Mgogoro wakulima, wafugaji waendelea
WAKULIMA wa Wilaya ya Kiteto, Manyara, wameomba serikali iwape kibali cha kuwaondoa wafugaji kama yenyewe serikali imeshindwa kutatua mgogoro huo ambao umedumu kwa miaka mingi. Wakulima walitoa kauli hiyo juzi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV06 Feb
Ubaguzi wadaiwa kugubika mgogoro wa Wakulima na Wafugaji.
Na Ramadhan Mvungi,
Arusha.
Wawakilishi wa wafugaji wa Mkoa wa Morogoro na mashirika yanayotetea wafugaji wamedai kuwa mgogoro wa ardhi unaoendelea kati ya wakulima na wafugaji wilayani Mvomero na Kilosa umevaa sura ya maslahi ya kisiasa na ubaguzi dhidi ya wafugaji.
Aidha wafugaji hao pamoja na mashirika yanayotetea haki za wafugaji nchini wametoa mwito wa kuzingatiwa kwa amri ya mahakama iliyotoa maamuzi kuhusu umiliki wa maeneo ya vijiji vyenye mgogoro ili kumaliza mapigano baina ya...
10 years ago
Habarileo19 Feb
Wanne wafa mgogoro wa wakulima, wafugaji Kilosa
WATU wanne wamekufa na wengine wanne kujeruhiwa na kulazwa katika kituo cha afya cha Mtakatifu Joseph kilichopo kata ya Dumila wilayani Kilosa mkoani Morogoro, baada ya kuzuka kwa mapigano baina ya wakulima na wafugaji.
10 years ago
VijimamboMBUNGE WA MVOMERO AINGILIA KATI MGOGORO WA WAKULIMA NA WAFUGAJI KUHUSIANA NA BONDE LA MGONGOLA
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nfMWTZbtFBk/Vm7DND2Sc6I/AAAAAAADDkU/3DMaa_MFwAw/s72-c/0.jpg)
MGOGORO WA WAKULIMA NA WAFUGAJI WALETA MAAFA KATIKA KIJIJI CHA DIHINDA MVOMERO MKOANI MOROGORO
![](http://1.bp.blogspot.com/-nfMWTZbtFBk/Vm7DND2Sc6I/AAAAAAADDkU/3DMaa_MFwAw/s640/0.jpg)
Waziri wa Kilimo, Uvuvi na Ufugaji, Mwigulu Nchemba akiangalia Ng'ombe walio uwawa katika Mgogoro wa wakulima na Wafugaji uliotokea katika kijiji cha Dihinda kata ya Kanga wilayani Mvomero, katika tukio lililotokea Desemba 12 mwaka huu.
![](http://4.bp.blogspot.com/--wvG5uXh-KY/Vm7DOrlg-vI/AAAAAAADDk4/fZ4ZK3TzV00/s640/e.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Majaji waendesha mahakama ya wazi kusikiliza na kupokea malalamiko ya wakulima walionyang’anywa Ardhi,Wafugaji na Migogoro ya wakulima na wafugaji
![IMG_0113](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_0113.jpg)
10 years ago
Habarileo30 Aug
Wakulima, wafugaji wapigana Same
KUMEZUKA mapigano baina ya wafugaji na wakulima katika kijiji cha Jiungeni Lolokai, kata ya Ruvu wilayani Same na tayari wakulima wanne wamejeruhiwa vibaya na silaha za jadi, na mmoja kukimbizwa katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC kwa matibabu zaidi.
9 years ago
Michuzi02 Sep
WAKULIMA NA WAFUGAJI CCM
Bi. Suluhu ametoa kauli hiyo alipokuwa akinadi ilaya ya CCM katika Majimbo mawili tofauti ya Kongwa na Chilonwa Mkoa wa Dodoma ikiwa ni mwendelezo wa ziara zake za kufanya kampeni...
11 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA SHINYANGA AKUTANA NA WAFUGAJI KUZUNGUMZIA MGOGORO KISHAPU NA IGUNGA
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Ally N. Rufunga amewataka wafugaji wanaoishi katika kijiji cha Magalata wilayani Kishapu mkoani Shinyanga kutovuka mto Manonga na kuingia katika wilaya ya Igunga wakati serikali inashughulikia suala la mpaka wa wilaya hizo mbili.
Mhe Rufunga ametoa maelekezo mapema jana alipokutana na wafugaji hao katika kijiji cha Magalata wilayani Kishapu, ikiwa ni moja ya makubaliano ya kikao cha Kamati za ulinzi na usalama za mikoa ya Tabora na Shinyanga kuwa kila...
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Wakulima, wafugaji wauana Kigoma
WATU watatu wamefariki dunia na wengine hawajulikani walipo baada ya kuibuka mapigano ya kugombania ardhi yaliyowahusisha wafugaji na wakulima katika Kijiji cha Minyinya Kata ya Nyamtukuza Wilaya ya Kakonko mkoani...