Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Dk Joel Bendera azindua zoezi la unywaji maziwa
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Dk Joel Bendera akizindua zoezi la unywaji wa maziwa kwenye maadhimisho ya wiki ya 18 ya maziwa ambayo kitaifa ilizinduliwa jana mjini Babati, kwa kuwapa maziwa wanafunzi wa shule ya msingi Babati.
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Dk Joel Bendera akizinduzi wa wiki ya 18 ya maziwa, ambapo kitaifa inafanyika Mjini Babati, kwa kumpa maziwa mkazi wa mji huo Magdalena Joseph ambapo kauli mbiu ya mwaka huu ni ng'ombe wa maziwa ni fursa ya kiuchumi na lishe fuga kisasa.
Mkuu wa Mkoa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PnTrXKgTS4A/VdeHrTlMMLI/AAAAAAABk2o/ThTv-8SGAKI/s72-c/9b.png)
MKUU WA MKOA MH. JOEL BENDERA AZINDUA MFUKO WA AFYA YA JAMII ULIYOBORESHWA (ICHF ) MKOANI MANYARA
![](http://1.bp.blogspot.com/-PnTrXKgTS4A/VdeHrTlMMLI/AAAAAAABk2o/ThTv-8SGAKI/s640/9b.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-FZAU3l25KpQ/VdeIlvjU9OI/AAAAAAABk3A/aH0rgEjjqEE/s640/9e.png)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SiHdKbL_jnw/U4xG11RWjVI/AAAAAAAFnM0/NQczQCFkT1U/s72-c/unnamed+(17).jpg)
Bodi ya Maziwa na Heifer Internationl wahamasisha unywaji wa maziwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-SiHdKbL_jnw/U4xG11RWjVI/AAAAAAAFnM0/NQczQCFkT1U/s1600/unnamed+(17).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yDc_4X2Zon4/U4xG2z7oonI/AAAAAAAFnM8/khWTVoZxCZM/s1600/unnamed+(18).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jTHF2VJUw7k/U4xG32ev_dI/AAAAAAAFnNE/VvNFQPY4XOM/s1600/unnamed+(19).jpg)
10 years ago
Tanzania Daima15 Sep
Joel Bendera awapa somo askari vijana
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera amewataka askari vijana nchini kutumia muda wao kubuni njia rahisi ya kukuza uchumi kupitia fursa zilizopo katika maeneo yao badala ya kufanya uovu....
5 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI ULEGA AHAMASISHA UNYWAJI MAZIWA KUCHOCHEA UJENZI WA VIWANDA NCHINI
Naibu Waziri Ulega amesema hayo leo (23.02.2020) wakati wa mbio za kuhamasisha unywaji wa maziwa zilizofanyika viwanja vya The Greens Oysterbay jijini Dar es Salaam.
Mhe. Ulega amesema kwa sasa kiwango cha unywaji maziwa kwa mtu kwa mwaka nchi Tanzania ni wastani wa lita 47 pekee.Kiwango hiki ni kidogo kwani Shirika la Afya Duniani (WHO)...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-W7ThP0v8F1o/Xs-sqnt2KQI/AAAAAAALr2s/veubRDlc9PUxmHNvh8TZsiP1uj3q4jMHwCLcBGAsYHQ/s72-c/a088403c-00ef-46e8-af77-a8f2fe34bad2.jpg)
NAIBU WAZIRI ULEGA AZINDUA WIKI YA MAZIWA, KUANZISHA KAMPENI YA KUKAGUA WANAOKUNYWA MAZIWA YA UNGA
SERIKALI imesema itaanzisha kampeni ya kukagua Ofisi za Umma na binafsi ambazo zinatumia maziwa ya unga badala ya maziwa halisi yanayotengenezwa nchini.
Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega leo jijini Dodoma wakati akizindua wiki ya maziwa nchini ambayo itafanyika hadi Juni 1.
Naibu Waziri Ulega amesema ni jambo la aibu kuona watanzania wakitumia maziwa ya unga na kuacha yale yanayotengenezwa na watanzania wenzao jambo ambalo amesema...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lWUPZ64nrn8/UvyCnp7pawI/AAAAAAAFMuk/7eniVTX4czg/s72-c/sima1.jpg)
mkuu wa mkoa wa manyara akagua shule maeneo ya wafugaji
![](http://3.bp.blogspot.com/-lWUPZ64nrn8/UvyCnp7pawI/AAAAAAAFMuk/7eniVTX4czg/s1600/sima1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UeprBHGmIKY/UvyCnkxWlhI/AAAAAAAFMuw/6sIqJkwhvZk/s1600/sima2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog30 Nov
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma azindua mkutano Mkuu wa 32 wa mwaka wa TPHA
Picha ya pamoja ya baadhi ya washiriki wa mkutano Mkuu wa 32, wa mwaka wa Chama cha Afya ya Jamii Tanzania (TPHA) muda mfupi baaada ya kuzinduliwa rasmi na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Bi Chiku Gallawa (katikati) waliokaa mbele. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).
Na Andrew Chale,Modewjiblog
[DODOMA] Mkutano wa 32 wa Chama cha Afya ya Jamii Tanzania (Tanzania Public Health Association-TPHA) umezinduliwa rasmi leo Novemba 30.2015 mjini hapa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Bi. Chiku Gallawa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-H9zy0y_bMRc/UwWh0PundYI/AAAAAAAFOOk/Tm7L7d-MEiQ/s72-c/unnamed+(40).jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Elaston Mbwilo akagua miradi wailayani Hanang
![](http://3.bp.blogspot.com/-H9zy0y_bMRc/UwWh0PundYI/AAAAAAAFOOk/Tm7L7d-MEiQ/s1600/unnamed+(40).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-n0D4Layi5Hw/UwWh0S3pH2I/AAAAAAAFOOo/MX8pBaeefME/s1600/unnamed+(41).jpg)