MKUU WA MKOA WA SHINYANGA AKUTANA NA WAFUGAJI KUZUNGUMZIA MGOGORO KISHAPU NA IGUNGA
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Ally N. Rufunga amewataka wafugaji wanaoishi katika kijiji cha Magalata wilayani Kishapu mkoani Shinyanga kutovuka mto Manonga na kuingia katika wilaya ya Igunga wakati serikali inashughulikia suala la mpaka wa wilaya hizo mbili.
Mhe Rufunga ametoa maelekezo mapema jana alipokutana na wafugaji hao katika kijiji cha Magalata wilayani Kishapu, ikiwa ni moja ya makubaliano ya kikao cha Kamati za ulinzi na usalama za mikoa ya Tabora na Shinyanga kuwa kila...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMKURUGENZI MKUU WA AGPAHI AAGANA RASMI NA MKUU WA MKOA WA SHINYANGA
11 years ago
Michuzi.jpg)
WAJUMBE WA BUNGE LA JAMHURI YA KOREA WAMTEMBELEA MKUU WA MKOA DODOMA OFISINI KWAKE KUZUNGUMZIA MASUALA YA USHIRIKIANO NA MAENDELEO
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Michuzi
mkuu wa mkoa wa manyara akagua shule maeneo ya wafugaji


10 years ago
Michuzi
TANZIA- MKUU WA MAGEREZA MKOA WA SHINYANGA AFARIKI DUNIA

Marehemu SACP Aneth Laurent enzi za uhai wake
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, John Casmir Minja anasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa Mkuu wa Magereza Mkoa wa Shinyanga, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza - SACP Aneth Laurent kilichotokea jana Julai 30, 2015 katika Hospitali ya Rufaa Bugando Jijini Mwanza.Kamishna Jenerali wa Magereza anatoa pole kwa Watumishi wote wa Jeshi la Magereza nchini, familia na wale wote...
5 years ago
MichuziMANGULA AKUTANA NA VIONGOZI WA CCM SHINYANGA...AONYA WAGOMBEA UCHAGUZI MKUU 2020
10 years ago
Vijimambo
RAY KIGOSI AWAAMBIA WAKAZI WA KISHAPU SHINYANGA UPINZANI BADO SANA

10 years ago
MichuziWAKUU WA WILAYA ZA KISHAPU NA SHINYANGA WATEMBELEA MABANDA YA WAJASIRIAMALI MAONESHO YA SIDO KANDA YA ZIWA
Hapa ni katika banda la Chuo cha...
10 years ago
Michuzi04 Mar
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA KINONDONI PAUL MAKONDA AKUTANA NA WANA UMOJA WA MAFUNDI MAGARI TEGETA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI DHIDI YA MWEKEZAJIâ€