya NOAH ambayo namba zake za usajili hazikufahamika mara moja kufuatia kuharibika vibaya kutokana na ajali hiyo ya kugongwa kwa nyuma na basi la STAMILI kama lionekanavyo pichani lenye namba za usajili T43CJN lililokuwa likitokea Morogoro kuelekea jijini Arusha,Katika gari ya NOAH hakukuwemo na abiria zaidi ya dereva,ambaye alitoka mzima kama...

 

10 years ago

StarTV

Ubaguzi wadaiwa kugubika mgogoro wa Wakulima na Wafugaji.

Na Ramadhan Mvungi,

Arusha.

Wawakilishi wa wafugaji wa Mkoa wa Morogoro na mashirika yanayotetea wafugaji wamedai kuwa mgogoro wa ardhi unaoendelea kati ya wakulima na wafugaji wilayani Mvomero na Kilosa umevaa sura ya maslahi ya kisiasa na ubaguzi dhidi ya wafugaji.

 

Aidha wafugaji hao pamoja na mashirika yanayotetea haki za wafugaji nchini wametoa mwito wa kuzingatiwa kwa amri ya mahakama iliyotoa maamuzi kuhusu umiliki wa maeneo ya vijiji vyenye mgogoro ili kumaliza mapigano baina ya...

 

10 years ago

Habarileo

Wanne wafa mgogoro wa wakulima, wafugaji Kilosa

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Elias TarimoWATU wanne wamekufa na wengine wanne kujeruhiwa na kulazwa katika kituo cha afya cha Mtakatifu Joseph kilichopo kata ya Dumila wilayani Kilosa mkoani Morogoro, baada ya kuzuka kwa mapigano baina ya wakulima na wafugaji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani