mkuu wa mkoa wa manyara akagua shule maeneo ya wafugaji
![](http://3.bp.blogspot.com/-lWUPZ64nrn8/UvyCnp7pawI/AAAAAAAFMuk/7eniVTX4czg/s72-c/sima1.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Elaston Mbwilo akizungumza jana na mzazi na mwanafunzi wa shule ya sekondari Naisinyai Wilayani Simanjiro kwenye ziara yake ya kutembelea na kukagua elimu wilayani humo, Mbwilo aliwapongeza mzazi na mwanafunzi huyo wa jamii ya kifugaji kwa kuzingatia elimu.
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Elaston Mbwilo akizungumza jana na wakazi wa Kata ya Mirerani, Wilayani Simanjiro, kwenye ziara yake ya kutembelea na kukagua elimu wilayani humo (kushoto) ni Diwani wa kata hiyo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-H9zy0y_bMRc/UwWh0PundYI/AAAAAAAFOOk/Tm7L7d-MEiQ/s72-c/unnamed+(40).jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Elaston Mbwilo akagua miradi wailayani Hanang
![](http://3.bp.blogspot.com/-H9zy0y_bMRc/UwWh0PundYI/AAAAAAAFOOk/Tm7L7d-MEiQ/s1600/unnamed+(40).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-n0D4Layi5Hw/UwWh0S3pH2I/AAAAAAAFOOo/MX8pBaeefME/s1600/unnamed+(41).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UR34H7M1PGw/VcMcVB-hOsI/AAAAAAAHueo/c8FPMy7ZUWs/s72-c/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
IGP MANGU AKAGUA UJENZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA POLISI MKOA WA MANYARA
![](http://1.bp.blogspot.com/-UR34H7M1PGw/VcMcVB-hOsI/AAAAAAAHueo/c8FPMy7ZUWs/s640/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q6rnElGx5ZY/VcMcVPmtlRI/AAAAAAAHuek/rB-a2dllSGs/s640/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-U3VjHNTO43c/Xu38WmEcnHI/AAAAAAALuvs/9xtZaf2BnlAjJRY_jqULl2dwwwyweU2OgCLcBGAsYHQ/s72-c/c703b6fc-e48b-4869-a42f-be7756243aba.jpg)
Serikali yapongeza juhudi za usafi wa mazingira kwenye shule za Mkoa wa Manyara
![](https://1.bp.blogspot.com/-U3VjHNTO43c/Xu38WmEcnHI/AAAAAAALuvs/9xtZaf2BnlAjJRY_jqULl2dwwwyweU2OgCLcBGAsYHQ/s640/c703b6fc-e48b-4869-a42f-be7756243aba.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/0b82bd68-8256-49f8-bee2-65aff82528f5.jpg)
10 years ago
MichuziMkuu wa Mkoa wa Manyara, Dk Joel Bendera azindua zoezi la unywaji maziwa
11 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA SHINYANGA AKUTANA NA WAFUGAJI KUZUNGUMZIA MGOGORO KISHAPU NA IGUNGA
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Ally N. Rufunga amewataka wafugaji wanaoishi katika kijiji cha Magalata wilayani Kishapu mkoani Shinyanga kutovuka mto Manonga na kuingia katika wilaya ya Igunga wakati serikali inashughulikia suala la mpaka wa wilaya hizo mbili.
Mhe Rufunga ametoa maelekezo mapema jana alipokutana na wafugaji hao katika kijiji cha Magalata wilayani Kishapu, ikiwa ni moja ya makubaliano ya kikao cha Kamati za ulinzi na usalama za mikoa ya Tabora na Shinyanga kuwa kila...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PnTrXKgTS4A/VdeHrTlMMLI/AAAAAAABk2o/ThTv-8SGAKI/s72-c/9b.png)
MKUU WA MKOA MH. JOEL BENDERA AZINDUA MFUKO WA AFYA YA JAMII ULIYOBORESHWA (ICHF ) MKOANI MANYARA
![](http://1.bp.blogspot.com/-PnTrXKgTS4A/VdeHrTlMMLI/AAAAAAABk2o/ThTv-8SGAKI/s640/9b.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-FZAU3l25KpQ/VdeIlvjU9OI/AAAAAAABk3A/aH0rgEjjqEE/s640/9e.png)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yzNbgAbi-TI/U7bs_mLQzrI/AAAAAAAFvCM/WcsDSEtF2cQ/s72-c/unnamed+(36).jpg)
MKUU WA MKOA WA DODOMA DR REHEMA NCHIMBI AKAGUA MAENDELEO YA UKARABATI WA ZAHANATI YA MKONZE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KPucvek-SBQ/XoJDftBK65I/AAAAAAALloE/XOTv2kKRVcQz8lgeaF2sRSIsLiJlstGVACLcBGAsYHQ/s72-c/a146cae1-59a5-4c64-8e04-3ac8ab04f5fc.jpg)
MKUU WA MKOA WA KIGOMA APIGA MARUFUKU WATOTO KUUZA BIASHARA MAENEO MBALIMBALI
Na Editha Karlo-Michuzi Blog,Kigoma.
MKUU wa mkoa Kigoma Emanuel Maganga amepiga marufuku kwa wanafunzi na watoto kutumika kuuza bidhaa kwenye masoko na maeneo ya biashara na badala yake wazazi watekeleze agizo la serikali la watoto na wanafunzi hao kukaa nyumbani.
Akizungumza leo wakati akifanya Ziara kwenye masoko ya Buzebazeba Ujiji, Mwanga na Kibirizi kukagua utekelezaji wa agizo la serikali kujilinda dhidi ya virus vya Corona alisema kuwa watoto watakaokuwepo wakiuza kwenye masoko wazazi...